Vitisho vya Chama cha Walimu Tanzania(CWT) dhidi ya walimu nchini

Vitisho vya Chama cha Walimu Tanzania(CWT) dhidi ya walimu nchini

Hivi kuna Mwalimu yeyote anayejiunga rasmi na CWT? anajaza form ipi ya kujiunga? Anajiungaje?

Waalimu wanaungwa automatically BILA RIDHAA yao na hawashirikishwi.

Unakuaje Mwanachama wa chama flani pasipo kujiunga kwa ridhaa?
Soma hapo just, nimeshatoa maelezo.

Na hii siyo kwa walimu tu, Ni vyama vyote vya wafanyakazi
 
Kujiunga na chama cha wafanyakazi siyo lazima.

Ila kukatwa makato Ni LAZIMA hata ukwepe vipi.

Sheria inavitaka vyama vya wafanyakazi kukata Kuna kitu wanaita ADA YA UWAKALA, na hii Ni kwa Watumishi wote ambao siyo wanachama ila wanafanya kazi sehemu ambayo theluthi ya Watumishi Ni wanachama.

Kwahiyo vyama vya wafanyakazi huwa vinatumia huo mwanya kukata 2% ya mtumishi yeyote awe Mwanachama au asiwe Mwanachama.

sio kweli.
Huwezi kukatwa makato kama sio mwanachama.
Halafu nenda kasome vizuri hilo suala la agency fee naona umejichanganya.
Unaposema mtumishi yeyote anakatwa hiyo hela nayo si kweli mfano mimi sikatwi na wala sio mwanachama wa chama cha wafanyakazi kutokana na cheo changu ofisini (senior mgt position),
Mahakimu na majaji ni watunishi ila hawapo kwenye chama chochote na hawakatwi hela yeyote
Umeongea vitu ambavyo huvifahamu vizuri ndugu.
By Guru in HR
 
sio kweli.
Huwezi kukatwa makato kama sio mwanachama.
Halafu nenda kasome vizuri hilo suala la agency fee naona umejichanganya.
Unaposema mtumishi yeyote anakatwa hiyo hela nayo si kweli mfano mimi sikatwi na wala sio mwanachama wa chama cha wafanyakazi kutokana na cheo changu ofisini (senior mgt position),
Mahakimu na majaji ni watunishi ila hawapo kwenye chama chochote na hawakatwi hela yeyote
Umeongea vitu ambavyo huvifahamu vizuri ndugu.
By Guru in HR
Huna akili
 
inaonekana unakaliaga sana endelea na ufala wako ila nakushauri acha kukomenti uongo kama kitu hukifahamu kheri ukae kimya
Utakuta na wewe ni katibu wa CWT
Umeshawahi kusoma Sheria ya ajira na mahusiano kazini?

Umewahi kusoma hata Katiba za vyama vya wafanyakazi?

Unajua Ada ya Iwakala ( Agency fees ) ?
 
Kwani lazima walimu muwe kwenye hicho chama? Usipokuwa kwenye hicho chama nini kinatokea?? Maana naona kama wawakata Hela tu bila sababu za msingi, sioni kinapowatetea zaidi ya kutetea matumbo yao tu
Kitu usichojua ni kuwa maDED na maafisa watumishi wote wanapata mgao wao kutokana na makato ya walimu.
Kuna rafiki yangu mmoja ni mwalimu mwezi wa 3 mwaka jana alijitoa CWT akajiunga na chama kingine.
Jamaa alipewa vitisho sana lakini alikomaa mwezi wa 7 mwaka jana kwenye salary slip alikuta makato ya vyama viwili yaani kile kipya alichojiunga kwa hiyari yake pamoja na makato ya CWT.
Jamaa akaamua kukomaa hivyo hivyo lakini mwisho wa siku mwezi wa 10 kakuta makato ya chama kipya alichojiunga kwa hiyari yameondolewa yamebaki ya CWT.
 
CWT ni Tawi tanzu la Chama cha Majizi!
Ukiangalia hata lugha ya huyo katibu, hali ni mbaya ipi, asihame Mwalimu, viongozi hawatachaguliwa tena, ni lugha ya chama Fulani cha siasa??

Walimu hameni ili hao ngumbaru CWT, wakose migao ya kupeleka kwenye chama!
 
