Vitu gani vya kuzingatia hasa unapofanya biashara ya uuzaj wa mayai ya kisasa?

Vitu gani vya kuzingatia hasa unapofanya biashara ya uuzaj wa mayai ya kisasa?

kama great thinker nimebuni iv apa dsm mayai najumua 7000 kila trei af nauza 9000 mana saiv DSM mayai yamepanda kidogo alaf napita katika vijiwe vya chipsi mbalimbali vingine ambavyo vipo mbali na masoko kabisa naingia ob na watu nakua nakupa trei mbili au moja alaf nakuja kuchukua pesa baada ya siku mbili nakua napata faida ya 2000 mara 40 ndan ya siku mbili inakua 80000 na mtaj wa trei 40 ni 280000 kwa mwez ni 1200000 ndan ya mwaka ni milionaire....na usafiri kuna mchiz ananiuzia lipikipik

Sent using Jamii Forums mobile app

Sikuvunji moyo ila umeongea kirahisi sana, umeassume kama hamna changamoto yoyote katika hizo siku mbili upate hiyo 80,000.

1) Hiyo pikipiki unauziwa bei gani? Maan hujaweka kwenye mtaji ina maana hii biznez ni nzuri kwa mtu mwenye pikipiki tayari. Na kama ni kukodi Kwa kawaida hesabu za pikipiki ni kurudisha elf 8 hadi 10 kwa boss kwa siku, hujaweka hii.

2) Hayo mayai ya 7000 kwa trey unapata wapi kila siku? Believe me kuna kipindi mayai yanaisha kwa supplier wako na inabidi utafute sehemu nyingine na bei inakuwa tofauti, ukipata kwa lets say 8000 kwa trey kwa siku mbili au tatu ujue ni faida nusu tayari.

3) Hakuna kitu kibaya kama kumuachia muuza chips hela kwa siku mbili, kibanda cha chips faida yake ni ndogo na boss anachukua almost kila siku hivyo kurudi baada ya siku mbili na kudai hela ya juzi mtaanza kutafutana lawana. Ukipigwa kalendar hata siku moja tu deni linakuwa kubwa na inazidi kuwa ngumu kulipa, ushauri hapa ni kupita kila siku kesho yake kuchukua hela ya jana. Na je what if hayakuisha atakuwa tayari kulipa yote na kuchukua tena mzigo? Wewe unasema 80,000 faida siku mbili..[emoji58]

4) Umesema unategemea kuzungusha kama trey 40 kwa siku hizo mbili ili upate faida ya hiyo 80,000. Na pikipiki yako unazungukaje na trey 20 za mayai? Au utakuwa unaenda na kurudi kila saa, hivyo vibanda havipo mtaa mmoja hivyo utakuwa unapeleka vipi hizo trey 40 zote kwa hizo siku mbili kwa pikipiki? Kama unabeba kidogokidogo je vipi kuhusu mafuta(petrol).

5) .......

-Wengi tunakimbiliaga tu kwenye faida(sijui milion ngapi kwa mwezi) na tunasahau changamoto zake, ukianza biashara baada ya week mbili tu unaacha na unakuwa umepoteza muda na hela. Tuache ndoto za kina forever living kuwa ukialika tu watu watano na hao wakaalika wengine basi unakuwa milionea. Nijibu kwa hoja hizo changamoto hapo juu ili tusaidiane kujikwamua.
Big up sana kwa hii idea nzuri !
 
Mungu abariki kazi ya Mikono yako. Baada ya muda nunua gari ndogo, nasema hivyo because naona kabisa biashara yako ikiwa kubwa sana. Niko kwenye magroup ya Whatsapp ya Ufugaji na Kilimo, huwa watu wanakua na order hadi za tray 100 kwa siku. You will make it na Mungu akubariki saaaaana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu abariki kazi ya Mikono yako. Baada ya muda nunua gari ndogo, nasema hivyo because naona kabisa biashara yako ikiwa kubwa sana. Niko kwenye magroup ya Whatsapp ya Ufugaji na Kilimo, huwa watu wanakua na order hadi za tray 100 kwa siku. You will make it na Mungu akubariki saaaaana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari, naomba uniunganishe kwenye hayo ma-group ya kilimo na ufugaji. Nakutumia namba PM au ikiwezekana naomba utupe link za hayo magroup yote hapa kwa ajili ya faida ya wana JF wote.
 
Sikuvunji moyo ila umeongea kirahisi sana, umeassume kama hamna changamoto yoyote katika hizo siku mbili upate hiyo 80,000.

