Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Wee usitake kudanganya watu hapaa, nimekuambia taja mahakama hiyo, yaan case ya ushoga iendeshwe na taarifa isitoke mtandaoni?

Mbna zile za mbeya na mtwara hata hukumu haikutoka tayari mtandaoni ime leak, na kwa sasa wako njeee.

Labda useme yuko kituo cha polisi kwa uchunguzi, ila km mahakamani na case inaendeshwa taarifa ingekua wazi. Huna wa kumdanganyaa hapaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mtoto wa la kwanza anajua huyo jamaa kaandika uongo, ukiendelea kumwambia ukweli kwamba yeye muongo atkuja na matusi jua tu majitu ya hivyo yanakuwaga maongo
 
Nimepanda na mmoja Leo akashuka magomeni, picha linaanza kavaa kipens kifuuup akikaa kinazid kupanda, kuangalia hivi naona paja laini kalichubua flan hivi, mimi tena tooooba hamna mwanaume hapa mwenyewe kavaa na kasweta juu
 
Nilichogundua wewe ni shoga baki na laana yako
One? Prove kwamba Mimi ni shoga. Mzungu alisema acheni ubaguzi wa rangi kwani ye alikuwa mweusi. Usipobagua wenye ukimwi unakua na ukimwi. Bishana kwa hoja sio matusi.
Two? Hujui Kama ushoga ni laani au sio. Coz zimetoka kwenye story za watu wa kale kujaribu kuelewa dunia na kuongoza watu saa hivi dunia imekua inajiongoza yenyewe ndo maana inaendelea huku ukibaki kuponda ushoga alafu nchi maskini
 
Picha za kutengenezwa Ili kupromote ushoga. Kwani sisi ni wanyama
Nenda kaangilia YouTube pili nenda Wikipedia usome homosexuality in animals tatu Kama kila kitu google ni fake kwa sababu zinapingana na Imani yako then Imani yako ndo fake. Nne nimetoka hio hoja kupinga watu Wanachosema kwamba hamna wanyama shoga ndo maana binadamu asiwe shoga. Since umeona wanyama shoga toa hoja ya msingi sio kukimbia kimbia
 
Hata mtoto wa la kwanza anajua huyo jamaa kaandika uongo, ukiendelea kumwambia ukweli kwamba yeye muongo atkuja na matusi jua tu majitu ya hivyo yanakuwaga maongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wakijiambiaga kuwa mashoga wanafungwa, bas wanapata ahueni.

Kwa kuwaambia sasa case zote zile 3, wahukumiwa wako njee wanakulaa ugali home kwaoo.

Eti mtu anakamatwa usiku, asubuhi anakula mvua 30, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] case hiyo imeendeshwa mda gani??

Watu wamekata rufaa na kuomb mapitio ya case, watu walee nje wana swampaa kitaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Afu anasema nn huyu, aseme wanaotoka ndo wanakua kimya ili jamii isizuke taharuki.
 
Nimepanda na mmoja Leo akashuka magomeni, picha linaanza kavaa kipens kifuuup akikaa kinazid kupanda, kuangalia hivi naona paja laini kalichubua flan hivi, mimi tena tooooba hamna mwanaume hapa mwenyewe kavaa na kasweta juu
Alikuzidi uzuri nn, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna uko bitter hivyooo.
 
Nenda kaangilia YouTube pili nenda Wikipedia usome homosexuality in animals tatu Kama kila kitu google ni fake kwa sababu zinapingana na Imani yako then Imani yako ndo fake. Nne nimetoka hio hoja kupinga watu Wanachosema kwamba hamna wanyama shoga ndo maana binadamu asiwe shoga. Since umeona wanyama shoga toa hoja ya msingi sio kukimbia kimbia
Nani anacontrol google kama sio hao hao mashoga.
 
One? Prove kwamba Mimi ni shoga. Mzungu alisema acheni ubaguzi wa rangi kwani ye alikuwa mweusi. Usipobagua wenye ukimwi unakua na ukimwi. Bishana kwa hoja sio matusi.
Two? Hujui Kama ushoga ni laani au sio. Coz zimetoka kwenye story za watu wa kale kujaribu kuelewa dunia na kuongoza watu saa hivi dunia imekua inajiongoza yenyewe ndo maana inaendelea huku ukibaki kuponda ushoga alafu nchi maskini
Niambie faida za wewe kuwa shoga au unapata raha??
Eti wanyama wanafanya kwahiyo Ni halali sisi binadamu kufanya hivyo pia au hoja yako inalenga nini hasa? Unahalalisha ushoga???
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wakijiambiaga kuwa mashoga wanafungwa, bas wanapata ahueni.

