Vitu muhimu zaidi unapaswa kuvifahamu Digital Marketing

Vitu muhimu zaidi unapaswa kuvifahamu Digital Marketing

Kuna "trifecta" umeziacha SEM,affiliate market,Content Marketing zote ni aina ya digital Marketing. Na kubwa zaid na ninashauri kila anayetaka jifnza digital marketing aanze kujifnza SEO then ajifunze SEM,email marketing,social media marketing,content marketing ,affiliate marketing. Kuongezea zaidi google kna kozi wanatoa bure kuhusu Google ads,YouTube,Google marketing na ukimaliza wanakutunuku cheti ila mpk ufaul assessment yao
 
Je,unafahamu kwamba haitoshi tu kumiliki website in 2021?

Unaweza kuwa na website lakini haipati visitors, haikusaidii ktk marketing,yaani imekaa tu kama pambo.

SAD STORY, but ni ukweli.

Na hii inasababishwa na watu wanaokutengenezea website huishia apo apo,hawaendi extra mile,ukishapewa Website basi.

Hawaangalii upande wako wa marketing,

Je,Website yako itakusaidia vipi ktk biashara yako? watu wataijuaje kama ipo?Utafanya vipi mauzo?? na vitu vingine vingi tu

Ndio maana sisi @nyumbani_digital huwa tunaipa MARKETING kipaumbele ktk kazi yoyote ya website tunayoifanya.

Tunadesign kwa kuzingatia Marketing,

Na tukishakupa website yako...Utapewa pia Support ktk Digital Marketing kuhakikisha unatimiza Malengo yako ya Biashara/kampuni yako

NA HII NDIO OFFER tunayokupatia LEO HII

Ukitengeneza website nasi, tutakupatia huduma ya Digital Marketing kwa Mwezi mmoja BURE.

(Matangazo, Email Marketing, SEO nk.. Utachagua mwenyewe)

Kama ulikua unafikiria kutengeneza Website yako Sasa... .TUWASILIANE

Text/Call 0752226475 au Tuma PM

Au Comment hapo tutakucheki pia.

Pia tunatoa FREE WEB DESIGN CONSULTATION...tutakushauri Bure kabisa Website yako iweje, marketing utafanya vipi, na maswali yako yote unayojiuliza kuhusu Websites utajibiwa.

FEEL FREE TO CONTACT US

CC @nyumbani_digital @nyumbani_digital

PS: OFA HII ni kwa watu 10 wa kwanza kuwasiliana nasi, ndio watapata huduma ya Digital Marketing Bure

#1 week valid Offer
IMG_20210415_100451_523.jpg
WEBSITES.jpg
AMIL-SITE-PR.jpg
ND-SITE-M1.jpg
IRIZA-ARTS.jpg
 
WEBSITE PEKEE HAITOSHI 2021

Je,unafahamu kwamba haitoshi tu kumiliki website in 2021?

Kama wewe unamiliki biashara/kampuni yako, bila shaka umeshawahi kuwaza kuhusu kumiliki website,umeshaona matangazo mbalimbali na hata baadhi ya watu wanaotengeneza website umewasiliana nao

Kwa wale wenye websites tayari,

Unaweza kuwa na website lakini haipati visitors, haikusaidii ktk marketing,yaani imekaa tu kama pambo.

SAD STORY, but ni ukweli.

Na hii inasababishwa na watu wengi wanaotengeneza website huishia apo apo,hawaendi extra mile,ukishapewa Website basi.

Hawaangalii upande wako wa marketing,

Je,Website yako itakusaidia vipi ktk biashara yako? watu wataijuaje kama ipo?Itakusaidiaje kuongeza mauzo? Na vitu vingine vingi tu

Ndio maana sisi @nyumbani_digital huwa tunaipa MARKETING kipaumbele ktk kazi yoyote ya website tunayoifanya.

Tunadesign kwa kuzingatia Marketing,

Na tukishakupa website yako...Utapewa pia Support ktk Digital Marketing kuhakikisha unatimiza Malengo yako ya Biashara/kampuni yako

NA HII NDIO OFFER tunayokupatia LEO HII

Ukitengeneza website nasi, tutakupatia huduma ya Digital Marketing kwa Mwezi mmoja BURE.

(Matangazo, Email Marketing, SEO nk.. Utachagua mwenyewe)

Kama ulikua unafikiria kutengeneza Website yako Sasa... .TUWASILIANE

Text/Call 0752226475 au Tuma DM

Au Comment hapo tutakucheki pia.

