Vitisho vya Azana

Vitisho vya Azana

Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Ni kero sana hii mkuu,pole
 
Kama sio dini yako wala imani yako inakuaje hivyo vitisho wewe vinakugusa na kukushtua na kukufanya usilale mida hiyo?!

Kama wewe ni muamini Kristo jilalie zako achana na hivyo vitisho... kama wewe ni mmoja wao hao watoa vitisho... ACHA UJUAJI WE MPUMBAVU, AMKA USWALI UTAJUTA! HAKUKUWA NA SABABU YA KULETA UZI HUMU KAMA WEWE NI MMOJA WAO.
Mzee huofii watu wanajadili majin kuliko Mungu wakiongea kitu km hchi au huwa mnaona kawaida
 
Sio kwa ubaya ila pamoja na kelele zote hizo swala ya fajr hata mstari mmoja huwa haujai.
 
Sikia broo: kula mara tatu, kulala masaa 8 ni maandika yako promoted na viwanda vya madawa.

Wanachochea ili upate kuumwa ili biashara zao ziendelee.

Ukila mara moja (1 0 0) au mara mbili chakula kikuu au mara mbili (1 1 0) hutoumwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

Ukitaka kuwa tofauti ya kufikiri na wanaolala masaa 8 lala masaa 4. Masaa 4 yatumie kujisomea, fanya shughuli ya uzalishaji yyt.

Anaelala sana hafaidiki chcht na kulala kwake.

Waliofanikiwa wote hulala muda mfupi.

Ni siri hii hutoambiwa na yyt.
Wewe mwenyewe unalala masaa 4?
 
Hujui vitisho weweee..
Panda kwenye Gari lao la Msiba...
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Shuka lako ndio sanda yako, hatarii
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Mm ni Muislamu ila kuhusu haya maneno watu tu wamezusha ila kwenye uhalisia wa dini hayapo na ukiangalia wengi wanofanya hivi ni wale wazee halafu ni wabishi hatarii huna la kuwaambia mara utaishia kupigwa kipapai tu

Iliyojuzu kwenye Uislamu kutoka kwenye mafundisho Sahihi ya Mtume wetu kipenzi ni Ile Adhana tu hayo mengine ni mambo za watu tu
 
Wewe mwenyewe unalala masaa 4?

Kawaida sana hadi saa 7. Ukijizosha hivi kwa kusoma vitabu utaona uko nyuma ktk maarifa na uelewa wa mambo. Na unapata nguvu ya kutumia muda mwingi kujisomea zaidi. Na ukilala saa 7 saa 11 unaamsha na adhana. Unajisifia. Wakati wenzio wamelala wewe ulikuwa unaongoza madini
 
Mm ni Muislamu ila kuhusu haya maneno watu tu wamezusha ila kwenye uhalisia wa dini hayapo na ukiangalia wengi wanofanya hivi ni wale wazee halafu ni wabishi hatarii huna la kuwaambia mara utaishia kupigwa kipapai tu

Iliyojuzu kwenye Uislamu kutoka kwenye mafundisho Sahihi ya Mtume wetu kipenzi ni Ile Adhana tu hayo mengine ni mambo za watu tu
Mbaya sna watu kujiamria kuingiza utashi wao na kuvuka mipaka iliyowekwa Kama msingi wa dini husika
 
Back
Top Bottom