Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

The anus is meant for excretion and defecation.

The anus is not for sexual intercourse.

Sexual wickedness destroys your body, stains your soul, and kills your spirit.

Refuse to be a homosexual.

Remain morally forthright and chaste
 
Mchunga mbuzi mmoja amesimulia hajawahi ona kondoo Wala mbuzi wakitumia viungo vyao tofauti na madhumuni ya uumbaji
 
Ni juma nne usiku nikiwa bar moja maarufu hapa mjini baada ya mishughuliko ming nkasema nipate moja moto moja baridi nirudi kwa nkalale na familia yangu.

Sikuamini nilichokiona kafika katika meza niliyokaa mkaka mwenye heshima yake kama kawaida ya mahali hapo watu huwa wengi sana hivyo meza moja inaweza kukaliwa n watu tofauti kila mtu akiwa na hamsini zake.

Balaa linaanza huyo mwamba ananiambia kaka kuna mgeni wangu anakuj hapa naomba icho kiti asikichukue mtu kikawaida uwa panajaa nkamjinu usijal ww weka bia inesha kama kuna mtu yupo hapo hawawez chukua akaelewa.

Kimbembe kinaanza jamaa huyo anapoingia uwezi amini hata kama anaweza kua na tabia hizo nashtuka wanaposalimiana kipumbavu. Nkasema dunia inaenda speed sana imebidi nisiongeze niwahi nyumbani mana jamaa aliyekuja anamuuliza huyo wa kwanza na huyu mdau au vipi?

Ilibidi niamke taratibu nikiwa napiga simu ya kutunga ili niondoke eneo hilo aisee tusali kila mtu kwa imani yake maana sijaelewa kabisa wala sielewi nilichokiona. 🤔🤔
 
Back
Top Bottom