Vitu mtoto wa Kiume hatakiwi kufanya

Mtoto wa kiume inabidi uwe mgumu na usiwe na demu kabisa. Uwe gangstar na usiongee na mademu kabisa. Usioe na uishi kigetogeto maisha yako yote.
 
Mtoto wa kiume inabidi uwe mgumu na usiwe na demu kabisa. Uwe gangstar na usiongee na mademu kabisa. Usioe na uishi kigetogeto maisha yako yote.
Labda kama anampango wa kuwa mhashamu Baba askofu
 
Mtoto wa kiume hupaswi kukimbia majukumu ya familia yako, jumuiya unayoishi, na jamii Kwa ujumla inayokuzingira. Na kamwe mtoto wa kiume afikirii au kutamani kurudi utotoni pindi apatapo shida.
Ulimtabiria Darassa.???
''Rudi utotoni usipotembea utabebwa mgongoni''
 
kukojoa dagaa ndo nini?
 
Aiseee mniache na mlege wangu dadeeki

Yani mnataka nivae on top of waist uani kujichole kama hawa mademu wanaovaa high waist??

Hii ishu kama niliweza kugombana na walimu skonga basi hata humu nanunua ugomvi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…