Vitu muhimu zaidi unapaswa kuvifahamu Digital Marketing

Vitu muhimu zaidi unapaswa kuvifahamu Digital Marketing

Kuna msemo unasemaga "You'll never get a second chance to make the first impression"

Yaani mtu anavyokuona kwa mara ya kwanza ndivo anavyokuchulia kichwani kwake.

Kuja kubadilisha mtazamo wake,itabidi utumie nguvu nyingi zaidi.

Ndio maana makampuni yanawekeza hela nyingi ktk brand zao, unajua kwanini?

Wanafanya hivo ili kuhakikisha unaendelea kuwa na picha ile ile kichwani kwako.

Picha hiyo/mtazamo huo au kwa lugha fasaha zaidi "BRAND" .

Brand hiyo ndio itakufanya uendelee kununua bidhaa/huduma zao.

Sasa turudi kwa wale wafanyabiashara wa Instagram, au wale ambao wanatamani kuzijenga na kukuza brand zao kupitia Instagram.

Let's say umefanya tangazo lako,mteja akaja kuangalia profile yako.

Je,atakufollow?? Au hatakufollow??

Kuna sababu nyingi hapo...

But kama unataka kuongeza idadi ya watu wanaokufollow wakija profile,nevertheless

The answer is simple, Fanyia kazi vitu hivi 3.

1.LOGO

Hii ndio nembo ya utambulisho wa biashara yako machoni kwa mteja wako.

Ndio itakayomfanya akukumbuke siku nyingine.

Logo itamfanya aweze kuitofautisha biashara yako (bidhaa/huduma au brand yako) na ya mshindani wako.

Logo pia inatoa impression ya seriousness ya mfanyabiashara ,mteja anakuchukulia serious zaidi.

Na kwa wale wenye personal brands,weka profile picture yenye kuvutia na kujenga uaminifu kwa wateja wako.

Tuendelee

2.PROFILE HIGHLIGHTS

Hii ni feature muhimu sana,lakini baadhi ya wafanyabiashara bado hawaitumii.

Kama nawewe ni mmoja wapo,ukimaliza kusoma hapa, nenda kaweke aiseeh.

Profile highlights zinatumika kuaninisha bidhaa/huduma zako,bei , mawasiliano yako bila kusahau customer feedback.

Unamrahisishia mteja akifika,sio mpaka aanze kuscroll sana kuona kila kitu unachouza.

Unaweza weka picha za kawaida, na ukitaka zikae kiprofessional zaidi,kama hizo hapo chini ktk mifano

Unaweza wasiliana nasi .

3.POSTS ZAKO (Design + Layout)

Ukiangalia ktk mifano niliyoiweka hapo chini,utaona.

Posts za social media zikiwa well designed na ukazipangilia kwa layout nzuri,zinavutia mno.

Namna zinavyokuvutia wewe,ndivyo hivyo zinavovutia watu wanaoweza kuwa wateja wako (profile visitors).

Na automatically unajiongezea chance ya mteja kukutafuta na hatimaye ukaweza kuuza.

Hata kama unatumia picha tu,zipangilie vizuri zivutie.

Angalia ktk mifano hiyo ujionee (some of them tumedizain sisi).

Conclusion

Biashara ni kujiongeza, sio kufanya vile vile kila siku kwa mazoea.

I Dare you kujitofautisha nawashindani wako.

Be one step Ahead!!!

Tukutane kesho kwa next lesson.

Cc:NYUMBANI DIGITAL AGENCY

We help to Market,Advertise and Brand Your Business

Text/Call/WhatsApp 0752226475

DE5.jpg
 
Kuna msemo unasemaga "You'll never get a second chance to make the first impression"

Yaani mtu anavyokuona kwa mara ya kwanza ndivo anavyokuchulia kichwani kwake.

Kuja kubadilisha mtazamo wake,itabidi utumie nguvu nyingi zaidi.

Ndio maana makampuni yanawekeza hela nyingi ktk brand zao, unajua kwanini?

Wanafanya hivo ili kuhakikisha unaendelea kuwa na picha ile ile kichwani kwako.

Picha hiyo/mtazamo huo au kwa lugha fasaha zaidi "BRAND" .

Brand hiyo ndio itakufanya uendelee kununua bidhaa/huduma zao.

Sasa turudi kwa wale wafanyabiashara wa Instagram, au wale ambao wanatamani kuzijenga na kukuza brand zao kupitia Instagram.

