Vitu 15+ unavyotakiwa kuacha kununua unapotimiza miaka 50

Vitu 15+ unavyotakiwa kuacha kununua unapotimiza miaka 50

Epuka mambo ya majenzi (ujenzi)husio na manufaa kwako kisa unawaandalia watoto urithi.Kama watoto uliwapa elimu ya kutosha kuna ulazima gani wa kuwajengea nyumba tena.Acha watumie akili zao kupambana ili wakivipata wavitumue kwa umakini kuliko kuwapa.Mali uliyonayo ni yako na mke wako ili mfurahie maisha taratibu.Kumbuka watoto wako wanakuja kuwa na familia zao zitawaweka busy na kawasahau nyinyi.So ili msionekane wategemezi kwao jiandalie maisha yenu wewe na mkeo.Endelea kuwapa watoto ushauri wa namna ya kuyakabili maisha sio kuwanunulia viwanja,nyumba na magari km urithi wao.
2/Epuka migogoro au matukio yatayokupelekea kuendesha kesi mahakamani mfano migogoro ya ardhi,ugoni,utapeli,maandamano,nk.
Kesi umaliza pesa,kesi ushusha hadhi.Mawakili wapo kama chatu ni kumeza tu ni walafi wa pesa/matapeli watakufirisi.So jifunze kuishi kwa wema katikati ya jamii.

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Ushauri kwa vijana,... maandalizi ya Uzee yanaanza unapofanya birthday ya miaka 40...

-family(wife &children) .....watakupa kampani ya kweli (na furaha safari inapoanza kuwa ngumu)

-Mazoezi na chakula bora....yataandaa mwili imara wenye afya njema.

-Sala/swala...zitaandaa roho

-Savings and investments. ....zitaandaa uchumi imara huko mbele ya safari.

.........mwisho.......
 
Bado sijaifikia hiyo miaka lakini kuna baadhi ya vitu umeandika hata sisi tulio chini ya hiyo 50 tunatakiwa kujifunza tukiwa tunaitafuta hiyo 50 panapo majaliwa.
 
Uzuri wa fake ids.Wengine watajiweka kundi la vijana wadogo.Wengine watajiweka umri wa kati katikati.Na wale palee,watajijumuisha uzeeni.Yote kheri.
NB:Siku angalau moja tu,tuweke ids zetu wazi ili tugundue masufuria ya plastiki.A mere joke!🤔🤔🤔
Hahaha! Wacha tuishi humo humo tu Mtani.
 
1 Pombe kali
2 Michepuko(miss Buza atakutoa roho)
3 Touch phone(kimeo kinatosha 😂)
4 Raba kali
5 Toyota ist(hadhi ya Uber)
6 Chipsi kuku(nunua vumbi la Kongo)
7 Kulamba ice cream
8 Daladala ikijaa acha iende(utabanwa ujambe🤣)
Aisee..
 
9. USINUNUE NYUMBA KWASABABU NI NYUMBA, JIULIZE ITARUDISHA HIYO HELA BAADA YA MUDA GANI?
View attachment 2549854


Biashara ya majengo (Real Estate) unaweza kufanya popote. Lakini kumbuka thamani ya ardhi imetofautiana kati ya eneo moja hadi nyingine, sababu ikiwa ni vigezo mbalimbali, miundombinu, usalama, neighbourhood na utamaduni wa eneo husika.
Ni ngumu kupata nyumba ya AIRBNB Vingunguti Kiembembuzi
Vingunguti sijui kuna nini aisee
 
Mkuu wengne hata 28, hatujafika lakn meng ya uliyotaja hatuna muda nayo mfano 1,2,3 na hlo la michepuko..
 
Umesahau hili kubwa mno 🧐
Wanaume muepuke watoto wa uzeeni. Mwanao ana mwaka 1 na wewe 51🙃
 

Attachments

  • proud-grandfather-cuddling-baby-grandson-in-nursery-at-home.jpg
    proud-grandfather-cuddling-baby-grandson-in-nursery-at-home.jpg
    24.9 KB · Views: 5
Mbona sasa 90% ya haya mambo mtu anapaswa kuacha hata akiwa at 20s..
Sio mpaka ufike 50..
Mimi nayaishi 95% ya yote uliotaja na sijafika hata 40
 
Back
Top Bottom