Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀 Almaarufu Kama Pumbu erosionTena kama alienda nalo Advance school hizi Shule tulizosoma sisi zenye Fangasi za kuzoa Bafuni mbona litakuwa na hali mbaya zaidi 🙌
Kutojali tu. Kuna dawa ya meno ukinunua unapata na mswaki mpya ndani.Hahaha.................huwa najiuliza ni ubahiri ama ni kukosa muda wa kwenda Dukani kununua 😅🙌
Bila Shaka Alipewa zawad😃Taulo 2005-2024, miaka 19.
Ulinunuliwa likiwa na rangi gani na kwa sasa lina rangi gani bro.....
Yeah ni sahihi kabisaKutojali tu. Kuna dawa ya meno ukinunua unapata na mswaki mpya ndani.
Hatari sana😀😀 Almaarufu Kama Pumbu erosion
Idea nzuriKama ni ya Gold haina mbaya, maana ile inaweza kudumu muda mrefu
Hata hivyo unaweza kwenda Kwa Sonara akaipima kisha akakupa mpya ya kuendana na mahitaji yako ya sasa
Ulianza shule ukiw na miaka mingapi...?Nimekupata asante kwa correction.
Ndio 2005 nilikua darasa la 4
Inawezekana siunajua ke kwakutunza vitu kwenye makabati,imagine mama yangu anavyombo alivyopewa kama zawadi kwenye harusi yake na mshua hadi leo wajukuu wamevikuta tena kwenye good conditionMiaka 8🙌
Labda kama ulipewa zawadi na your lifetime partner hivyo umefanya kuitunza kama Kumbukumbu yenu
Kwenye kutunza kumbukumbu (Ke) mnaweza aiseeInawezekana siunajua ke kwakutunza vitu kwenye makabati,imagine mama yangu anavyombo alivyopewa kama zawadi kwenye harusi yake na mshua hadi leo wajukuu wamevikuta tena kwenye good condition
Kanunua wakati Mkapa bado ni Rais😂. Kalitumia awamu nneTaulo 2005-2024, miaka 19.
Ulinunuliwa likiwa na rangi gani na kwa sasa lina rangi gani bro.....
🤣🤣🤣 taulo lina historiaKanunua wakati Mkapa bado ni Rais😂. Kalitumia awamu nne
KabisaKwenye kutunza kumbukumbu (Ke) mnaweza aisee
Mimi Kuna zawadi ya Wallet niliwahi kupewa na GF wangu miaka kadhaa iliyopita.
Niliitumia baada ya miezi 6, nikaitupa
Mwenyewe hakupenda, alitaka niiweke sehemu kama Kumbukumbu 🙌
Hayo mambo me hatuwezi