1) Hiyo pikipiki unauziwa bei gani? Maan hujaweka kwenye mtaji ina maana hii biznez ni nzuri kwa mtu mwenye pikipiki tayari. Na kama ni kukodi Kwa kawaida hesabu za pikipiki ni kurudisha elf 8 hadi 10 kwa boss kwa siku, hujaweka hii.

2) Hayo mayai ya 7000 kwa trey unapata wapi kila siku? Believe me kuna kipindi mayai yanaisha kwa supplier wako na inabidi utafute sehemu nyingine na bei inakuwa tofauti, ukipata kwa lets say 8000 kwa trey kwa siku mbili au tatu ujue ni faida nusu tayari.

3) Hakuna kitu kibaya kama kumuachia muuza chips hela kwa siku mbili, kibanda cha chips faida yake ni ndogo na boss anachukua almost kila siku hivyo kurudi baada ya siku mbili na kudai hela ya juzi mtaanza kutafutana lawana. Ukipigwa kalendar hata siku moja tu deni linakuwa kubwa na inazidi kuwa ngumu kulipa, ushauri hapa ni kupita kila siku kesho yake kuchukua hela ya jana. Na je what if hayakuisha atakuwa tayari kulipa yote na kuchukua tena mzigo? Wewe unasema 80,000 faida siku mbili..[emoji58]

4) Umesema unategemea kuzungusha kama trey 40 kwa siku hizo mbili ili upate faida ya hiyo 80,000. Na pikipiki yako unazungukaje na trey 20 za mayai? Au utakuwa unaenda na kurudi kila saa, hivyo vibanda havipo mtaa mmoja hivyo utakuwa unapeleka vipi hizo trey 40 zote kwa hizo siku mbili kwa pikipiki? Kama unabeba kidogokidogo je vipi kuhusu mafuta(petrol).

5) .......

-Wengi tunakimbiliaga tu kwenye faida(sijui milion ngapi kwa mwezi) na tunasahau changamoto zake, ukianza biashara baada ya week mbili tu unaacha na unakuwa umepoteza muda na hela. Tuache ndoto za kina forever living kuwa ukialika tu watu watano na hao wakaalika wengine basi unakuwa milionea. Nijibu kwa hoja hizo changamoto hapo juu ili tusaidiane kujikwamua.
Big up sana kwa hii idea nzuri !
Dogo ana piga hesabu za utajiri akiwa amelala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama great thinker nimebuni iv apa dsm mayai najumua 7000 kila trei af nauza 9000 mana saiv DSM mayai yamepanda kidogo alaf napita katika vijiwe vya chipsi mbalimbali vingine ambavyo vipo mbali na masoko kabisa naingia ob na watu nakua nakupa trei mbili au moja alaf nakuja kuchukua pesa baada ya siku mbili nakua napata faida ya 2000 mara 40 ndan ya siku mbili inakua 80000 na mtaj wa trei 40 ni 280000 kwa mwez ni 1200000 ndan ya mwaka ni milionaire....na usafiri kuna mchiz ananiuzia lipikipik

Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu gani mayai tray 7000?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani nimekosea kupost nn mbona sipati maoni yenu???......and naongeza maswali nitajuaje yai nzima na bovu ..... kuna anayejua garama za usafirishaji kutoka singida mpaka Dar mfano nasafirisha trai 10?

Niliwahi kumuona jamaa mmoja kwenye Youtube anaelezea jinsi anavyo fanya biashara hiyo, anasafirisha mayai toka singida to Dar. Kwa maelezo yake alisema mwanzoni alikuwa anasafirisha kwenye maboksi yanayojazwa pumba lakini mayai yalikuwa yanavunjika, baadae akawa anapanga kwenye tray za mabox anasafirisha mayai hayavunjiki. ila kuna upangaji wake. Nakushauri utafute hiyo video Youtube (nimesahau link) itakusaidia sana.
ni kweli kaka hata mimi niliiona...akienda youtube ataipata bila shaka.
 
Mimi nipo tabora ninakibanda chabiashara nyingine ila nataka niweke namayai yakisasa niuze kwatrey je nawezaje kupata mayai ili namimi niuze kwafaida maaana ofisi tayar ninayo namtaji wakuanzia tayar ninao ila bado sijajua jinsi yakupata hayo mayai nauhakika wakuyauza ninao hata kama nisipouza sana ila nitauza kwasababu hili eneo nililopo sijaona mtu anayeuza mayai kwatreyi japokuwa kuna wapika chips kwahiyo ninachotaka nikuwazogezea Huduma karibu namimi kujiongezea kipato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
iyo imekaa poa mkuu.Tatizo upatikanaji wake wa hayo mayai yamekua hadimu kweli yani..Mimi mwenyewe nahitaji mayai ya kisasa tray 200 kila siku lakini upatikanaji wake ndio ivyo shida.Kama kuna yoyote mwenye connection au anauza anicheki kwa 0716666954
 
Jamani nimekosea kupost nn mbona sipati maoni yenu???......and naongeza maswali nitajuaje yai nzima na bovu ..... kuna anayejua garama za usafirishaji kutoka singida mpaka Dar mfano nasafirisha trai 10?