Pia tunatoa FREE WEB DESIGN CONSULTATION...

Tutakushauri Bure kabisa Website yako iweje, marketing utafanya vipi, na maswali yako yote unayojiuliza kuhusu Websites and Digital Marketing utajibiwa.

FEEL FREE TO CONTACT US

CC @nyumbani_digital @nyumbani_digital

PS: OFA HII ni kwa watu 10 wa kwanza kuwasiliana nasi, ndio watapata huduma ya Digital Marketing Bure

#1WEEK VALID OFFER
IMG_20210415_100451_523.jpg
AMIL-SITE-PR.jpg
ND-SITE-M1.jpg
IRIZA-ARTS.jpg
WEBSITES.jpg
 
Kama wewe ni mfanyabiashara na unauza online, unatafuta wateja kwa mtandao, basi hii mada ni special kwa ajili yako.

Nina imani umeshaskia kuhusu kitu kinachoitwa Sponsored Ads, Yaani matangazo ya kulipia Facebook na Instagram.

Hata kama hujawahi kuskia,twende pamoja tu,lazima utajifunza kitu hapa.

Nitaenda kushea na wewe,mafunzo 3 makubwa niliyojifunza baada ya kutumia zaidi ya laki 5 (500k) kuendesha matangazo online.

[ Mimi ni Digital Marketer, Nawasaidia wafanyabiashara kupata wateja online kwa kutumia matangazo ya kulipia (sponsored)]

Katika mchakato huo nimejifunza na kufahamu vitu vingi,lakini nitaenda kushea nawewe vitu hivi 3 vikubwa,

Sababu naamini utaongeza kitu ktk biashara yako na utaweza kupata wateja wengi zaidi kama ukivizingatia.

Twende sasa,

1. MATANGAZO YANALIPA VIZURI

Kama unafanya biashara,na ukawekeza vizuri katika matangazo yako,utapata matokeo mazuri.

Kama ni kuuza utauza zaidi,utapata wateja zaidi na biashara yako lazima ikue.

Kwanini nasema hivi??

Kwa sababu nimeshashuhudia kwa wateja wangu pamoja na ktk matangazo yangu mwenyewe.

Nakupa Mfano :- Mteja wangu mmoja nilimfanyia tangazo la $20 na aliweza kutengeneza mauzo ya Laki 3 ndani ya siku 3 tu.

Mimi mwenyewe nilishawah kutumia $5 kwa Tangazo la siku 1, na nikapata mteja wa Laki na nusu (PROFIT)

Je,wewe hauko tayari kupata mauzo kama hayo?? Au hata zaidi?

Kama Jibu lako ni NDIO,tuendelee pamoja hapa.

2. MATANGAZO YANAHITAJI STRATEGY .

Yes,hili lazima niliseme pia,maana ndio changamoto kubwa inayowakumba watu wengi wanaotangaza online.

Wengi wanatangaza tu basi,hakuna mipango maalum kwanini ufanye tangazo flani,kwa wakati flani,linamlenga nani na unategemea upate nini?

Kikawaida watu wengi wanatangaza kwa lengo la kuuza bidhaa/huduma zao, na lengo kubwa ni mauzo.

Lakini ndugu,ukitumia hiyo kama strategy yako pekee, utakosa wateja wengi ambao ungewapata kama ungejipanga vizuri.

Lazima matangazo yako yawasaidie watu Kukufahamu na Kukuamini kwanza, Ndio waweze kununua.

Watu wengi hawakufahamu wala kukuamini,na ndio wateja wenyewe sasa

Unafanyaje sasa??...Hapo ndipo strategy ya matangazo inapoingia

Unatakiwa kuendesha matangazo kuhakikisha wanakufahamu, wanakuamini (Let's say unafanya delivery ya bidhaa) na hatimaye watanunua zaidi.

3. MATANGAZO YANAHITAJI UWEKEZAJI

Kabla sijaweka maneno mengi hapa,nataka nikupe stori moja

Hii ni story ya mteja wangu ambaye kabla hatujaanza kazi,tayari alikua amenifurahisha sana.

Unajua alifanyaje??

Wakati tunafanya maongezi ya awali,akinielezea kuhusu biashara yake na alipofikia,aliniambia kuhusu matangazo yake pia.

