Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Wapo wanaopendwa hivyo bila pesa kuna wanawake wapo tofauti sanaKikubwa tutafute pesa...bila pesa Dunia YA Sasa no ngumu kupendwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wanaopendwa hivyo bila pesa kuna wanawake wapo tofauti sanaKikubwa tutafute pesa...bila pesa Dunia YA Sasa no ngumu kupendwa
Narudia tena, vitu vitatu ambavyo kijana wa kiume atakiwi kuvifanya:
1) Usijaribu kumlipia Ada au kumsomesha demu wako.
2) Usijaribu kumsaidia demu wako kupata kazi au ajira.
3) Usijaribu kumnunulia demu wako gari hata upewe limbwata gani.
Amini kwamba, akishafika juu, mkilingana au akikuzidi kimafanikio atakuacha & atatafuta mwanaume mwingine aliyebora zaidi kimaisha.
Muachie afanye jitihada mwenyewe za kufika juu kimafanikio, la sivyo ukijitia kimbele front utaangukia pua.
unawashauri kuoa vijana hawa .com vichwa panziUshauri mzuri ilikuwa ni USIZINI.
Neno DEMU hutumiwa na Wahuni. Wazinifu.
Ushauri wa maana ulikuwa ni vijana Oeni muanzishe Familià.
Mke anasomeshwa
Anatafutiwa kazi
Ni Mungu na sio mungu.Maumivu ni ajali isiyokuwa na formula na furaha ni zali/Bahati isiyokua na kanuni pia!
Fanya kile nafsi inakutuma kufanya halafu expect less Ili usiwe disappointed!
Binadam ni viumbe ambavyo ni unpredictable kabisa kimaamuzi na kifikra!!
Unaweza usifanye hayo na Bado ukaumia!chamsingi omba mungu tu akuaepushe na maumivu tu!akupunguzie kwasababu hayakwepeki!!
Ukianzisha familia tarajia maumivu Toka popote!hara watoto tunaowapigania na kuwasomesha kwa uchungu na gharama wakikua wanasema "Hakuna kama Mama"kina Baba tunatengwa tangu zamani Hadi leo hayo pia no maumivu!!
Fanya unachoona sahihi,kifupi kutongoza,kuanzisha familiar,kulea familia ni kujitoa mhanga kabisa kwa mwanamme wakati wowote Bomu linalipuka!!
unawashauri kuoa vijana hawa .com vichwa panzi
Ni Kweli kumsaidia Mwanamke ni Hatari hilo nimelishuhudiaNarudia tena, vitu vitatu ambavyo kijana wa kiume atakiwi kuvifanya:
1) Usijaribu kumlipia Ada au kumsomesha demu wako.
2) Usijaribu kumsaidia demu wako kupata kazi au ajira.
3) Usijaribu kumnunulia demu wako gari hata upewe limbwata gani.
Amini kwamba, akishafika juu, mkilingana au akikuzidi kimafanikio atakuacha & atatafuta mwanaume mwingine aliyebora zaidi kimaisha.
Muachie afanye jitihada mwenyewe za kufika juu kimafanikio, la sivyo ukijitia kimbele front utaangukia pua.
Nitakusaidia nikiwa nimeshakutumia mwili wako mara kwa mara.Uzuri ni kwamba Kwa ground Mnafanya tena bila kuambiwa au kuombwa😃😃.. Endeleeni kuandika nipawe likes 🤗
HayaNitakusaidia nikiwa nimeshakutumia mwili wako mara kwa mara.
Sio nikusaidie bure bure,hakuna cha bure Dunia hii
One in a millionUsikariri. mke wangu aliyenizalia watoto 6, kwanza nilimkuta bikra, pili nilimkuta form four nikamsomesha hadi chuo na nikamtafutia kazi. na ni mtu wa mkoa wa mbali kabisa wala sio kabila langu.
WANAWAKE NI MASHETANI KASORO BIKIRA MARIA...MAMA YANGU MZAZI NA MAMA YANGU MLEZINarudia tena, vitu vitatu ambavyo kijana wa kiume atakiwi kuvifanya:
1) Usijaribu kumlipia Ada au kumsomesha demu wako.
2) Usijaribu kumsaidia demu wako kupata kazi au ajira.
3) Usijaribu kumnunulia demu wako gari hata upewe limbwata gani.
Amini kwamba, akishafika juu, mkilingana au akikuzidi kimafanikio atakuacha & atatafuta mwanaume mwingine aliyebora zaidi kimaisha.
Muachie afanye jitihada mwenyewe za kufika juu kimafanikio, la sivyo ukijitia kimbele front utaangukia pua.
Hiki ndio cha msingi4. Usifosi mapenzi
Hakika mkuu acha yaflow yenyeweHiki ndio cha msingi
Sasa wewe si bilionea mkuu hapo kaliakooniAtakaenizalia namfanyia vyote hata asipoomba
😄😄😄 Bilionea wa nyimbo!Sasa wewe si bilionea mkuu hapo kaliakooni
We umesikia wap?Wapo wanaopendwa hivyo bila pesa kuna wanawake wapo tofauti sana