Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Boss una reserch kuwa protein inamfanya mtu kiwa shoga
Hujaelewa nilichoandika, soma tena.

Hizo dawa zina aina mbali mbali. Baadhi zinakua ni mixture ya protein na testosterone (homon za kiume) sasa hizo ukiongeza hormon inasababisha hormonal imbalance kupelekea mwili kutengezeza homoni kinzani za kike na ndo shida inaanzia hapo.

Thats simple science chief
 
Kwa hakika si wote ni kweli kabisa na hilo liko wazi lakini ndio hivyo tayari wameshatajwa hivyo wanapaswa kujitokeza hadharani na kusema neno
Mshana jr mimi ni mfanya mazoezi tena ya muda mrefu sababu za kiafya na kikazi ,kuna tofauti ya mazoezi ya hawa wanaojipiga masindano ya kuwa mabonge na sisi kina fulani wa kukimbia tu viwanja na push up za hapa na pale

Watalaamu wanasema yale ma protini ndio tatizo

USSR
 
Mbona hapa kati tumekuwa na mada nyingi sana kuhusu ushoga? Isijekuwa tunaueneza kwa njia ya kuupinga! Jambo la aibu kama hilo kuongelewa sana, inanishangaza!
Inshu za kudai uhuru enzi za Mwamba Hayati Dr JPM mlisemaga kuwa kelele za media zina positive impacts kutokomeza udikteta wake ambapo kiuhalisia mimi sikuuona hata huo udikteta wa Shujaa wa Afrika, leo hii inakuwaje hizi hizi media zisiwe na faida kuupiga vita ushoga na kuutokomeza kabisa?

Si double standards hizi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh.
Akati mie ni mwanachama bora wa JF 2022, Tuzo kuchukua mwisho kesho.

Binamu wewe tuzo ulichukua siku ile mmeitwa maana nasikia saa kumi na moja ulikua makao makuu ya jf , na hadi usafi ulisaidiasaidia
 
Hizi habari ni hatari kaka zisikie tu,Kuna jamaa ana ndugu US hua anamletea sana vifaa vya kielectronics mfano simu, katika kufahamiana nikamuomba aniuzie simu ambayo aliokua anatumia,akakubali,
Sasa akasahau kufuta akaunti zake za facebook,Messenger,tiktok,Insta, google akaunti,alichofanya yeye ni kulog out kwenye akaunti zake,akasahau kwamba google hua inasave passwords,

Sasa wkt nataka kulogin kwenye akaunti zangu nikakuta google imeshaweka username na password nikalogin, nilichokutana nacho humo kwenye msg ni hatari.Lets pray for the nation
Alikuwa baunsa au normal guy
 
Ushoga hauzuiliki tena kujadiliwa. Ni jambo geni bovu na baya kabisa kwenye jamii za kiafrika. Ni utamaduni Uliojaa kinyaa
Uliojaa fedheha
Uliojaa aibu
Uliojaa dhihaka
Uliojaa kila aina ya upuuzi
Mijadala ni mingi mitandaoni ya kupinga na ya kukubaliana na huu ushenzi

Huwezi kuelewa fadhaa, athari na maumivu ya ushoga kama huna mtoto wa kiume ama huna ndugu aliyeangukia huko. Hakuna namna unaweza kulitetea hili na kusema ni kizalia, wala kusema ni tatizo la maumbile.. Ushoga ni tatizo la kutengezwa na halipaswi kupewa nafasi ndani ya jamii iliyostaarabika.