Kitu usichojua ni kuwa maDED na maafisa watumishi wote wanapata mgao wao kutokana na makato ya walimu.
Kuna rafiki yangu mmoja ni mwalimu mwezi wa 3 mwaka jana alijitoa CWT akajiunga na chama kingine.
Jamaa alipewa vitisho sana lakini alikomaa mwezi wa 7 mwaka jana kwenye salary slip alikuta makato ya vyama viwili yaani kile kipya alichojiunga kwa hiyari yake pamoja na makato ya CWT.
Jamaa akaamua kukomaa hivyo hivyo lakini mwisho wa siku mwezi wa 10 kakuta makato ya chama kipya alichojiunga kwa hiyari yameondolewa yamebaki ya CWT.
Mgao utakuwepo Sana. Otherwise hawapiganii maslahi ya walimu bali, wakubwa wao!
 
Kitu usichojua ni kuwa maDED na maafisa watumishi wote wanapata mgao wao kutokana na makato ya walimu.
Kuna rafiki yangu mmoja ni mwalimu mwezi wa 3 mwaka jana alijitoa CWT akajiunga na chama kingine.
Jamaa alipewa vitisho sana lakini alikomaa mwezi wa 7 mwaka jana kwenye salary slip alikuta makato ya vyama viwili yaani kile kipya alichojiunga kwa hiyari yake pamoja na makato ya CWT.
Jamaa akaamua kukomaa hivyo hivyo lakini mwisho wa siku mwezi wa 10 kakuta makato ya chama kipya alichojiunga kwa hiyari yameondolewa yamebaki ya CWT.
Watu wengi wanaweka bweka mitandaoni kwasababu hawajui.

Hili zimwi la vyama vya wafanyakazi, Ni Serikali tu ndio inaweza kusaidia.

Vinajificha sana kwenye Ada ya UWAKALA kukata mishahara kwa watu ambao sio wanachama wao.

Na hivi vyama vina wawakilishi ambao kama mwajiri naye ni mnufaika, lazima utakatwa tu.

Na hii siyo kwa CWT pekee. Vyama vyote vya wafanyakazi Tanzania vinafanana kwa kila kitu.

Hata hivi vyama vipya vinavyoanzishwq na kuanza kushawishi Watumishi, hameni chama A, jiungeni huku Ni kwasababu wameona kina MANUFAA.
 
Kujitoa si mnaweza ?
Utajitoaje kwanza wakati wewe siyo Mwanachama?

Maana yake utakatwa na huwezi kupata huduma kutoka kwao kwasababu wewe siyo Mwanachama.

Unachokatwa utaambiwa Ni ADA YA UWAKALA ambayo ipo kisheria.

Tena ukikuta DHRO Ni mwakilishi au mnufaika wa chama cha wafanyakazi, utaandika BARUA 500 na hakuna mtu ATAKUTOA.
 
Utajitoaje kwanza wakati wewe siyo Mwanachama?

Maana yake utakatwa na huwezi kupata huduma kutoka kwao kwasababu wewe siyo Mwanachama.

Unachokatwa utaambiwa Ni ADA YA UWAKALA ambayo ipo kisheria.

Tena ukikuta DHRO Ni mwakilishi au mnufaika wa chama cha wafanyakazi, utaandika BARUA 500 na hakuna mtu ATAKUTOA.
Na vitisho juu
 
Aisee huu si unyonyaji lakini hapo juu kuna jamaa amesema ameandika barua amefuatilia hawamkati kabisa hivi hii imekaaje ?
Happ huwa inategemea na nguvu na uelewa wa DED.

MaDED wengi huwa wanaendeshwa na Wakuu wa Idara kwasababu ya ugeni wa Ofisi, hivyo wanaburuzwa tu.

DED akiamua wakutoe wanakutoa.
 
Hujui unachoongea.

Vyama vyote vya wafanyakazi Tanzania vinafanana. Na wote Nia yao ni moja.

Watumishi hawana pa kusemea maana waandaaji wa MEI MOSI ndio hao hao Wanyonyaji.
Pamoja na vyama vyote kua ovyo ila kada ya ualimu chini ya hicho chama chao ndio kada ya kinyonge kuliko kada zote nchi hii.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na vyama vyote kua ovyo ila kada ya ualimu chini ya hicho chama chao ndio kada ya kinyonge kuliko kada zote nchi hii.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakuna chama Chenye uwezo wa KUIVIMBIA serikali.

Na ndio maana Mimi nasema, hakuna haja ya chama cha wafanyakazi.

Muhimu Ni kujitahidi kutofanya makosa makubwa kazini na kama ikitokea tafuta tu mwanasheria.
 
Back
Top Bottom