Kwa kuwaambia sasa case zote zile 3, wahukumiwa wako njee wanakulaa ugali home kwaoo.

Eti mtu anakamatwa usiku, asubuhi anakula mvua 30, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] case hiyo imeendeshwa mda gani??

Watu wamekata rufaa na kuomb mapitio ya case, watu walee nje wana swampaa kitaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Afu anasema nn huyu, aseme wanaotoka ndo wanakua kimya ili jamii isizuke taharuki.
😂😂Ni utahira tu hao,watakwambiaa marekani anasapoti sasa sijui lini biden alikuja akaanza kukamata vijana wawili na kiwafungia chumbani akiwalazimisha wafanye ushoga, akili zao na mapendeleo yao wametaka kuyafanya hayo
 
Nani anacontrol google kama sio hao hao mashoga.
Sawa. Kama google Inacontroliwa na mtu sawa. Umeshinda sibishani na wewe. Una akili kuliko wote duniani, usemalo wewe ndo ukweli na dunia nzima inaendeshwa na shoga. Sawa kaka hongera Doctor.
 
Niambie faida za wewe kuwa shoga au unapata raha??
Eti wanyama wanafanya kwahiyo Ni halali sisi binadamu kufanya hivyo pia au hoja yako inalenga nini hasa? Unahalalisha ushoga???
Mimi sio shoga ukitaka kulazimisha inama ufirwe coz shoga ni gay meaning both anaweza akawa. Naona unalazimisha kitu out of context. Kama hujaelewa uliza uambiwe the point. Nimesema point ya kuwa wanyama sio mashoga ni uwongo so watu wasiitumie Kama kigezo Cha kukataa ushoga. Kuhusu kuhalalisha hiyo sio kazi yangu. Ushoga utakuwepo Kama vile Malaya, bangi na kwa mpalange. Ila ya chumbani kwa mtu yabaki chumbani kwa mtu
 
[emoji23][emoji23]Ni utahira tu hao,watakwambiaa marekani anasapoti sasa sijui lini biden alikuja akaanza kukamata vijana wawili na kiwafungia chumbani akiwalazimisha wafanye ushoga, akili zao na mapendeleo yao wametaka kuyafanya hayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie wananichekesha na kuniacha hoi mnooo. Lol.

Watu wamevurugwaa balaa.
 
😂😂Ni utahira tu hao,watakwambiaa marekani anasapoti sasa sijui lini biden alikuja akaanza kukamata vijana wawili na kiwafungia chumbani akiwalazimisha wafanye ushoga, akili zao na mapendeleo yao wametaka kuyafanya hayo
In America gays hawafiki 5% ya taifa zima.. hajawahi tokea raisi wa marekani shoga. Sasa sijui Nani anacontrol dunia mpaka google inaandika uwongo ..na sijui anafaidika Nini kwa sababu marekani wenyewe Kuna watu wanaupinga hivyo hivyo na maisha yanaendelea. Shida watu hawaijui hata marekani kila kitu wakiskia wanakubali. Tena south Africa Ina mashoga wengi kuliko marekani Kuna nchi ulaya zina mashoga wengi Ila watu hawafanyi research wanaconclude tu marekani kisa imeendelea muache wivu na bado tutaendelea kuomba misaada coz tumegoma kukua kiakili
 
Sijakuelewa, inaendaje kivipi mkuu? Kipi ambacho wewe unataka kufahamu hasa juu ya hili janga? Ni mapambano, sheria au kipi?
Why inapambwa Sana wakati Kuna matatizo yamsingi yanayo affect maisha yetu kiuchumi kiafya kielimu na kimaendeleo. Tunakaa kupigiana kelele kuhusu vitendo vya chumbani wakati 2019 bando nanunua buku 1GB now GB moja 2500
 
Povuuuuuu la OMO, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Since umeamua umsaidie dada yako kazi na kuifanya kazi aliyofanya mama yako akakupata wewe hakuna namna utafanya uongee mbele ya wanaume tunaojitambua tukusikilize that's why huwa nakupuuza,hivi unaijua gharama ya kuwa mwanaume wewe?

Nilimwambia hivi mjinga mjinga mwenzako mmoja humu akanielewa na wewe nakwambia ukiona nime-post hapa jukwaani usihangaike kuni-quote na hii kwako ni quote yangu ya mwisho,kwanza una nini cha maana cha kusema?wewe ni kama maiti tu kasoro unapumua ila ubongo wako wote ni mfu.
 
Back
Top Bottom