Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu

Mumeo yuko wapi?
 
Uza nyumba fasta na hamia kwingine kwani hapo hapakufai
 
Ngono hata Mimi napenda Mkuu, hapa penyewee natoka Dodoma Kwa Bidada angu tulokutana JF 😋😋, uzuri Bidada naye anapenda Ngono, kwahiyo tumekutana wapenda ngono
Yes mkuu.
Very nyoronyoro indeed halafu wanawaza ngono tu.

Hongera kwa kuua chatu mkuu
Kikubwa, Mwanaume unatakiwa ugangamaree
 
Hee ukamkamata kabisa kwa mikono
 
Hee ukamkamata kabisa kwa mikono
Ndio Mkuu maana nilikuaga naona Kwa wakubwaa, kumuwin chatu kwanza lazima wambane shingon/Kichwa Kwa mbao .

Na lile eneo pale kulikuaga kumezungukwa na kipori fulan hivi Mara nyingi .


Hiyo siku nilijikuta tu namkamata shingo Kwa mikono yangu , Dogo mwenzangu akaanza kumpiga ,mwenyewee akajifungua kumuachia Mbuzi, Mimi hapo nmekamata shingo nimembania chini, Dogo anaendelea kupiga baadae tukamalizia Kichwa .
 
Say no to mafurushis!

GoogleView attachment 2588399
Picha yako haina uhalisia na maisha ya kweli mkuu.

Nyumba yangu ina sehumu nyingi nyoka anaweza kujificha.
Chumbani kwangu kuna kitanda tu na bedsides ila choon kuna kikabati kuna bathtub huko kote anaweza kujificha.

Nina walk-in closet huko nako akiingia anaweza kujificha kwenye nguo kwenye mapoch kwenye viatu popote.kuna vitanda havina mivungu,kuna makabati jikoni.Kuna makochi na korokoro nyingine za maisha ya nyumbani.Sasa hiyo picha yako unadhan huyo anayelala hapo hana anapohifadh nguo,hana makochi,hana machine ya kufulia, kuoshea vyombo?Hayo yote ni makorokoro ambayo nyoka anaweza kujificha.
 
Kumbe mwenzetu una bathtub! Wewe si mtu wa kawaida sasa sijui kwanini unashindwa kuwaita faya na uokoaji, polisi, askari wa wanyamapori na mwenyekiti wa mtaa. Niliwahi kuandika humu kuwa ukimuona nyoka chumbani kwako usimuogope wala usimuue kwani yeye hana shughuri na wewe, muache muda ukifika atatoka kwani mlango alioingilia anaujua.
Nyoka ni kiumbe na anahitaji upendo.
 
Hivi nyoka anakula chakula gani?
 
Aise umejua kunichekesha..nimwcheka hadi machozi..how come unaogopa nyoka🥵🙌
 
Kuwa na bathtub ingekua big deal basi nisingekua nimeamka nimefulia kama hivi nilivyofulia leo mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…