Vitu kama vyeti vya kuzaliwa na barua ya maombi ya kazi vimepitwa na wakati kwenye mfumo wa kuajiri

Vitu kama vyeti vya kuzaliwa na barua ya maombi ya kazi vimepitwa na wakati kwenye mfumo wa kuajiri

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kijana ana NIDA/NIN ambayo ina details zote muhimu. Kitambulisho cha NIDA hakijaandikwa vitu vingi ila kwenye database ya NIDA Kuna taaarifa zote za huyo kijana. Sasa cheti cha kuzaliwa cha nini tena?
Kuna usaili, huko pimeni writing skil na speaking skil. Barua ya nini huku tumehamia digital world?

CV yenyewe sasa haina issue maana ukijaza online job application CV inajidraft yenyewe. CV itumike kwenye maombi ya mkono tu.

Tubadilike, sio mpaka waanze wazungu ndo sisi tuamke. Tutakuwa watu wa kuigaiga mpaka lini?

CV Hawa wazee wanasema enzi zao haikuwepo , serikali iliiga wazungu. Sasa sisi twende mbele tuachane nayo.
 
Kijana ana NIDA/NIN ambayo ina details zote muhimu. Kitambulisho cha NIDA hakijaandikwa vitu vingi ila kwenye database ya NIDA Kuna taaarifa zote za huyo kijana. Sasa cheti cha kuzaliwa cha nini tena?
Kuna usaili, huko pimeni writing skil na speaking skil. Barua ya nini huku tumehamia digital world?

CV yenyewe sasa haina issue maana ukijaza online job application CV inajidraft yenyewe. CV itumike kwenye maombi ya mkono tu.

Tubadilike, sio mpaka waanze wazungu ndo sisi tuamke. Tutakuwa watu wa kuigaiga mpaka lini?

CV Hawa wazee wanasema enzi zao haikuwepo , serikali iliiga wazungu. Sasa sisi twende mbele tuachane nayo.
Nida inatengenezwaje?? ulidaiwa cheti cha kuzaliwa wakat unatengeneza nida??

mkuu hivi vinahitajika kwasababu wanaelewa mifumo iliyotumika kupata izo NIDA.
Hii mifumo ingekua imenyooka NIDA ingeaminika
 
Kijana ana NIDA/NIN ambayo ina details zote muhimu. Kitambulisho cha NIDA hakijaandikwa vitu vingi ila kwenye database ya NIDA Kuna taaarifa zote za huyo kijana. Sasa cheti cha kuzaliwa cha nini tena?
Kuna usaili, huko pimeni writing skil na speaking skil. Barua ya nini huku tumehamia digital world?

CV yenyewe sasa haina issue maana ukijaza online job application CV inajidraft yenyewe. CV itumike kwenye maombi ya mkono tu.

Tubadilike, sio mpaka waanze wazungu ndo sisi tuamke. Tutakuwa watu wa kuigaiga mpaka lini?

CV Hawa wazee wanasema enzi zao haikuwepo , serikali iliiga wazungu. Sasa sisi twende mbele tuachane nayo.
Unapoajiriwa lazima ujulikane umri wako kama chini ya 18 au juu ya 56.
 
Nchi ina mazoea mengi sana hiyo. Wanakuhakiki cheti cha PhD ulichosoma nje ya nchi, wanataka uwape cheti cha form 4, 6, huku Bachelor na Masters zako umesoma ndani na wakati wa udahili walihakiki pia hivyo vyeti vya form 4 na 6.
 
Nida inatengenezwaje?? ulidaiwa cheti cha kuzaliwa wakat unatengeneza nida??

mkuu hivi vinahitajika kwasababu wanaelewa mifumo iliyotumika kupata izo NIDA.
Hii mifumo ingekua imenyooka NIDA ingeaminika
Mfumo wa kupata NIN ndio mfumo mgumu na uliohakikiwa kuliko mifumo yote hapa nchini . Cheti cha kuzaliwa unaweza kukipata ndani ya dk 20 sabababa, nane nane na kwenye warsha zingine.
 
Back
Top Bottom