Itakuwa minyoo kama njia ya kupitisha maji ya bafu ni chafu huwa inakuja na kuanza kutambaa kwenye tairizi ina afya kama nyokaNi minyoo tu hiyo,sema fanya mpango wa petrol Kisha nyunyuzia nyumba yote baada ya dk 10 fungua milango yote ili wakimbie.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Tushakujua wewe ni singo mama.Mume kasafiri.
Ila hz hasira zako vipi umekula kweli?
Mumeo yuko wapi?Hello people.
Naandika hapa nikiwa natetemeka jamani niko ndani ya neti naogopa kushusha miguu chini na nimebanwa na haja lakini naogopa kwenda chooni.😭
Ni hivi,nilikua naenda kuoga bafuni ile kuwasha taa nikaona kitoto cha nyoka cheusi kinatembea kwenye maungio ya tiles.
Nilivyokiona tu kile kinyoka akili ikanambia mama yake hayuko mbali.Nikajikuta natengeneza picha ya mama yake na kwa jinsi ninavyoogopa nyoka nikajikuta napiga yowe moja kali nikageuka fasta kurud chumban na ku dive kitandani na kuchomekea neti.Moyo unadunda nataman kulia na sitapata usingizi leo.
Two weeks ago niliona tena kitoto cha nyoka kama hichi cha leo ila kilikua kimekufa na kwa vile mazingira yalisafishwa na kilikua kimekufa sikujali.
Hichi cha leo kimenitia presha sikuwahi kuwaza nitaona nyoka ndani ya nyumba yangu.Yesu nitetee mimi jamani😭.
Nahisi tu kuna wazazi wao somewhere nyumban kwangu wanazaliana tu jamani😭.Sijui wako mvunguni,sijui wako chini ya bathtub,sijui wako kabatin,sijui wako kwenye moja ya mapoch yangu.
Sitakua tena na amani na hii nyumba,ingekua ugenin kesho ningeaga ila hapa ni kwangu na mbaya nyumba ni kubwa na kila room imejaa vitu.Hata nikitafute mtu anisaidie kuwatafuta awaue ataanzia wapi aishie wapi?
Mlinzi kaja dirishan anauliza madam vp mbona mayowe?Namwambia kuna nyoka bafuni kwangu.Anauliza mkubwa kias gani?Namwambia ni kitoto kama kile tulichoona kimekufa siku ile.Baada ya kumjibu hivyo namsikia anafyonza huko nje then anawasha kiredio chake anaondoka.Namwambia sasa unanisaidiaje?Anasema huyo ni kama mjusi tu we lala then namsikia mwenzie anacheka hlf anamwambia mwambie ni kama mnyoo huyo alishavunja mguu kwa kuogopa mjusi.
Anyways.Wakuu naomba mnisaidie mawazo ya nini kifanyike kuhakikisha hawa viumbe kama wanaishi humu ndani wanatoka na kufa kabisa.
Hivi hakuna dawa ya ku spray nipulize nyumba nzima kama wapo wafe?
Pia naomba kujuzwa,hivi ukiona vitoto si ni ishara kuwa wazazi wao wapo around eeh?
Hapana yeye ndo angeenda kulala na mlinzi nje.Au angemualika mlinzi alale nae ndani tu.
Daaaah!Tushakujua wewe ni singo mama.
Mwenye mume hana muda wa kutuletea mada ya ajabu ajabu kama yako.
Una Kibenten, hakiwezi hata kuua mtoto wa nyoka.
Kikubwa, Mwanaume unatakiwa ugangamareeYes mkuu.
Very nyoronyoro indeed halafu wanawaza ngono tu.
Hongera kwa kuua chatu mkuu
Hee ukamkamata kabisa kwa mikonoTatizo humu JF ulikokuja kuomba ushauri kumejaa Vijana lojolojo wa Dar, na wao wanaogopa nyoka.
Nakumbuka nikiwa na miaka 14 nikiwa Kwa Bibi kijijin huko Ndani ndani Bariadi siku Moja tukawa tunasikia Mbuzi analia Sanaa meeee meeeee meeeee
Mida hiyo Asubuh nilikuwepo Mimi na Mtoto mwenzangu tulikua tunaringana umri.
