Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
π ndio wale mnaopiga makofi kama mashindanoπππ Bilionea wa nyimbo!
Ukija kariakoo utanikuta kituo Cha mwendokas msimbazi B bara bara ya kuelekea msikiti wa Idris kulia, Kuna vijana wa nne wanaimbia wateja wanaochagua nguo, sasa mm Ndo yule anaeanzisha nyimbo afu wenzangu wanapokelea
π€£π€£Eenhee! Vijana wakichoka nashika spika natembeza mashairi taka usitake utanunua kyupi hata kama ww ni wa kiumeπ ndio wale mnaopiga makofi kama mashindano
sifanyi ata nikizipata nakuambia [emoji4]Watakubaliana na wewe ambapo hawana hela
Wakizipata yote wanafanya
Hii ajenda imepitishwa π―Narudia tena, vitu vitatu ambavyo kijana wa kiume atakiwi kuvifanya:
1) Usijaribu kumlipia Ada au kumsomesha demu wako.
2) Usijaribu kumsaidia demu wako kupata kazi au ajira.
3) Usijaribu kumnunulia demu wako gari hata upewe limbwata gani.
Amini kwamba, akishafika juu, mkilingana au akikuzidi kimafanikio atakuacha & atatafuta mwanaume mwingine aliyebora zaidi kimaisha.
Muachie afanye jitihada mwenyewe za kufika juu kimafanikio, la sivyo ukijitia kimbele front utaangukia pua.
Hii ingekuwa ya kwanza4. Usifosi mapenzi
NAKAZIAWapo wanaopendwa hivyo bila pesa kuna wanawake wapo tofauti sana
Usijaribu pia kumtumia nauli demu wa mkoa wa mbali. Bora umfuate wewe na si yeye akufuate. Utajutaπ€£Narudia tena, vitu vitatu ambavyo kijana wa kiume atakiwi kuvifanya:
1) Usijaribu kumlipia Ada au kumsomesha demu wako.
2) Usijaribu kumsaidia demu wako kupata kazi au ajira.
3) Usijaribu kumnunulia demu wako gari hata upewe limbwata gani.
Amini kwamba, akishafika juu, mkilingana au akikuzidi kimafanikio atakuacha & atatafuta mwanaume mwingine aliyebora zaidi kimaisha.
Muachie afanye jitihada mwenyewe za kufika juu kimafanikio, la sivyo ukijitia kimbele front utaangukia pua.
Hapo ulibet na mkeka umetick ,mkeka ungeenda harijojo ungekuja na gazetiUsikariri. mke wangu aliyenizalia watoto 6, kwanza nilimkuta bikra, pili nilimkuta form four nikamsomesha hadi chuo na nikamtafutia kazi na ni mtu wa mkoa wa mbali kabisa wala sio kabila langu.
5 nimeshika hela tangu nikiwa mdogo sana.mkuu mna tofauti ya miaka mingapi wewe na mkeo?
kilichotusaidia nadhani ni dini, yeye ni mtu wa dini kuliko mimi na ananipenda kuliko mimi ninavyompenda, ingekuwa tofauti kama mimi ningempenda yeye kuliko yeye anavyonipenda mimi.Hapo ulibet na mkeka umetick ,mkeka ungeenda harijojo ungekuja na gazeti
Hakika mkuuHii ingekuwa ya kwanza
π alafu baada ya hapo unaenda kutuma nayakutoleaπ€£π€£Eenhee! Vijana wakichoka nashika spika natembeza mashairi taka usitake utanunua kyupi hata kama ww ni wa kiume
Ni mwendo wa πΆerfu mbiri haya haya erfu mbiri Γ12πΆ
Sio kutuma tu, kama yupo karibu napeleka mwenyeweππ alafu baada ya hapo unaenda kutuma nayakutolea
π hii imeendaSio kutuma tu, kama yupo karibu napeleka mwenyeweπ
Sema wasudani hawapendi helaπ hii imeenda
π mkuu we kiboko alafu wazuri sanaSema wasudani hawapendi hela