Vitisho vya Chama cha Walimu Tanzania(CWT) dhidi ya walimu nchini

Vitisho vya Chama cha Walimu Tanzania(CWT) dhidi ya walimu nchini

Mwalimu hawezi kuiba kura na kura haziwezi kuibiwa kwenye kituo cha kupigia kura maana kule ndani kuna mawakala wa vyama vyote. Michezo hiyo hufanyika kata na wilayani wakati wa kujumlisha ambapo mwalimu hahusiki
Uko sahihi kabisa mwl na wizi wa kura wapi na wapi! Licha kwamba mwl anaangushiwa jumba bovu la kwamba anafanya jambo hilo wakati wala labda wanaotoa tuhuma hizo waseme huyo mtuhumiwa anafanya unyambilisi huo akiwa msimamizi katika level gani?
 
Uko sahihi kabisa mwl na wizi wa kura wapi na wapi!Licha kwamba mwl anaangushiwa jumba bovu la kwamba anafanya jambo hilo wakati wala labda wanaotoa tuhuma hizo waseme huyo mtuhumiwa anafanya unyambilisi huo akiwa msimamizi katika level gani?
Wengi wanalaumu tu lakini hawajui taratibu za uchaguzi zilivyo.
 
Hao CWT wabadili sera yao ada ya uanachama badala ya kukata kwa kuangalia basic salary ya mwanachama wakate flat rate kwani wanachama wao wanahudumiwa kwa kiwango sawa so kukata kwa kuangalia basic ni unyonyaji ulioharalishwa. Kama hawatabadilika wenye mawazo ya kuwakimbia wimbi lake litakuja kuwa kubwa na kuwa uncontrolled. Hivyo vitisho vya kukatwa mara mbili kwa zama hizi za utandawazi haziwezi kuaminiwa kwa muda mrefu kwani watu wanaona hakuna anayekatwa mara mbili wala nini
 
Walimu Tuna Hali Ngumu, Walimu X 3
Tutazua Kitimutimu Hadi Wizara Ya Elimu X 3
By Wagosi Wa Kaya





Utawakuta Kwenye Majukwaa Ya Ccm Wanajitambulisha Mimi Ni Mwalimu Fuko
 
Walim uoga umezidi ukitaka kuamini we siku moja vaa vizuri piga suti chukua na jamaa yako mmoja apige mkanda nje alaf nenda shule yoyote unaweza kupiga mkwara kwanzia headmaster had staff yote na wakakaa kimya bila kuuliza we ni nani maana wananidham ya uoga

Kila mmoja huko pemben atakua tu anauliza huyu atakua ni nani!? Kila mmoja anajijibu kwa hisia zake ila kukuuliza hakuna atakae jaribu.
 
SIO LAZIMA, Lakini si unawajua Waalimu wa Tanzania walivyo, hawaandamani kupinga makato au hata kuhoji kwanini Wanakatwa

Wapowapo tu.

Yaani faida wanayopata ni T-shirt tu.
Sio walimu tu watanzania sote.
By the nasikia ukishakuwa mwalimu hata kabla ya kujaza fomu wanaanza kukukata tu
 
Walim uoga umezidi ukitaka kuamini we siku moja vaa vizuri piga suti chukua na jamaa yako mmoja apige mkanda nje alaf nenda shule yoyote unaweza kupiga mkwara kwanzia headmaster had staff yote na wakakaa kimya bila kuuliza we ni nani maana wananidham ya uoga

Kila mmoja huko pemben atakua tu anauliza huyu atakua ni nani!? Kila mmoja anajijibu kwa hisia zake ila kukuuliza hakuna atakae jaribu.
Hahahaaaaaaaaa
 
Kuna vitu ambavyo walimu wanatakiwa waamshwe usingizini.