So far alikua ametumia zaidi ya Milioni 3 katika matangazo (Nkasema Wow).

Nkamuuliza na mauzo Je?? Unajua alisema ameuza sh.ngapi?

Zaidi ya Milioni 20....(Yes 20M in sales.)

Nkasema perfect,huu ni mfano mzuri ni kwa namna gani ukiwekeza vizuri ktk matangazo unaweza kuuza mpaka ukashangaa mwenyewe.

Sina MAANA kwamba hata wewe lazima uwekeze Milions ndo upate faida,

Hapana.

Hata mimi nilianza kutangaza kwa $1 hivo hivo.

My point ni kwamba,ukiwekeza hela nzuri ktk matangazo,na ukawa na strategy nzuri ya kutangaza...Lazima upate FAIDA .

Lakini ukiwa unafanya tu kuboost/promote post yoyote ile,bila kufikiria mara 2 strategy behind it, ukawa unahope tu wateja utapata... Safari itakua ndefu sana kwako.

Matangazo kama vitu vingine ktk biashara yanahitaji uwekezaji na mipango mizuri,ili uweze kuona faida yake.

Conclusion

Nimejifunza vitu vingi ktk kufanya kazi na wafanyabiashara na kuwasaidia ktk kutangaza biashara zao (Digital Marketing),

Nitakua nashea nanyi vitu hivyo..so endelea kufatilia posts zetu.

Kama una swali lolote kuhusu mada...uliza nitakujibu .

Kama unahitaji msaada pia ktk matangazo yako,usisite kuwasiliana nasi USHAURI ni BURE.

Na kama hujawahi kabisa kufanya sponsored na ungependa ufahamu,tunatoa mafunzo online na offline (tunaonana).

Text/Call/WhatsApp

-0752226475

Cc :- Nyumbani Digital Agency

We help to Market,Advertise and Brand your Business

POST1.jpg
nyumbani_digital~p~CKQbwD-nfj3~1.jpg
 
Kama wewe ni mfanyabiashara na unauza online,unatafuta wateja kwa mtandao,basi hii mada ni special kwa ajili yako.

Nina imani umeshaskia kuhusu kitu kinachoitwa Sponsored Ads, Yaani matangazo ya kulipia Facebook na Instagram.

Hata kama hujawahi kuskia,twende pamoja tu,lazima utajifunza kitu hapa.

Nitaenda kushea na wewe,mafunzo 3 makubwa niliyojifunza baada ya kutumia zaidi ya laki 5 (500k) kuendesha matangazo online.

[ Mimi ni Digital Marketer,Nawasaidia wafanyabiashara kupata wateja online kwa kutumia matangazo ya kulipia(sponsored)]

Katika mchakato huo nimejifunza na kufahamu vitu vingi,lakini nitaenda kushea nawewe vitu hivi 3 vikubwa,

Sababu naamini utaongeza kitu ktk biashara yako na utaweza kupata wateja wengi zaidi kama ukivizingatia.

Twende sasa,

1.MATANGAZO YANALIPA VIZURI

Kama unafanya biashara,na ukawekeza vizuri katika matangazo yako,utapata matokeo mazuri.

Kama ni kuuza utauza zaidi,utapata wateja zaidi na biashara yako lazima ikue.

Kwanini nasema hivi??

Kwa sababu nimeshashuhudia kwa wateja wangu pamoja na ktk matangazo yangu mwenyewe.

Nakupa Mfano :- Mteja wangu mmoja nilimfanyia tangazo la $20 na aliweza kutengeneza mauzo ya Laki 3 ndani ya siku 3 tu.

Mimi mwenyewe nilishawah kutumia $5 kwa Tangazo la siku 1, na nikapata mteja wa Laki na nusu (PROFIT)

Je,wewe hauko tayari kupata mauzo kama hayo?? Au hata zaidi?

Kama Jibu lako ni NDIO,tuendelee pamoja hapa.

2.MATANGAZO YANAHITAJI STRATEGY .

Yes,hili lazima niliseme pia,maana ndio changamoto kubwa inayowakumba watu wengi wanaotangaza online.

Wengi wanatangaza tu basi,hakuna mipango maalum kwanini ufanye tangazo flani,kwa wakati flani,linamlenga nani na unategemea upate nini?

Kikawaida watu wengi wanatangaza kwa lengo la kuuza bidhaa/huduma zao, na lengo kubwa ni mauzo.