Watengeneza hili tatizo wana mipango kabambe kweli
Walilingiza kwa watu maarufu
Wakaliingiza kwa vijana
Wakaliingiza kwa wanamichezo
Wakaliingiza kwa wasanii
Wakaliingiza kwa watu wenye ushawishi kwenye jamii
Wanachuo vyuoni, wanafunzi shuleni, wafanyakazi makazini, vijiweni na hata bodaboda wote hawa hawajaachwa kwenye hili jambo baya kabisa

Kuna hili kundi lingine pendwa kwenye jamii. Wanaume wenye mazoezi ya mwili waliojazia maarufu kama mabaunsa. Vijana usiku na mchana wako kwenye vyumba vya mazoezi maarufu kama Gyms wakitengeneza miili ili wapendeze na kuvutia. Mambo ya six packs. Jamii iliyokuwa ikiwaamini sana kama wanaume ngangari kumbe sasa ni ngangaripoa! More men down!

Sasa hivi kuwa na mwili wa mazoezi uliojazia vizuri sio sifa tena bali ni kashfa. Kwa ripoti ile ya Mwakyembe na mwandishi wake wa habari za uchunguzi.. Vijana wafanya mazoezi ya mwili wamesagiwa kunguni pakubwa sana! Je, tuhuma zile ni za kweli? Je, ni nani kati yao anaweza kujitokeza hadharani na kupinga?


Kaka kuweni makini; kuna vyakula vingi sasa hivi vimeingia Tanzania .. vyakula hivyo zinavuruga hormonies za kiume, moja ya dalili kuwa tayari hormonies zako zimevurugwa ni kukosa hamu na tendo la ngono, tendo la ndoa pili unaanza kujitenga na jinsia ya kiume.. baada ya hapo unajua kinachofuatia...
 
Mshana huyo dada anayeongea hapo na mlinzi aliyemkuta ni watu Kama waaikuzote wanaosambaza huu ujinga wa kuingiza mabainsa na ushoga mimi Naomba nitajiwe baunsa 10 tu mashoga ambao maarufu Kama nilivyotaja mimi
Sina takwimu asante
 
Ulitaka uonje tunu ya taifa na kimataifa
Hufai makanisani, hufai misikitini, hufai mitaani na hata mbinguni.

Unaanzaje kuhukumu kesi kwa kusikiliza upande mmoja tu?

Ninyi ndiyo wasomi wetu wa TZ tunaowategemea mtupeleke kwenye nchi ya asali na maziwa, kweli tutafika?
 
Kaka kuweni makini; kuna vyakula vingi sasa hivi vimeingia Tanzania .. vyakula hivyo zinavuruga hormonies za kiume, moja ya dalili kuwa tayari hormonies zako zimevurugwa ni kukosa hamu na tendo la ngono, tendo la ndoa pili unaanza kujitenga na jinsia ya kiume.. baada ya hapo unajua kinachofuatia...

Ndio utaje sasa maana vijana wanafakamia kila kitu mwisho wanagawa tunu zao za taifa
 
Kaka kuweni makini; kuna vyakula vingi sasa hivi vimeingia Tanzania .. vyakula hivyo zinavuruga hormonies za kiume, moja ya dalili kuwa tayari hormonies zako zimevurugwa ni kukosa hamu na tendo la ngono, tendo la ndoa pili unaanza kujitenga na jinsia ya kiume.. baada ya hapo unajua kinachofuatia...
Hata vidonge vya uzazi wa mpango navyo halikadhalika, tena hii niliijua tangu 2012 nikiwa Chuo kikuu na inapoteza ashki kwa Me na Ke ndiyomaana unawezakuta Wanandoa wanakaa zaidi ya mwezi mmoja, miwili bila hata ya kutamaniana kwa kupeana raha kamili ya tendo la ndoa.
 
Mshana jr mimi ni mfanya mazoezi tena ya muda mrefu sababu za kiafya na kikazi ,kuna tofauti ya mazoezi ya hawa wanaojipiga masindano ya kuwa mabonge na sisi kina fulani wa kukimbia tu viwanja na push up za hapa na pale

Watalaamu wanasema yale ma protini ndio tatizo

USSR
Sahihi kabisa wewe si mmojawao na tumeshalijadili hili na kali linux [emoji1545]
 
Back
Top Bottom