Aisee tukakimbilia kunakotoka sauti, kufika huyo Chatu, walalalala wosashashaa chatu huyo .
Sijui hata ilikuaje, nilijikuta nimemkamata shingo yule chatu ,huku namuambia mwenzangu ampige Kwa mpini ulikua pemben.
Yule Chatu akamuachia Mbuzi, Dogo akaendelea kutia kipondo tuu, Tulimuaa!!.
Ndio Mkuu maana nilikuaga naona Kwa wakubwaa, kumuwin chatu kwanza lazima wambane shingon/Kichwa Kwa mbao .Hee ukamkamata kabisa kwa mikono
Picha yako haina uhalisia na maisha ya kweli mkuu.
Kumbe mwenzetu una bathtub! Wewe si mtu wa kawaida sasa sijui kwanini unashindwa kuwaita faya na uokoaji, polisi, askari wa wanyamapori na mwenyekiti wa mtaa. Niliwahi kuandika humu kuwa ukimuona nyoka chumbani kwako usimuogope wala usimuue kwani yeye hana shughuri na wewe, muache muda ukifika atatoka kwani mlango alioingilia anaujua.Hello people.
Naandika hapa nikiwa natetemeka jamani niko ndani ya neti naogopa kushusha miguu chini na nimebanwa na haja lakini naogopa kwenda chooni.😭
Ni hivi,nilikua naenda kuoga bafuni ile kuwasha taa nikaona kitoto cha nyoka cheusi kinatembea kwenye maungio ya tiles.
Nilivyokiona tu kile kinyoka akili ikanambia mama yake hayuko mbali.Nikajikuta natengeneza picha ya mama yake na kwa jinsi ninavyoogopa nyoka nikajikuta napiga yowe moja kali nikageuka fasta kurud chumban na ku dive kitandani na kuchomekea neti.Moyo unadunda nataman kulia na sitapata usingizi leo.
Two weeks ago niliona tena kitoto cha nyoka kama hichi cha leo ila kilikua kimekufa na kwa vile mazingira yalisafishwa na kilikua kimekufa sikujali.
Hichi cha leo kimenitia presha sikuwahi kuwaza nitaona nyoka ndani ya nyumba yangu.Yesu nitetee mimi jamani😭.
Nahisi tu kuna wazazi wao somewhere nyumban kwangu wanazaliana tu jamani😭.Sijui wako mvunguni,sijui wako chini ya bathtub,sijui wako kabatin,sijui wako kwenye moja ya mapoch yangu.
Sitakua tena na amani na hii nyumba,ingekua ugenin kesho ningeaga ila hapa ni kwangu na mbaya nyumba ni kubwa na kila room imejaa vitu.Hata nikitafute mtu anisaidie kuwatafuta awaue ataanzia wapi aishie wapi?
Mlinzi kaja dirishan anauliza madam vp mbona mayowe?Namwambia kuna nyoka bafuni kwangu.Anauliza mkubwa kias gani?Namwambia ni kitoto kama kile tulichoona kimekufa siku ile.Baada ya kumjibu hivyo namsikia anafyonza huko nje then anawasha kiredio chake anaondoka.Namwambia sasa unanisaidiaje?Anasema huyo ni kama mjusi tu we lala then namsikia mwenzie anacheka hlf anamwambia mwambie ni kama mnyoo au hujui kuna siku huyo alishavunja mguu kwa kuogopa mjusi.?
Anyways.Wakuu naomba mnisaidie mawazo ya nini kifanyike kuhakikisha hawa viumbe kama wanaishi humu ndani wanatoka na kufa kabisa.
Hivi hakuna dawa ya ku spray nipulize nyumba nzima kama wapo wafe?
Pia naomba kujuzwa,hivi ukiona vitoto si ni ishara kuwa wazazi wao wapo around eeh?
Hivi nyoka anakula chakula gani?Punguza vitu vilivyojazana huko ndani kwako, si ajabu unaisha na wadudu wengi bila kufahamu, kama kweli huko ndani kuna nyoka basi na vyakula vyake vipo humk humo...
