IDIOTIla na nyinyi mngesogeza kidogo muda hiyo Azana yenu mpaka walau saa 12 hivi! Kiukweli huwa hamtutendei haki sisi ambao hatuhusiki na hizo swala zenu. Yaani ikifika saa 10+ alfajiri ni kelele mji mzima.
Am very sorry. Kumbuka tu kila sauti inaweza kuwa na tafsiri mbili kwa msikilizaji. Binafsi kitu ambacho sihitaji kukisikia masikioni mwangu, siku zote huwa nakichukulia kama kelele.
Umekula lakini ile kitimoto yako?IDIOT
Una mimba ya Imam?IDIOT
🖕🖕🖕Umekula lakini ile kitimoto yako?
Sema walevi hampendi kuambiwa ukweli tuDini zimejaa vitisho vya ajabu sana
Mlevi una ukweli gani wa kumwambia wewe unayesadikishwa miungu ya bandia?Sema walevi hampendi kuambiwa ukweli tu
Umelikalia dole la kitimoto?
Usipotoa zaka unamwibia mungu na ukifa utahukumiwa na kizazi chako choteeDini zimejaa vitisho vya ajabu sana
Matendo mema ndiyo bora zaidi kuliko hizo ibada zilizojaa unafiki husuda roho mbayaHivi vitu vilikuwepo toka enzi na enzi na watu walijufunza kuishi navyo.
Na hawadanganyi ibada ni bora kuliko usingizi.
SawaMatendo mema ndiyo bora zaidi kuliko hizo ibada zilizojaa unafiki husuda roho mbaya
Kwani umeme hausumbui kwa sasa!😍😍Hivi vitu vilikuwepo toka enzi na enzi na watu walijifunza kuishi navyo.
Na hawadanganyi ibada ni bora kuliko usingizi.
Ila na nyinyi mngesogeza kidogo muda hiyo Azana yenu mpaka walau saa 12 hivi! Kiukweli huwa hamtutendei haki sisi ambao hatuhusiki na hizo swala zenu. Yaani ikifika saa 10+ alfajiri ni kelele mji mzima.
Am very sorry. Kumbuka tu kila sauti inaweza kuwa na tafsiri mbili kwa msikilizaji. Binafsi kitu ambacho sihitaji kukisikia masikioni mwangu, siku zote huwa nakichukulia kama kelele.
Yes hufaidiki chcht unspolala zaidi. Tena tunapaswa kulala masaa 4 tu.Kweli kabisa, sema wengi wetu huchelewa kulala ndo maana wanaona kero. Ila ule huwa ni muda mzuri sana wa kuanza siku.
Ipo siku nitaanza kuishi hiyo ratiba.
Mkuu hayo maneno sio sehemu ya adhana. Wala hayahusiani na adhana.Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.
Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu
Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi