Vitu gani vya kuzingatia hasa unapofanya biashara ya uuzaj wa mayai ya kisasa?

Vitu gani vya kuzingatia hasa unapofanya biashara ya uuzaj wa mayai ya kisasa?

kama great thinker nimebuni iv apa dsm mayai najumua 7000 kila trei af nauza 9000 mana saiv DSM mayai yamepanda kidogo alaf napita katika vijiwe vya chipsi mbalimbali vingine ambavyo vipo mbali na masoko kabisa naingia ob na watu nakua nakupa trei mbili au moja alaf nakuja kuchukua pesa baada ya siku mbili nakua napata faida ya 2000 mara 40 ndan ya siku mbili inakua 80000 na mtaj wa trei 40 ni 280000 kwa mwez ni 1200000 ndan ya mwaka ni milionaire....na usafiri kuna mchiz ananiuzia lipikipik

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama great thinker nimebuni iv apa dsm mayai najumua 7000 kila trei af nauza 9000 mana saiv DSM mayai yamepanda kidogo alaf napita katika vijiwe vya chipsi mbalimbali vingine ambavyo vipo mbali na masoko kabisa naingia ob na watu nakua nakupa trei mbili au moja alaf nakuja kuchukua pesa baada ya siku mbili nakua napata faida ya 2000 mara 40 ndan ya siku mbili inakua 80000 na mtaj wa trei 40 ni 280000 kwa mwez ni 1200000 ndan ya mwaka ni milionaire....na usafiri kuna mchiz ananiuzia lipikipik

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji106]

-Ndumilakuwili-
 
kama great thinker nimebuni iv apa dsm mayai najumua 7000 kila trei af nauza 9000 mana saiv DSM mayai yamepanda kidogo alaf napita katika vijiwe vya chipsi mbalimbali vingine ambavyo vipo mbali na masoko kabisa naingia ob na watu nakua nakupa trei mbili au moja alaf nakuja kuchukua pesa baada ya siku mbili nakua napata faida ya 2000 mara 40 ndan ya siku mbili inakua 80000 na mtaj wa trei 40 ni 280000 kwa mwez ni 1200000 ndan ya mwaka ni milionaire....na usafiri kuna mchiz ananiuzia lipikipik

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hizo hesabu...
Hivi ili uwe milionea unatakiwa kuwa na pesa kiasi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama great thinker nimebuni iv apa dsm mayai najumua 7000 kila trei af nauza 9000 mana saiv DSM mayai yamepanda kidogo alaf napita katika vijiwe vya chipsi mbalimbali vingine ambavyo vipo mbali na masoko kabisa naingia ob na watu nakua nakupa trei mbili au moja alaf nakuja kuchukua pesa baada ya siku mbili nakua napata faida ya 2000 mara 40 ndan ya siku mbili inakua 80000 na mtaj wa trei 40 ni 280000 kwa mwez ni 1200000 ndan ya mwaka ni milionaire....na usafiri kuna mchiz ananiuzia lipikipik

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukianza na mahesabu hayo hufiki popote bilive or not.
Lengo lako wewe ni kuwa milionare?
Hizo hesabu zikigoma wiki kama 3 hutaonekana kwenye hiyo biashara make lengo lako kuu ni kuwa bilioanare.

Kupata pesa ni matokeo ya wewe kukidhi shida za jamii.

Kinacho paswa ni kuangalia kuna chalange gani au kuna mapungufu yapi kwenye usambazaji wa mayai na badili kuwa furusa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukianza na mahesabu hayo hufiki popote bilive or not.
Lengo lako wewe ni kuwa milionare?
Hizo hesabu zikigoma wiki kama 3 hutaonekana kwenye hiyo biashara make lengo lako kuu ni kuwa bilioanare.

Kupata pesa ni matokeo ya wewe kukidhi shida za jamii.

Kinacho paswa ni kuangalia kuna chalange gani au kuna mapungufu yapi kwenye usambazaji wa mayai na badili kuwa furusa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ukweli ambao wengi hawataki kusikia Kuna msemo wetu *INALIPA*
Ikigoma kidogo shughuli hakuna mradi mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukianza na mahesabu hayo hufiki popote bilive or not.
Lengo lako wewe ni kuwa milionare?
Hizo hesabu zikigoma wiki kama 3 hutaonekana kwenye hiyo biashara make lengo lako kuu ni kuwa bilioanare.

Kupata pesa ni matokeo ya wewe kukidhi shida za jamii.

Kinacho paswa ni kuangalia kuna chalange gani au kuna mapungufu yapi kwenye usambazaji wa mayai na badili kuwa furusa.

Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuu ndo mana nikaleta apa jukwaan_bt sio km na lengo la kua milionaire nimeweka tu mwishon km kufanya vijana wafikirie zaid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom