Vitu gani husababisha Wanawake wanune?

Vitu gani husababisha Wanawake wanune?

senkoP

Senior Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
176
Reaction score
189
Jamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,

Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]

1654687764965.png

Picha kutoka maktaba
 
Moto napeleka lkn ukiondoka ukienda kwenye mihangaiko ukirud bado unamkuta kanuna… yaani nimeona kupelekea moto sio solution kwn moto unawashwa every day
peleka vijizawadi hata pipi tu kwisha habari yake,km moto hujasaidia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duuu wanawake sijui tunakwama wapi,,, kuna jamaa nae alikuwa anasimulia kuwa mkewe alimnunia week nzima kisa tu mwanamke alivaa nguo mpya na jamaa hakumsifia kuwa kapendeza mbaya zaidi jamaa hakujua kosa lake ni kutotambua kuwa mkewe kavaa nguo mpya.

Mwanamke anaweza kununa kwa sababu ya kitu kidogo sana na asiweze kumwambia mwenza wake ni nini tatizo , na wengi hudhani kununa ni suluhisho kumbe wanaume wanachukulia powa tu
 
Duuu wanawake sijui tunakwama wapi,,, kuna jamaa nae alikuwa anasimulia kuwa mkewe alimnunia week nzima kisa tu mwanamke alivaa nguo mpya na jamaa hakumsifia kuwa kapendeza mbaya zaidi jamaa hakujua kosa lake ni kutotambua kuwa mkewe kavaa nguo mpya.

Mwanamke anaweza kununa kwa sababu ya kitu kidogo sana na asiweze kumwambia mwenza wake ni nini tatizo , na wengi hudhani kununa ni suluhisho kumbe wanaume wanachukulia powa tu
Yaani mimi nataman hata nimzibue makofi ili anune vzr… vinatia hasira… akiwa sebren ukisema umfate ukianzisha vistor vya hapa na pale hasapot chochote anajifanya Mara yko bize na mtoto au vikaz kazi ambavyo havina hata maana ili mlad tu akutoroke… .duh hawaelewek… .kbs hawa viumbe
 
Duuu wanawake sijui tunakwama wapi,,, kuna jamaa nae alikuwa anasimulia kuwa mkewe alimnunia week nzima kisa tu mwanamke alivaa nguo mpya na jamaa hakumsifia kuwa kapendeza mbaya zaidi jamaa hakujua kosa lake ni kutotambua kuwa mkewe kavaa nguo mpya.

Mwanamke anaweza kununa kwa sababu ya kitu kidogo sana na asiweze kumwambia mwenza wake ni nini tatizo , na wengi hudhani kununa ni suluhisho kumbe wanaume wanachukulia powa tu
Si aseme sasa! Mimi nafikir jinsi gani maisha yaende harafu uku wanuniwa… .hanitendei haki kwakweli
 
Back
Top Bottom