Vitu 3 ambavyo kamwe kijana hutakiwi kuvifanya


Vyote ulivyotaja kwa ujumla you call them kuhonga mwanamke kwa namna yoyote ili upate penzi
It always ends bad
 
Ni Mungu na sio mungu.
 
Ni Kweli kumsaidia Mwanamke ni Hatari hilo nimelishuhudia
Mwanamke ukimsaidia akipata Dharau zinaanza, sijui akili zao hawa viumbe ziliundwa kwa material gani
 
Uzuri ni kwamba Kwa ground Mnafanya tena bila kuambiwa au kuombwaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ.. Endeleeni kuandika nipawe likes πŸ€—
Nitakusaidia nikiwa nimeshakutumia mwili wako mara kwa mara.
Sio nikusaidie bure bure,hakuna cha bure Dunia hii
 
Wanawake wameumbwa hivyo mkuu. Wapo kuhudumiwa.

Wewe kama una uwezo wahudumie, kama wewe ni kapuku basi tulia wenye nazo wawahudumie. Huo ndio ukweli mchungu.
 
WANAWAKE NI MASHETANI KASORO BIKIRA MARIA...MAMA YANGU MZAZI NA MAMA YANGU MLEZI
 
Sasa wewe si bilionea mkuu hapo kaliakooni
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Bilionea wa nyimbo!

Ukija kariakoo utanikuta kituo Cha mwendokas msimbazi B bara bara ya kuelekea msikiti wa Idris kulia, Kuna vijana wa nne wanaimbia wateja wanaochagua nguo, sasa mm Ndo yule anaeanzisha nyimbo afu wenzangu wanapokelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…