Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula like umeongea pointi kubwa sana5 Yesu.
Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.
6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
Anamaanisha huyuUnamaanisha Yesu. Au manabii feki!? Wanaotumia jina la Yesu!?
Firigisi [emoji23] [emoji23] Si nyama ya kuku hii!
Unasema jambo lipo overrated halafu unasema hutaki kuzungumzia ni kwa namna gani, hii ni dalili ya ugonjwa gani?
Ebu angalia kwenye jamii inayokuzunguka jinsi walivyovipa baadhi ya vitu thamani kubwa mpaka unashangaa.kila ulichotaja ni muhimu hakuna kilicho overrated, lkn kila kitu kwa kiasi, hata oksijen nyingi kupita kiasi ni mbaya kwa afya, watu hatuna kiasi
Nakubaliana nawe. Kila mtu mahali alipo kuna mwingine bora zaidi"PENGO LAKO HALITAZIBIKA"..
Hii kauli ni Overrated saaana na ni Uongo mtupu,,, Yoyote anayeishi kwa kuamini hii kauli hakika amepotea kabla hajapotea....
The truth is Everything can be replaced
Bongo hatuhami😆😆Oxygen ,watu waipromote sana mpk nashangaa sijui wanafikiri vipi..
Hapo number 5 unacheza na Muumba wa Mbingu na Dunia kuwa makini!5 Yesu.
Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.
6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
[emoji23]Kwenye firigisi uniambii kitu mzee bora nisile paja ila sio firigisi
Makofi na pongezi nyingi kwakoFootball
Pwa Pwa pwaaa!Makofi na pongezi nyingi kwako
Kuku
Kuna kitu kitimoto kavu ya kukaangwa. Huwa nikirudi nayo familia inakuwa na amani sana
Mkuu Ile story Yako kule ndo umeitelekeza kabisaNgoja waje bado wamelala