[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wakijiambiaga kuwa mashoga wanafungwa, bas wanapata ahueni.
Kwa kuwaambia sasa case zote zile 3, wahukumiwa wako njee wanakulaa ugali home kwaoo.
Eti mtu anakamatwa usiku, asubuhi anakula mvua 30, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] case hiyo imeendeshwa mda gani??
Watu wamekata rufaa na kuomb mapitio ya case, watu walee nje wana swampaa kitaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu anasema nn huyu, aseme wanaotoka ndo wanakua kimya ili jamii isizuke taharuki.