The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Ni kero sana hii mkuu,poleManeno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.
Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu
Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Mzee huofii watu wanajadili majin kuliko Mungu wakiongea kitu km hchi au huwa mnaona kawaidaKama sio dini yako wala imani yako inakuaje hivyo vitisho wewe vinakugusa na kukushtua na kukufanya usilale mida hiyo?!
Kama wewe ni muamini Kristo jilalie zako achana na hivyo vitisho... kama wewe ni mmoja wao hao watoa vitisho... ACHA UJUAJI WE MPUMBAVU, AMKA USWALI UTAJUTA! HAKUKUWA NA SABABU YA KULETA UZI HUMU KAMA WEWE NI MMOJA WAO.
Bless kamandaNi kero sana hii mkuu,pole
Kwamba unavutia Bangi chooni au cjakuelewa ?Sa si uhame tu, Bangi za chooni zinasumbua Sana
Acha na jamaa anakazia Mara kibao had unaona upo kaburini kweliKitanda chako ndo kaburi lako😆
Hatari anawatafutia njia ya kuepukwa na mkono wa mahakama watumishi waseja wa kanisa
Anaekutishaa ss yupo mskitini juu ya mkeka anafosi uache QflDini zimejaa vitisho vya ajabu sana
Wewe mwenyewe unalala masaa 4?Sikia broo: kula mara tatu, kulala masaa 8 ni maandika yako promoted na viwanda vya madawa.
Wanachochea ili upate kuumwa ili biashara zao ziendelee.
Ukila mara moja (1 0 0) au mara mbili chakula kikuu au mara mbili (1 1 0) hutoumwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza.
Ukitaka kuwa tofauti ya kufikiri na wanaolala masaa 8 lala masaa 4. Masaa 4 yatumie kujisomea, fanya shughuli ya uzalishaji yyt.
Anaelala sana hafaidiki chcht na kulala kwake.
Waliofanikiwa wote hulala muda mfupi.
Ni siri hii hutoambiwa na yyt.
Shuka lako ndio sanda yako, hatariiManeno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.
Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu
Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Mm ni Muislamu ila kuhusu haya maneno watu tu wamezusha ila kwenye uhalisia wa dini hayapo na ukiangalia wengi wanofanya hivi ni wale wazee halafu ni wabishi hatarii huna la kuwaambia mara utaishia kupigwa kipapai tuManeno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.
Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu
Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Naendelea kuupiga mwingi hadi muda huu hadi saa 7Hayo masaa 4 wewe ndio huwa una lala?
Wewe mwenyewe unalala masaa 4?
Lala mpaka asubuhi tu
Maana hakuna Mungu/mungu kwenye huu ulimwengu
Lazima uamkeShuka lako ndio sanda yako, hatarii
Mbaya sna watu kujiamria kuingiza utashi wao na kuvuka mipaka iliyowekwa Kama msingi wa dini husikaMm ni Muislamu ila kuhusu haya maneno watu tu wamezusha ila kwenye uhalisia wa dini hayapo na ukiangalia wengi wanofanya hivi ni wale wazee halafu ni wabishi hatarii huna la kuwaambia mara utaishia kupigwa kipapai tu
Iliyojuzu kwenye Uislamu kutoka kwenye mafundisho Sahihi ya Mtume wetu kipenzi ni Ile Adhana tu hayo mengine ni mambo za watu tu
Hii niliisahau vipi Sheikh wangu😂Shuka lako ndio sanda yako, hatarii