Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni baba yako...tena mume wa mama yako....Asante na karibuUmeoa??
kama hufahamu maana ya neno "sunna" tafadhali usilitumie.Kumla mwanamke ndogo ni sunna mbaya dume kwa dume. 👍 👍
sawakama hufahamu maana ya neno "sunna" tafadhali usilitumie.
Tuko pamojaThank you, i will remember what you said. .
Ndyo mana jua kali sanaTumechoka mahubiri.
Tena ngoja nikakalie tango muda huu.
Yaani ukinihubiria ndo unanivuruGAAH.
Cc: Poor Brain nataka hogo
Yuko sahihi jinsia ni mbili tu Ke na MeMchunga mbuzi mmoja amesimulia hajawahi ona kondoo Wala mbuzi wakitumia viungo vyao tofauti na madhumuni ya uumbaji
Shangazi angu mie unajua kunitesa nimechoka kwani si mda huu huu umekula weweTumechoka mahubiri.
Tena ngoja nikakalie tango muda huu.
Yaani ukinihubiria ndo unanivuruGAAH.
Cc: Poor Brain nataka hogo
😂😂😂😂😂 nina siku tano sijala hogo nimebanwa kiu mnoShangazi angu mie unajua kunitesa nimechoka kwani si mda huu huu umekula wewe
Upo wapi...😂😂😂😂😂 nina siku tano sijala hogo nimebanwa kiu mno
Mbaga kaenda dodoma kwenye interview za ajira portal kaniacha na ugwadu lukuki.Upo wapi...
Yaani siku tano zote hizo na umeweza kuvumilia..
Mda huo mbaga yupo wapi
Hapo upwiru kichupa....Mbaga kaenda dodoma kwenye interview za ajira portal kaniacha na ugwadu lukuki.
Nakusubiri mme wangu, ukija nambie.Hapo upwiru kichupa....
Sasa mi nipo mBeya sasa hivi ila kesho kutwa narudi...
Sasa sio narudi unaanza kupiga chenga antiel