Vitisho vya Azana

Hehehehe nimecheka sana eti utaishia kupigwa kipapai...kwaiyo unaona cha kufia nin Bora uwaache tu
 
Hiyo sio adhana bali ni kelele tu adhana maneno yake ni machache sana ayachukui zaidi ya dakika 5 kama vipi nenda serikali za mitaa,lakini ukumbuke na vilio vya warokole usiku kucha majirani hawalali
 
Hehehehe nimecheka sana eti utaishia kupigwa kipapai...kwaiyo unaona cha kufia nin Bora uwaache tu
Hhhhhhhh hao wazee achana nao kabisaaa Mungu akijaalia kuwaongoza atawaongoza tu
 
HAYA MANENO HUWA SI MAZURI. MTU MUITE MUELEKEZE UZURI WA SALA SIYO KUANZA KUMTISHA NA MANENO MAKALI N.K
 
Hivi vitu vilikuwepo toka enzi na enzi na watu walijifunza kuishi navyo.

Na hawadanganyi ibada ni bora kuliko usingizi.
Hawa wanaiga mfano wa nani?? Ilihali mpiga adhana wa kwanza kabisaa Bilal bin labaah hakuwa na vitisho kwenye adhana?? A
Adhana ni ukumbusho wa kwenda kumwabudu allah na siyo kutisha watu.
 
Nje ya mada, ndani ya mada
Kuna mzee Lindi municipal kazi yake ni kuadhini. Ukimwahi akakuta umeshaanza kuadhini atakasirika na swala ya mda huo ataisusia.
Hao ndo wazee ninowazungumzia yani usikute anaweza akaadhini tena yeye na usikute wengine feni haliwashwi bila ya Amri yake ohoooooo

Kaa nao mbali wazee kama hao
 
Hawa wanaiga mfano wa nani?? Ilihali mpiga adhana wa kwanza kabisaa Bilal bin labaah hakuwa na vitisho kwenye adhana?? A
Adhana ni ukumbusho wa kwenda kumwabudu allah na siyo kutisha watu.
Kiuhalisia wanakosea sanaa mana si katika mafundisho ya Uislamu
 
Moja ya mambo hayapo kaika dini ya uslami ni hilo la adhana ya kuongeze maneno kama hayo, ila limeongezwa kana kwamba ninjia ya kuwakumbusha watu ila kisheria yafaa kuitwa BIDAA.

Tena Adhana yatakiwa semwa kwakifupi sio kuivutaaa kama vile ina urembo.
Haya niliyapataga katika kipindi naishi katika imani.

Pia ki ustarabu tuu Adhana ikishaita hakuna haja tena swala kusikika kwa maspika kwa nje wakati Swala ni kwaaajili ya walifika msikitini
 
Hawa wanaiga mfano wa nani?? Ilihali mpiga adhana wa kwanza kabisaa Bilal bin labaah hakuwa na vitisho kwenye adhana?? A
Adhana ni ukumbusho wa kwenda kumwabudu allah na siyo kutisha watu.
Andika jina la Mwenyezi Mungu kwa herufi kubwa.

Kwa mengine una point chief.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Usiombe mkae jirani na muadhini aisee na awe smekuona janayake umesimama na mshkaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ijumaa unaenda kusomwa kwenye hotba na mafumbo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani ijumaa unaenda kusomwa kwenye hotba na mafumbo[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Yaani ilo ni lazima sometimes hata adhana ya asubuhi unaweza ukasikia fumbo lako😀😀
 
Mda huo unapewa cha asubuhi[emoji23][emoji23][emoji23], na unasikia habari za kitanda chako ndio kaburi lako[emoji23][emoji23][emoji23]

Kufa ni lazima.
Mwamposa
 
Mkuu Pole.. kama inatisha tisha hiyoo.
 
Q: "Swali kabla hujaswaliwa" EOQ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…