Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Kama wanatokkea bafuni basi wamezaliwa either kwenye chemba ama shimo la choo so wanapitia kwenye bomba la maji machafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUYO MUME NI TOFAUT NA YULE ALIYE KUACHA MWAKA JANA OCTOBER? kulingana na huu uzi👇Mume kasafiri.
Ila hz hasira zako vipi umekula kweli?
Apocalypto haichoshi kuitazama hata uirudie mara 10 utapata msisimko uleule wa kwanzaMel Gibson mtu mbad Sana mzee wa Apocalypto na braveheart
🤣🤣🤣🤣🤣kha🤣🤣Nyoka huwa wanapanda sana kitandani kutafuta joto usishangae ukamkuta yuko pembeni yako
Nipe namba yako mwezi wa Ramadhan ukiisha nije kukusaidia kumuua
Kiranga nakukubali sana kaka yangu ila niache na Yesu wangu.Ungemtegemea Yesu, usingekuja kuomba ushauri hapa.
Ina maana hapa tunaweza kukusaidia kuliko huyo Yesu?
Huyo Yesu hata humuamini.
Ni kweli mwanaume ni muhimu na Im not a 50/50 lady.Ndio umuhimu wa kuwa na mwanaume sasa, Yale mambo ya 50/50 ni nadharia tu
Harufu ya walinzi mbona haijawakimbizaTafuta Mume na hao nyoka hawata isogelea hata hiyo Nyumba yako, Wanaume tuna harufu flani hivi kuna baadhi ya wadudu haipendi kuisikia!!
Yes mkuu.Tatizo humu JF ulikokuja kuomba ushauri kumejaa Vijana lojolojo wa Dar, na wao wanaogopa nyoka.
Nakumbuka nikiwa na miaka 14 nikiwa Kwa Bibi kijijin huko Ndani ndani Bariadi siku Moja tukawa tunasikia Mbuzi analia Sanaa meeee meeeee meeeee
Mida hiyo Asubuh nilikuwepo Mimi na Mtoto mwenzangu tulikua tunaringana umri.
Aisee tukakimbilia kunakotoka sauti, kufika huyo Chatu, walalalala wosashashaa chatu huyo .
Sijui hata ilikuaje, nilijikuta nimemkamata shingo yule chatu ,huku namuambia mwenzangu ampige Kwa mpini ulikua pemben.
Yule Chatu akamuachia Mbuzi, Dogo akaendelea kutia kipondo tuu, Tulimuaa!!.
Hawa damu zetu haziwivi na huwa sifurahii ikiwaga zamu yao.🤣🤣🤣🤣🤣 walinzi wako makauzu sana
Thanks mkuuHumu utadanganywa mengi tafadhali tafuta Mafuta ( Petrol ) kisha imwagie Kuzunguka Nyumba yako yote ( na ukiweza dondoshea Matone ) ndani ya Nyumba yako au Chumbani Kwako na hao Nyoka wakiendelea kuwepo tena njoo uninyang'anye Kitambulisho changu cha Taifa na Passport yangu iliyoisha muda wake sawa?
Kila la Kheri.
Yes dear.Kikubwa umeamka salama 🙏
Mkuu kwanini una divert focus ya uzi wangu ?HUYO MUME NI TOFAUT NA YULE ALIYE KUACHA MWAKA JANA OCTOBER? kulingana na huu uzi👇
Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?
Salaam. October last year niliachwa na mwanaume niliyetokea kumpenda sana. Alionyesha kunipenda na kuahidi ndoa ila mpaka anafikia kusema ITS OVER sikushangaa tokana na mapicha picha nlokua nikijionea mwishoni mwishoni. Kuumia kwa kuachwa na umpendae ni kawaida ila alivyosema tu tuachane...www.jamiiforums.com
Utakuwa salamaYes dear.
Mungu mwema🙏
Na kinyoka kimeuliwa japo sina uhakika ni kile nilichokiona au alouliwa ni ndugu yake.
Wewe ni MWANAMKE au MWANAUMEHello people.
Naandika hapa nikiwa natetemeka jamani niko ndani ya neti naogopa kushusha miguu chini na nimebanwa na haja lakini naogopa kwenda chooni.😭
Ni hivi,nilikua naenda kuoga bafuni ile kuwasha taa nikaona kitoto cha nyoka cheusi kinatembea kwenye maungio ya tiles.
Nilivyokiona tu kile kinyoka akili ikanambia mama yake hayuko mbali.Nikajikuta natengeneza picha ya mama yake na kwa jinsi ninavyoogopa nyoka nikajikuta napiga yowe moja kali nikageuka fasta kurud chumban na ku dive kitandani na kuchomekea neti.Moyo unadunda nataman kulia na sitapata usingizi leo.
Two weeks ago niliona tena kitoto cha nyoka kama hichi cha leo ila kilikua kimekufa na kwa vile mazingira yalisafishwa na kilikua kimekufa sikujali.