Lakini ndugu,ukitumia hiyo kama strategy yako pekee, utakosa wateja wengi ambao ungewapata kama ungejipanga vizuri.

Lazima matangazo yako yawasaidie watu Kukufahamu na Kukuamini kwanza, Ndio waweze kununua.

Watu wengi hawakufahamu wala kukuamini,na ndio wateja wenyewe sasa

Unafanyaje sasa??...Hapo ndipo strategy ya matangazo inapoingia

Unatakiwa kuendesha matangazo kuhakikisha wanakufahamu, wanakuamini (Let's say unafanya delivery ya bidhaa) na hatimaye watanunua zaidi.

3.MATANGAZO YANAHITAJI UWEKEZAJI

Kabla sijaweka maneno mengi hapa,nataka nikupe stori moja

Hii ni story ya mteja wangu ambaye kabla hatujaanza kazi,tayari alikua amenifurahisha sana.

Unajua alifanyaje??

Wakati tunafanya maongezi ya awali,akinielezea kuhusu biashara yake na alipofikia,aliniambia kuhusu matangazo yake pia.

So far alikua ametumia zaidi ya Milioni 3 katika matangazo (Nkasema Wow).

Nkamuuliza na mauzo Je?? Unajua alisema ameuza sh.ngapi?

Zaidi ya Milioni 20....(Yes 20M in sales.)

Nkasema perfect,huu ni mfano mzuri ni kwa namna gani ukiwekeza vizuri ktk matangazo unaweza kuuza mpaka ukashangaa mwenyewe.

Sina MAANA kwamba hata wewe lazima uwekeze Milions ndo upate faida,

Hapana.

Hata mimi nilianza kutangaza kwa $1 hivo hivo.

My point ni kwamba,ukiwekeza hela nzuri ktk matangazo,na ukawa na strategy nzuri ya kutangaza...Lazima upate FAIDA .

Lakini ukiwa unafanya tu kuboost/promote post yoyote ile,bila kufikiria mara 2 strategy behind it, ukawa unahope tu wateja utapata... Safari itakua ndefu sana kwako.

Matangazo kama vitu vingine ktk biashara yanahitaji uwekezaji na mipango mizuri,ili uweze kuona faida yake.

Conclusion

Nimejifunza vitu vingi ktk kufanya kazi na wafanyabiashara na kuwasaidia ktk kutangaza biashara zao (Digital Marketing),

Nitakua nashea nanyi vitu hivyo..so endelea kufatilia posts zetu.

Kama una swali lolote kuhusu mada...uliza nitakujibu .

Kama unahitaji msaada pia ktk matangazo yako,usisite kuwasiliana nasi USHAURI ni BURE.

Na kama hujawahi kabisa kufanya sponsored na ungependa ufahamu,tunatoa mafunzo online na offline (tunaonana).

Text/Call/WhatsApp

-0752226475

Cc :- Nyumbani Digital Agency

We help to Market,Advertise and Brand your Business

View attachment 1779575View attachment 1779576
Nitakutafuta
 
Kama unafanya biashara,naamini hakuna kitu unachokipenda kama mauzo na wateja.

Kama unafanya biashara na hutamani kupata wateja zaidi au mauzo zaidi,unaweza ishia hapa kusoma.

But kama tunaendelea pamoja,hongera sana.

Leo utaenda kujifunza ni vitu gani vitakusaidia kutimiza lengo lako la kupata wateja zaidi na mauzo zaidi.

Biashara kama biashara ina mambo mengi,inahitaji uwekezaji wa kutosha (muda na pesa zako) ili iweze kusimama na kuleta mafanikio.

Sometimes unaweza ukakosa direction,ni wapi uwekeze nguvu zako,resources zako ili ziweze kuleta mafanikio.

Leo nakupatia vitu hivi 3,

No matter what,ukiwekeza katika vitu hivi lazima utaona impact yake ktk biashara.

Tena utaona matokeo mazuri,kama ukiwekeza ktk vyote 3 na sio kimoja kimoja Kama wengi wanavyofanya.

Twende pamoja

1. BRANDING

Yes,tunaanzia hapa hapa ambapo waswahili wanaelewa vizuri,wao wanaita kuji-brand.

Swali la kujiuliza hapa ni moja

Je,Wateja wako (au watu wanaoweza kuwa wateja wako )wanaichukuliaje biashara yako??