Yani chama kiitwe chakuhawata alafu kiwe chama kabisa cha kutetea walimu kweli!!!? Walimu wapewe elimu ya vyama vya wafanyakazi, waambiwe kuwa vyama vya wafanyakazi ni zaidi ya hizo fedha zao wanazokatwa kwenye mishahara yao.

Ukitaka kujua nguvu ya vyama vya wafanyakazi pata shida kazini. Hivi vitoto vinavyoanza kazi juzi hawawezi kujua haya mambo.
 
Ndugu yangu wewe inaonekana huwajui walimu wa Tanzania. Ni watu waoga kuliko kiumbe chochote kilichoumbwa na Mungu juu ya uso wa dunia hii. Wanatishwa kama watoto,huburuzwa,hufokewa mpaka na watu wa masjala kiufupi kuwa mwalimu Tanzania ni janga.
Wewe una fanya kazi gani? Tuanzie hapo kwanza
 
Kuna vitu ambavyo walimu wanatakiwa waamshwe usingizini.

Yani chama kiitwe chakuhawata alafu kiwe chama kabisa cha kutetea walimu kweli!!!? Walimu wapewe elimu ya vyama vya wafanyakazi, waambiwe kuwa vyama vya wafanyakazi ni zaidi ya hizo fedha zao wanazokatwa kwenye mishahara yao.

Ukitaka kujua nguvu ya vyama vya wafanyakazi pata shida kazini. Hivi vitoto vinavyoanza kazi juzi hawawezi kujua haya mambo.
Hebu acha kudanganya watu hakuna maboresho yeyote yaliyo fanywa na serikali kwa watumishi wa umma kwa sababu ya pressure ya chama chochote cha wafanyakazi, bali maboresho yeyote yanayo fanywa na serikali kwa watumishi wa umma ni kutokana na mipango na matakwa ya serikali yenyewe.

Ndio maana serikali haikupandisha watumishi madaraja miaka mitano mfurulizo wa nyongeza ya mishahara na hakuna chama kilicho itisha maandamano wala mgomo si TUGHE, TALWGU wala CWT sasa unapataje nguvu ya kuwananga walimu na chama chao wakati vyama vyote vina fanana sifa na vina wanachama.
 
Uko sahihi kabisa hivyo vyama pamoja na cwt wanaoogelea kwenye mabilioni ya fedha toka kwa walimu wasiowatetea kwa lolote ni watu wanaojineemesha bure while they are toothless dogs
 
Hao walimu unaowatuhumu kwamba wanashirikiana na misisiyemu kuiba kura si kweli kwani hawana mandate hiyo hata kidogo na access ya kufanya hivyo hayo mambo hayawezi kufanyika ngazi ya chini hasa kwenye polling station .so try to rethink your allegations are not valid
Pole mwalimu badilikeni mkipewa viposho vya wlfu kumi mnasahau shida zenu Sasa mnakuja kulialia.

Life is about choices we make.
 
Kujiunga na chama cha wafanyakazi siyo lazima.

Ila kukatwa makato Ni LAZIMA hata ukwepe vipi.

Sheria inavitaka vyama vya wafanyakazi kukata Kuna kitu wanaita ADA YA UWAKALA, na hii Ni kwa Watumishi wote ambao siyo wanachama ila wanafanya kazi sehemu ambayo theluthi ya Watumishi Ni wanachama.

Kwahiyo vyama vya wafanyakazi huwa vinatumia huo mwanya kukata 2% ya mtumishi yeyote awe Mwanachama au asiwe Mwanachama.
Hivi kuna Mwalimu yeyote anayejiunga rasmi na CWT? anajaza form ipi ya kujiunga? Anajiungaje?

Waalimu wanaungwa automatically BILA RIDHAA yao na hawashirikishwi.

Unakuaje Mwanachama wa chama flani pasipo kujiunga kwa ridhaa?
 
Sijui serikali inakiogopa hiki chama?

Ila inasemekana katelefon nae ana hisa hapo ndo maana
 
Back
Top Bottom