suley mwarabu
New Member
- Jan 14, 2012
- 1
- 0
hayo 2.dawa zip muhim kuanzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujiandaa kwa namna gani unaulizia? Kutafuta hizi taarifa ni moja wapo ya maandalizi hasa kwa upande wa kupunguza business risk. Nikipata mawazo ya mtu mwenye experience ya biashara hii itanisaidia from practical perspective. Aidha kwa upande wa facilities na resources nipo okey!Umejianda anda aje? Biashara inayousisha vitu vya uhai ni nomaaaaaa.
Wana jf naomba mtu anaefahamu kuhusu wapi nitapata hiyo bidhaa kwa bei ya ushindani kwa jumla ili na mimi niweze kuuza na kupata faida, nataka kufungua hiyo biashara hapa mtaani kwa kuanzia nahitaji kama trey 100 hv.
Niko DAR
Nawasilisha.
Wana jf naomba mtu anaefahamu kuhusu wapi nitapata hiyo bidhaa kwa bei ya ushindani kwa jumla ili na mimi niweze kuuza na kupata faida, nataka kufungua hiyo biashara hapa mtaani
kwa kuanzia nahitaji kama trey 100 hv.
Niko DAR
Nawasilisha.
Wanandugu kama ambavyo tumekuwa tukishirikiana kubadilishana mawazo kuhusu ufugaji wa kuku wa mayai, hatimaye kumekucha.. Mimi nafuga kuku 1000, kati ya hayo 580 ambao ni awamu ya kwanza wanaanza kutaga. awamu ya pili wanaanza kutaga Januari. nina soko la mayai katika duka moja. ila ningependa kupata soko jingine pia.
uzalishaji unategemea kuwa kama tray kama 10 kwa siku au 70 kwa wiki. production itaongezeka kadri ziku zinavyoenda na pia wale wa awamu ya pili wakianza kutaga.
kama kuna mtu ahahitaji mayai au anaweza kunipa mawazo wapi naweza kuyauza haya mayai kwa ujumla tupeane ushauri.
mayai ni wa kuku wa kisasa. wale wa kienyeji nitaanza kuwafuga next year baada ya kukamilisha sehemu ya kuwaweka shambani.
Note: nafugia Dar, maeneo ya bunju.
mkuu bado unauza mayai? unauzaje kwa tray bei ya leo?
Mkuu mimi ninayo pia. Tray 5800 bei ya jumla