Mpangilio wa nyumba ni kitu cha muhimu sana , inashangaza unahisi yupo uvunguni, si ajabu hadi uvunguni wa kitanda chako kumejaa makoro koro....
Shame on me mkuu ila hawa viumbe wanaweza hata kuniua kwa preshaYaani unaogopa kitoto cha nyoka.... 🙁
Aise umejua kunichekesha..nimwcheka hadi machozi..how come unaogopa nyoka🥵🙌Hello people.
Naandika hapa nikiwa natetemeka jamani niko ndani ya neti naogopa kushusha miguu chini na nimebanwa na haja lakini naogopa kwenda chooni.😭
Ni hivi,nilikua naenda kuoga bafuni ile kuwasha taa nikaona kitoto cha nyoka cheusi kinatembea kwenye maungio ya tiles.
Nilivyokiona tu kile kinyoka akili ikanambia mama yake hayuko mbali.Nikajikuta natengeneza picha ya mama yake na kwa jinsi ninavyoogopa nyoka nikajikuta napiga yowe moja kali nikageuka fasta kurud chumban na ku dive kitandani na kuchomekea neti.Moyo unadunda nataman kulia na sitapata usingizi leo.
Two weeks ago niliona tena kitoto cha nyoka kama hichi cha leo ila kilikua kimekufa na kwa vile mazingira yalisafishwa na kilikua kimekufa sikujali.
Hichi cha leo kimenitia presha sikuwahi kuwaza nitaona nyoka ndani ya nyumba yangu.Yesu nitetee mimi jamani😭.
Nahisi tu kuna wazazi wao somewhere nyumban kwangu wanazaliana tu jamani😭.Sijui wako mvunguni,sijui wako chini ya bathtub,sijui wako kabatin,sijui wako kwenye moja ya mapoch yangu.
Sitakua tena na amani na hii nyumba,ingekua ugenin kesho ningeaga ila hapa ni kwangu na mbaya nyumba ni kubwa na kila room imejaa vitu.Hata nikitafute mtu anisaidie kuwatafuta awaue ataanzia wapi aishie wapi?
Mlinzi kaja dirishan anauliza madam vp mbona mayowe?Namwambia kuna nyoka bafuni kwangu.Anauliza mkubwa kias gani?Namwambia ni kitoto kama kile tulichoona kimekufa siku ile.Baada ya kumjibu hivyo namsikia anafyonza huko nje then anawasha kiredio chake anaondoka.Namwambia sasa unanisaidiaje?Anasema huyo ni kama mjusi tu we lala then namsikia mwenzie anacheka hlf anamwambia mwambie ni kama mnyoo au hujui kuna siku huyo alishavunja mguu kwa kuogopa mjusi.?
Anyways.Wakuu naomba mnisaidie mawazo ya nini kifanyike kuhakikisha hawa viumbe kama wanaishi humu ndani wanatoka na kufa kabisa.
Hivi hakuna dawa ya ku spray nipulize nyumba nzima kama wapo wafe?
Pia naomba kujuzwa,hivi ukiona vitoto si ni ishara kuwa wazazi wao wapo around eeh?
AhqhahhajjaShame on me mkuu ila hawa viumbe wanaweza hata kuniua kwa presha
Akalale na mlinzi? Sentensi tata hii😅Fanya usafi hyo nyumba yote na makorokoro yatoe yote.
Ingekua mim ningeendaa kulala nje na mlinzi
Kuwa na bathtub ingekua big deal basi nisingekua nimeamka nimefulia kama hivi nilivyofulia leo mkuu.Kumbe mwenzetu una bathtub! Wewe si mtu wa kawaida sasa sijui kwanini unashindwa kuwaita faya na uokoaji, polisi, askari wa wanyamapori na mwenyekiti wa mtaa. Niliwahi kuandika humu kuwa ukimuona nyoka chumbani kwako usimuogope wala usimuue kwani yeye hana shughuri na wewe, muache muda ukifika atatoka kwani mlango alioingilia anaujua.
Nyoka ni kiumbe na anahitaji upendo.