Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu

Jirizishe... mimi hiyo hali ilinipata...kuna kijanA msongo ndio akawa amekua selected F5 PCB mdogo wangu.. nikamshirikishA... tukajadili... tukapata majibu kuwa sio Vinyoka bali ni Earth Worms... Earth worms wanafanana sana Na VinyokA... jaribu kuchunguzA vizuri...
 
Daah mkuu si ungekitandika kwa ndala hicho kinyoka kisha ukakimbia sasa umekiacha utafahamu aje kilipoelekea.

Kama una pesa kesho ita watu wa usafi,tafuta hizi kampuni wanapulizia hadi dawa watakusafishia nyumba nzima
I wish ningeweza ila nimepata panick.

Kesho fummigation inabid ihusike. kwakeliNafikiria kama kuna anti venom vaccination ningechoma pia.
 
Fanya usafi hyo nyumba yote na makorokoro yatoe yote.
Ingekua mim ningeendaa kulala nje na mlinzi
 
Nyumba ina mpangilio mkuu ila ni vitu tu vya ndan kama makoch na makabati.
Mvungun hakuna kitu ila ni kitanda kisichoonesha uvungu.
 
Ni Dm namba yako nije nikusaidie, mimi ni nyoka expert from Snake in the city program ya bondeni kwa late madiba
 
Nioe tu ila nyoka wakiisha si tunaweza kuachana na kurudiana wakirud tena?

Huyo mdogo sijui alitupwaje
 
We ke au me kwanza
 
Asante kwa ushaur
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…