Jibu utakalolipata ndio BRAND YAKO.

Je, umeridhika na namna wanavyokuona na kukuchukulia (online na offline?)

Vipi ungependa kubadilisha muonekano wa biashara yako,na jinsi wanavyokuchukulia??

Hiyo sasa ndo tunaita Branding.

Unashape namna ambavyo wateja wako wanatakiwa wakuchukulie, KWA MFANO

-Kuanzia muonekano wa account yako ya insta,Design ya posts zako,Matangazo yako...mpaka Duka lako linavyoonekana,customer service,delivery nk.

- Asikwambie mtu, BRAND na BRANDING zina nguvu Sana, within seconds mtu anaweza kukuchukulia poa au akakuweka matawi ya juu.

Ndio maana watu wengi leo wanawekeza ktk kudesign na kubrand frames zao mfano mzuri Maduka ya Iphone Makumbusho na Frames za Sinza.

HOWEVER,

Branding haiishii nje ktk frames tu,inaenda mpaka online na kiufupi inagusa mchakato mzima wa biashara yako.

Invest here

#More lessons za brand and Branding zitakuepo,stay tuned

2. MARKETING

Kama unafanya biashara,Bila shaka umewahi kuskia neno hili mara nyingi "Marketing"

Je, ushawahi kulizingatia ktk biashara yako?

Marketing ina definitions nyingi sana, lakini hapa hatupo shule,kudefine na kupata marks.

Lengo ni kujifunza na kuapply kile tulichojifunza ktk biashara ili uweze kupata impact yake.

Naweza kusema kwa ufupi,marketing inahusisha shughuli zote unazofanya ili kuweza kutambua mahitaji na wateja (needs) na kuweza kuwahudumia (satisfying them).

Wengi wakiskia marketing,wanawaza matangazo tu,hapana.

Matangazo ni sehemu tu ya marketing,
That's's why unapoweka marketing budget (for companies example)...lazima uiassign ktk vitu vingi mbali na matangazo tu.

Kuna aina nyingi za marketing mfano Digital Marketing, Content Marketing,Social Media Marketing,E-mail Marketing,Influencer Marketing nk

Hopefully tutajifunza na hizo pia,stay tuned kwa siku zijazo

Invest in your marketing

3. ADVERTISING

Japokuwa ni part ya marketing,nimeiweka katika section yake kwa sababu maalum.

Advertising/Matangazo ni kitu ambacho wafanyabiashara wengi wanakifahamu kwamba kina potential ya kuwaletea wateja wengi

Lakini wanaowekeza ktk matangazo ni wachache, kwanini?

Kwa sababu either wanakosa taarifa sahihi au msaada kuhusu namna matangazo yanavyofanya kazi,hivyo wanaona kama watapoteza fedha zao.

Wengine labda ni ubize wa kuendesha biashara,Uoga wa kuanza matangazo na mara chache sana kukosa funds??

($1 kwa siku?? Kweli)

Anyway,Long story short...kama ambavyo ili kitu chochote kifanikiwe kinaitaji maandaliz na mipango madhubuti.

Ukitaka kufanikiwa ktk matangazo unahitaji strategy nzuri pamoja na maandalizi mazuri.....Kabla hujaweka hata senti tano yako kulipia matangazo.

Na hapa naongelea matangazo yote, Kuanzia TVCs, Radio, Vipeperushi mpaka kwenye matangazo ya online (sponsored ads).

Kama unahitaji ushauri na msaada ktk kutengeneza au kuendesha matangazo,usisite kuwasiliana nasi.

(USHAURI NI BURE).

And Yes,usisahau kauli hii "BIASHARA NI MATANGAZO"

Conclusion

Leo tunaishia hapa,

Running a business tough ,running a successful business is even tougher.

Vutia wateja zaidi na itangaze biashara yako izidi kujulikana kwa kuwekeza vizuri ktk vitu hivyo 3.

Na ukiona unakwama sehemu,usisite kutafuta msaada.

Tukutane kesho kwa next lesson.

Cc:NYUMBANI DIGITAL AGENCY

We help to Market,Advertise and Brand Your Business

Text/Call/WhatsApp 0752226475

Join our FREE TRAINING WhatsApp Group

Send "ADD ME" to 0752226475

JF-P3.jpg
ABOUT-US.jpg
 
Back
Top Bottom