Vitu mtoto wa Kiume hatakiwi kufanya

Vitu mtoto wa Kiume hatakiwi kufanya

Jamaa kajaza mbaya bonge baunsa,anakuletea soo!
Mtoto wa kiume hapo ukimbie au mtandikane?

mtoto wa kiume akimbii ngumi ukiona kichapo kimekuzidia bora ujifanye umezimia...
 
Mtoto wa kiume hutakiwi kua umejinenepea hovyo,umejazia sehem zote kama kiroba

mtoto wa kiume hutakiwi kutembea umelegea legea kama msichana,tembea kikakamavu
 
Mtoto wa kiume hautakiwi kulia kwa sauti au kuonyesha machozi mbele za watu....mwanaume analia moyoni na anaunguruma kama simba
 
Vipi mtoto wa kiume anavuta ganja?
 
mwanaume hatakiwi kujisifia kama demu; eti, ooh kiukweli nimependeza sana...... kama ulivyofanya mr gentleman juzi kati kufungulia thread ya kujisifu umependeza ulichemka mkuu
 
Last edited by a moderator:
Dooh. Basi kama ni ivyo mbona wanaume wote watakuwa ovyo. Ila mimi piga ua napenda sana taarabu na hasa nyimbo za mzee yusuph. Ila ni mwanaume rijali. Asikwambie mtu taarab raha na hasa kama umekulia mikoa ya pwan kama dar.

Ndo ivo nawe umo kwenye kundi la wapaka poda.
 
Nakereka sana mtu akinitext akatumia maneno hayo kwenye red. Kama unaweza kuandika "xaxa" kwanini Ushindwe kuandika "sasa" Ni lini X ikawa S? Kwa watoto wa shule ni sawa tuwaachie lakini kwa mtu mzima tena mwenye hekima na busara sio sahihi ni ushamba na ulimbukeni.
1. Ata uone kitu kimekaa poa niaje hutakiwi kusema," Awww, that's soo cute.Huo ni ushoga mtu wangu.
2. Haufai kusema aya maneno kuonyesha umeshtuka," Gosh, Akaah,
ama OMG'
3. Ukiomba kitu hufai kusema," Jamaaaniiiii au pliizzzz '
4. Ukitext please usitumie," Xo' 'Xema' 'Xaxa' 'Pouwar' ama 'Xwirry'
5. Kummendea demu/mke wa rafiki yako, shemeji shemeji kibao ..shauri yako utakojoa dagaa .
6. Hufai kuongea kuhusu washikaji wengine ukiwa na madem. Huo ni umbea mwanangu.
7.Rangi ya pink usiitumie sana kwenye vitu vyako ata kama unaipenda sana.
8. Dem akikukataa chapa lapa kiroho safi na sio eti uanze kudanganya masela ooh yule mi nishammega.
9. Usiongeeongee eti unaeza kumpiga mtu flani. Huo ni utoto, kama vp nenda kampige tuone.!
10. Usiwe mtu wa kununa ovyo ovyo, alafu kuhusu vitu vidogo vidogo, mfano; msela kachelewa kujibu msg yako..basi unanuna siku nzima unamnunia nani !
11. Kuchek tamthiliya tena na madem alafu mnaanza kuhadithiana ilivyokuwa.! sijui Aliando vile mara MariaClara hivi


#Ongezea zingine.
 
Hutakiwi kumuuliza mtu " unafanya kazi wapi?" Halafu ukimpiga mtu mzinga akakunyima, hutakiwi kulalamika.
 
Back
Top Bottom