nikitaka kununua mayai yako yote.....utaniuzia bei gan kwa tray? we ucpate tabu ya ku supply?
Mkuu bado unanunua Mayai kwa jumla? Nina mayai mengi ya Kuku wa kisasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikitaka kununua mayai yako yote.....utaniuzia bei gan kwa tray? we ucpate tabu ya ku supply?
nakuja inbox
Mkuu bado unanunua Mayai kwa jumla? Nina mayai mengi ya Kuku wa kisasa
Hongera sana kaka vip anaejua soko la mayai ya kienyejiPoa mkuu
kama bado unayo wasiliana namimi piaMkuu mimi ninayo pia. Tray 5800 bei ya jumla
unahitaji kuelekezwa au ?? kuwa mpole ... humu wengine ni baba zako, kuwa makini na post zako.hauko seriouz man
oook nimekupata kakaUnaweza anza hata na elfu hamsini mradi uwe na uhakika wa soko man
realy i get youTafuta masoko nenda kwawazalishaji nunua mayai kishapeleka sokoni