Vitisho vya Azana

Vitisho vya Azana

Ila na nyinyi mngesogeza kidogo muda hiyo Azana yenu mpaka walau saa 12 hivi! Kiukweli huwa hamtutendei haki sisi ambao hatuhusiki na hizo swala zenu. Yaani ikifika saa 10+ alfajiri ni kelele mji mzima.

Am very sorry. Kumbuka tu kila sauti inaweza kuwa na tafsiri mbili kwa msikilizaji. Binafsi kitu ambacho sihitaji kukisikia masikioni mwangu, siku zote huwa nakichukulia kama kelele.
IDIOT
 
images - 2023-10-08T172250.968.jpeg
 
Jamaa angu umeniwahi, nikipata uongozi katika hii nchi, ntaruhusu azana pekeyake, mambo mengine watumie speaker za ndani,

Sasa mtu ameshatoa azana bado anasema maneno kibao utadhani wote wanaomsikia ni waislam, af wengi ni wazee wanamaneno ya ajabu sana.

Kuna mmoja aliwahi sema eti hiyo boda yako, ni kaburi unaweza anguka nayo. Khaaa inahusu?
 
Ila na nyinyi mngesogeza kidogo muda hiyo Azana yenu mpaka walau saa 12 hivi! Kiukweli huwa hamtutendei haki sisi ambao hatuhusiki na hizo swala zenu. Yaani ikifika saa 10+ alfajiri ni kelele mji mzima.

Am very sorry. Kumbuka tu kila sauti inaweza kuwa na tafsiri mbili kwa msikilizaji. Binafsi kitu ambacho sihitaji kukisikia masikioni mwangu, siku zote huwa nakichukulia kama kelele.

Acha uvivu. Amka. Hupachi chcht ukiwa umelala.

Kimsingi binadamu tunapaswa kulala masaa 4 tu.
 
Kweli kabisa, sema wengi wetu huchelewa kulala ndo maana wanaona kero. Ila ule huwa ni muda mzuri sana wa kuanza siku.

Ipo siku nitaanza kuishi hiyo ratiba.
Yes hufaidiki chcht unspolala zaidi. Tena tunapaswa kulala masaa 4 tu.

Tuone haya magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama tutayapata
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Mkuu hayo maneno sio sehemu ya adhana. Wala hayahusiani na adhana.
 
Back
Top Bottom