Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu

Wengine watachangia na kutoa mawazo yao kuhusu nyoka. Mimi nitadeal na jambo jingine;

Kumbe hujaolewa bado? πŸ€”
 
Asante.
Nitapata suluhisho kesho.
Hawa walinz ni visiran sijui hawajalipwa mshahara.

Thanks sijajua uandish umetokea vizur😁
Wa kuwalipa mshahara si wewe uliewaajiri?
Watumie hao hao walinzi ndivyo walivyo.

Uandishi mzuri sana uliotukuka, umepangilia vizuri sana.
 
U
Una ishi wapi nije nikusaidie
 
Wacha kumtegemea Yesu. Weka mafuta ya taa, hakikisha una dawa ya anti venom karibu ukiumwa na nyoka, hakikisha una mabaka ya mkorosho karibu yanasaidia ukiumwa unayanyonya yaliyolowekwa katika maji.

Hakikisha unakata machaka kuzunguka nyumba yako.
 
Afadhali umuoe tu anakaaje pekeyake ndani ona sasa kalala bila kujisaidia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…