KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
-
- #21
Na akomee [emoji51][emoji51][emoji51]18. ACHA KUNUNUA NA KUTUMIA MIKOROGO.
View attachment 2549846
Unajichubua ili iweje? Mikokrogo ni gharama kubwa sana, mbaya zaidi ni hatari kwa afya yako.
Uzi wa Kasie na Shimba ya Buyenze
Unadate na Shimba ya Buyenze mkuu π€Waswahili wanasema uzee ni jalala....
Uzee ni jungu kuu...
Ila jungu kuu halikosi ukoko....
Namshukuru mengibya aliyoandika mleta uzi nilianza kuyafanyia kazi nikiwa na miaka 38 huko, kuja kufika 50 haikunipa shida niliona ni maisha yaleyale, hakuna jipya.
Ila uzee ninkama balehe...
Kuna wanaowahi, kuna wanaochelewa..
Kuna wanaopata changamoto flani flani wakiingia uzee...
Kuna wanao ona kawaida tuu kama anaenda dukani na kurudi.
Kikubwa omba uzee ukukute na afya njema na uwe unajiweza na kujimudu kihali na mali.
Bi Kasinde π.
Wee!!!2 Michepuko(miss Buza atakutoa roho)
Unadate na Shimba ya Buyenze mkuu π€
Wazee tupendane, tuachane na ben10 hawa wanatunyonya tu uchumi wetu na wapenda dezo! πWaswahili wanasema uzee ni jalala....
Uzee ni jungu kuu...
Ila jungu kuu halikosi ukoko....
Nashukuru mengi ya aliyoandika mleta uzi nilianza kuyafanyia kazi nikiwa na miaka 38 huko, kuja kufika 50 haikunipa shida niliona ni maisha yaleyale, hakuna jipya.
Ila uzee ni kama balehe...
Kuna wanaowahi, kuna wanaochelewa..
Kuna wanaopata changamoto flani flani wakiingia uzee...
Kuna wanao ona kawaida tuu kama anaenda dukani na kurudi.
Kikubwa omba uzee ukukute na afya njema na uwe unajiweza na kujimudu kihali na mali.
Bi Kasinde π.
Tamko jema sana hiliWaswahili wanasema uzee ni jalala....
Uzee ni jungu kuu...
Ila jungu kuu halikosi ukoko....
Nashukuru mengi ya aliyoandika mleta uzi nilianza kuyafanyia kazi nikiwa na miaka 38 huko, kuja kufika 50 haikunipa shida niliona ni maisha yaleyale, hakuna jipya.
Ila uzee ni kama balehe...
Kuna wanaowahi, kuna wanaochelewa..
Kuna wanaopata changamoto flani flani wakiingia uzee...
Kuna wanao ona kawaida tuu kama anaenda dukani na kurudi.
Kikubwa omba uzee ukukute na afya njema na uwe unajiweza na kujimudu kihali na mali.
Bi Kasinde π.