kadefeghe
JF-Expert Member
- Apr 21, 2012
- 456
- 668
HHahaha..nmechekaaa sanaa"Acheni fujo chakula kipo kingi na kila mtu atapata"
Usiamini hii kauli kwenye shwerehe au shughuli yeyote.
😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HHahaha..nmechekaaa sanaa"Acheni fujo chakula kipo kingi na kila mtu atapata"
Usiamini hii kauli kwenye shwerehe au shughuli yeyote.
😀😀😀😀
Firigisi hii hii ya kuku5 Yesu.
Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.
6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
vipi harufu ya kinyesi chako? 😏😏😏Bando sio shida usijali...
Suala la mimi kuikuta pombe na kuiacha ni kweli..
Ila pombe ni baba wa maasi duniani...
Ukirudi kiafya ndio balaa...Sumu kali kabisa....umewahi kusikia harufu ya mkojo au jasho la mlevi?..ndio ujue sasa...
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Firigisi hii hii ya kuku
Sana tu. 😋Ndiyo mkuu!! Imepewa promo tu lakini ni nyama ya kipuuzi
Mkuu unalijua balaa ya kitimoto??
Umepanic sana angalia sukari isipande5 Yesu.
Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.
6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo