Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi np Dar best,itakuwaje sasa!Mmi ninayo singida yanjano ya chotara. Bei ni 9999/= bei ya shambani ila wewe utauza kwa 12000. Ni biashara nzuri ukiwa mjanja na jaina mikopo mikopo hii.
Ya kisasa...Unataka ya kisasa au ya kienyeji?
Haina tatizo lkn naona muitikio mdogo sana wa wateja, Yaani kila biashara kweli inamambo yake.Ukumbuke kulipia tangazo kwa Max.
Tuko kwenye miezi 18 ya kufunga mikanda mkuu, kama ujuavyo.Haina tatizo lkn naona muitikio mdogo sana wa wateja, Yaani kila biashara kweli inamambo yake.
Habari, nina mayai ya kisasa tray nauza sh 6000, napatikana kibaha na jet airport dar es salaam, mayai ndio yanaanza kutagwa hivyo ni size ya kati, nina uwezo wa kuzalisha tray 110 kwa week mpaka sasa na bado yanaongezeka, kuanzia tray 10 unaletewa popote. Mawasiliano 0712647150Ya kisasa...
Asante..... joto halitoathiri?Mm njia nayofaham n ya kuweka kwenye pumba za mpunga......hata yakae kwenye but hayavunjik at a moja
Chukua mayai weka kwenye besen lililo jaaa maji yatakayo elea mabov.Jamani nimekosea kupost nn mbona sipati maoni yenu???......and naongeza maswali nitajuaje yai nzima na bovu ..... kuna anayejua garama za usafirishaji kutoka singida mpaka Dar mfano nasafirisha trai 10?
AsanteC
Chukua mayai weka kwenye besen lililo jaaa maji yatakayo elea mabov.