Hichi cha leo kimenitia presha sikuwahi kuwaza nitaona nyoka ndani ya nyumba yangu.Yesu nitetee mimi jamani😭.
Nahisi tu kuna wazazi wao somewhere nyumban kwangu wanazaliana tu jamani😭.Sijui wako mvunguni,sijui wako chini ya bathtub,sijui wako kabatin,sijui wako kwenye moja ya mapoch yangu.
Sitakua tena na amani na hii nyumba,ingekua ugenin kesho ningeaga ila hapa ni kwangu na mbaya nyumba ni kubwa na kila room imejaa vitu.Hata nikitafute mtu anisaidie kuwatafuta awaue ataanzia wapi aishie wapi?
Mlinzi kaja dirishan anauliza madam vp mbona mayowe?Namwambia kuna nyoka bafuni kwangu.Anauliza mkubwa kias gani?Namwambia ni kitoto kama kile tulichoona kimekufa siku ile.Baada ya kumjibu hivyo namsikia anafyonza huko nje then anawasha kiredio chake anaondoka.Namwambia sasa unanisaidiaje?Anasema huyo ni kama mjusi tu we lala then namsikia mwenzie anacheka hlf anamwambia mwambie ni kama mnyoo huyo alishavunja mguu kwa kuogopa mjusi.
Anyways.Wakuu naomba mnisaidie mawazo ya nini kifanyike kuhakikisha hawa viumbe kama wanaishi humu ndani wanatoka na kufa kabisa.
Hivi hakuna dawa ya ku spray nipulize nyumba nzima kama wapo wafe?
Pia naomba kujuzwa,hivi ukiona vitoto si ni ishara kuwa wazazi wao wapo around eeh?
Nimejiuliza sana kile kiumbe kumeingilia wapi sasa ndio umenipa jibu.Kama wanatokkea bafuni basi wamezaliwa either kwenye chemba ama shimo la choo so wanapitia kwenye bomba la maji machafu
Toa msaada kama unao.Wewe ni MWANAMKE au MWANAUME
Acha uoga kwani nyoka huwa analea watoto wake si mayai yakishaanguliwa kila kimoja kinshika njia yake na kuanza kujitegema kuanzia wakati huo hivyo hakuna uwezekano kuwa eti wazazi wa hivyo vitoto wako around unless hapo ndio makazi yaoHello people.
Naandika hapa nikiwa natetemeka jamani niko ndani ya neti naogopa kushusha miguu chini na nimebanwa na haja lakini naogopa kwenda chooni.😭
Ni hivi,nilikua naenda kuoga bafuni ile kuwasha taa nikaona kitoto cha nyoka cheusi kinatembea kwenye maungio ya tiles.
Nilivyokiona tu kile kinyoka akili ikanambia mama yake hayuko mbali.Nikajikuta natengeneza picha ya mama yake na kwa jinsi ninavyoogopa nyoka nikajikuta napiga yowe moja kali nikageuka fasta kurud chumban na ku dive kitandani na kuchomekea neti.Moyo unadunda nataman kulia na sitapata usingizi leo.
Two weeks ago niliona tena kitoto cha nyoka kama hichi cha leo ila kilikua kimekufa na kwa vile mazingira yalisafishwa na kilikua kimekufa sikujali.
Hichi cha leo kimenitia presha sikuwahi kuwaza nitaona nyoka ndani ya nyumba yangu.Yesu nitetee mimi jamani😭.
Nahisi tu kuna wazazi wao somewhere nyumban kwangu wanazaliana tu jamani😭.Sijui wako mvunguni,sijui wako chini ya bathtub,sijui wako kabatin,sijui wako kwenye moja ya mapoch yangu.
Sitakua tena na amani na hii nyumba,ingekua ugenin kesho ningeaga ila hapa ni kwangu na mbaya nyumba ni kubwa na kila room imejaa vitu.Hata nikitafute mtu anisaidie kuwatafuta awaue ataanzia wapi aishie wapi?
Mlinzi kaja dirishan anauliza madam vp mbona mayowe?Namwambia kuna nyoka bafuni kwangu.Anauliza mkubwa kias gani?Namwambia ni kitoto kama kile tulichoona kimekufa siku ile.Baada ya kumjibu hivyo namsikia anafyonza huko nje then anawasha kiredio chake anaondoka.Namwambia sasa unanisaidiaje?Anasema huyo ni kama mjusi tu we lala then namsikia mwenzie anacheka hlf anamwambia mwambie ni kama mnyoo huyo alishavunja mguu kwa kuogopa mjusi.
Anyways.Wakuu naomba mnisaidie mawazo ya nini kifanyike kuhakikisha hawa viumbe kama wanaishi humu ndani wanatoka na kufa kabisa.
Hivi hakuna dawa ya ku spray nipulize nyumba nzima kama wapo wafe?
Pia naomba kujuzwa,hivi ukiona vitoto si ni ishara kuwa wazazi wao wapo around eeh?
Mungu akubariki update hitaji la moyo wakoNi kweli mwanaume ni muhimu na Im not a 50/50 lady.