Ni pm mkuu
 
Kwa yeyote anayetaka mayai ya kisasa Trey moja Tsh 8500 tuwasiliane kwa pm Mimi nipo Arusha . utaratibu unaweka order cku mbili kabla ili niweze kusanya mayai yote kwa kiasi unachotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuvunji moyo ila umeongea kirahisi sana, umeassume kama hamna changamoto yoyote katika hizo siku mbili upate hiyo 80,000.


YAANI HII BIASHARA NI NGUMU MPAKA BASI NA SIYO RAHIS KAMA INAVYOFHANIKA NA BADO KUNA SIKU UTAVUNJA MAYAI,

HARAKA HARAKA NAWEZA TENGENEZA 50000 KWA TREY 100 ZA MAYAI YA JUMLA ILA SIYO KWA WEPESI WANAOSEMA AMA KWA UCHACHE WA SIKU.



Sikuvunji moyo ila umeongea kirahisi sana, umeassume kama hamna changamoto yoyote katika hizo siku mbili upate hiyo 80,000.

1) Hiyo pikipiki unauziwa bei gani? Maan hujaweka kwenye mtaji ina maana hii biznez ni nzuri kwa mtu mwenye pikipiki tayari. Na kama ni kukodi Kwa kawaida hesabu za pikipiki ni kurudisha elf 8 hadi 10 kwa boss kwa siku, hujaweka hii.

2) Hayo mayai ya 7000 kwa trey unapata wapi kila siku? Believe me kuna kipindi mayai yanaisha kwa supplier wako na inabidi utafute sehemu nyingine na bei inakuwa tofauti, ukipata kwa lets say 8000 kwa trey kwa siku mbili au tatu ujue ni faida nusu tayari.

3) Hakuna kitu kibaya kama kumuachia muuza chips hela kwa siku mbili, kibanda cha chips faida yake ni ndogo na boss anachukua almost kila siku hivyo kurudi baada ya siku mbili na kudai hela ya juzi mtaanza kutafutana lawana. Ukipigwa kalendar hata siku moja tu deni linakuwa kubwa na inazidi kuwa ngumu kulipa, ushauri hapa ni kupita kila siku kesho yake kuchukua hela ya jana. Na je what if hayakuisha atakuwa tayari kulipa yote na kuchukua tena mzigo? Wewe unasema 80,000 faida siku mbili..[emoji58]

4) Umesema unategemea kuzungusha kama trey 40 kwa siku hizo mbili ili upate faida ya hiyo 80,000. Na pikipiki yako unazungukaje na trey 20 za mayai? Au utakuwa unaenda na kurudi kila saa, hivyo vibanda havipo mtaa mmoja hivyo utakuwa unapeleka vipi hizo trey 40 zote kwa hizo siku mbili kwa pikipiki? Kama unabeba kidogokidogo je vipi kuhusu mafuta(petrol).

5) .......

-Wengi tunakimbiliaga tu kwenye faida(sijui milion ngapi kwa mwezi) na tunasahau changamoto zake, ukianza biashara baada ya week mbili tu unaacha na unakuwa umepoteza muda na hela. Tuache ndoto za kina forever living kuwa ukialika tu watu watano na hao wakaalika wengine basi unakuwa milionea. Nijibu kwa hoja hizo changamoto hapo juu ili tusaidiane kujikwamua.
Big up sana kwa hii idea nzuri !


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu binafsi nimekuwa na wazo la kuwa mfanya biashara muda mrefu.
sasa katika kutafuta wazo bora la biashara nikaona bora nifanye biashara ya kuagiza mayai mikoa inayo fuga kuku kwa wingi...naomba mawazo kwa mtaalamu wa hii biashara ili nikue pakuanzia.. nina mtaji wa laki tano.
 
Habari wakuu binafsi nimekuwa na wazo la kuwa mfanya biashara muda mrefu.
sasa katika kutafuta wazo bora la biashara nikaona bora nifanye biashara ya kuagiza mayai mikoa inayo fuga kuku kwa wingi...naomba mawazo kwa mtaalamu wa hii biashara ili nikue pakuanzia.. nina mtaji wa laki tano.
Mayai ya kienyeji au kisasa
 
Back
Top Bottom