Let's say umefanya tangazo lako,mteja akaja kuangalia profile yako.

Je,atakufollow?? Au hatakufollow??

Kuna sababu nyingi hapo...

But kama unataka kuongeza idadi ya watu wanaokufollow wakija profile,nevertheless

The answer is simple, Fanyia kazi vitu hivi 3.

1.LOGO

Hii ndio nembo ya utambulisho wa biashara yako machoni kwa mteja wako.

Ndio itakayomfanya akukumbuke siku nyingine.

Logo itamfanya aweze kuitofautisha biashara yako (bidhaa/huduma au brand yako) na ya mshindani wako.

Logo pia inatoa impression ya seriousness ya mfanyabiashara ,mteja anakuchukulia serious zaidi.

Na kwa wale wenye personal brands,weka profile picture yenye kuvutia na kujenga uaminifu kwa wateja wako.

Tuendelee

2.PROFILE HIGHLIGHTS

Hii ni feature muhimu sana,lakini baadhi ya wafanyabiashara bado hawaitumii.

Kama nawewe ni mmoja wapo,ukimaliza kusoma hapa, nenda kaweke aiseeh.

Profile highlights zinatumika kuaninisha bidhaa/huduma zako,bei , mawasiliano yako bila kusahau customer feedback.

Unamrahisishia mteja akifika,sio mpaka aanze kuscroll sana kuona kila kitu unachouza.

Unaweza weka picha za kawaida, na ukitaka zikae kiprofessional zaidi,kama hizo hapo chini ktk mifano

Unaweza wasiliana nasi .

3.POSTS ZAKO (Design + Layout)

Ukiangalia ktk mifano niliyoiweka hapo chini,utaona.

Posts za social media zikiwa well designed na ukazipangilia kwa layout nzuri,zinavutia mno.

Namna zinavyokuvutia wewe,ndivyo hivyo zinavovutia watu wanaoweza kuwa wateja wako (profile visitors).

Na automatically unajiongezea chance ya mteja kukutafuta na hatimaye ukaweza kuuza.

Hata kama unatumia picha tu,zipangilie vizuri zivutie.

Angalia ktk mifano hiyo ujionee (some of them tumedizain sisi).

Conclusion

Biashara ni kujiongeza, sio kufanya vile vile kila siku kwa mazoea.

I Dare you kujitofautisha nawashindani wako.

Be one step Ahead!!!

Tukutane kesho kwa next lesson.

Cc:NYUMBANI DIGITAL AGENCY

We help to Market,Advertise and Brand Your Business

Text/Call/WhatsApp 0752226475

View attachment 1782985
Utopolo ltd
 
Watz wanapenda vitu vyakijinga jinga post tu,ujinga ujinga watakufuata....hata Pilau we post tu
 
Kazi ipo kwenye kuchagua eneo (niche) ambayo ina uhitaji kubwa kwa mazingira ya sasa
Apo ndipo market research inahitajika, na sio tu katika kutafuta niche...bali kuongeza innovation pia ili uweze kujitofautisha na washindani wako
 
Kama unaendesha biashara yako na kutafuta wateja online,basi mada hii inakuhusu.

Utaenda kujifunza vitu 3 muhimu zaidi kuviweka sawa katika tangazo lako lolote lile, kabla hujaposti.

Watu wengi linapokuja swala la matangazo,wanafanya kawaida tu Kama ilivyozoeleka na inavofanywa na watu wengi vile vile.

"Tunauza bidhaa/huduma XYZ, Ni nzuri,ina sifa hizi na bei ni nafuu, Karibu tukuhudumie"

Hapo Amemaliza[emoji3][emoji3]

Jiulize,kama unatangaza vile vile anavyotangaza mshindani wako,nani atashinda ktk kupata mteja??

Au ndo mtaishia kucompete ktk Price??

Matangazo ya Online yana utaratibu wake,

Na kama unapenda kufanikiwa kunasa wateja zaidi na zaidi,..basi zingatia vitu hivi 3 ktk Tangazo lako .


1.AD CREATIVE

Hapa nazungumzia picha,video au graphics (poster,flyer etc) ambayo unatumia ktk Tangazo lako.

Kanuni ya kwanza ya kumnasa mteja wa online ni kukamata attention yake!!

Yaani umfanye aache kuscroll na kuzingatia tangazo lako[emoji41]

Na hapo ndipo utaona umuhimu wa kutumia picha,video,na posters zinazovutia ktk kutangaza biashara yako.

Automatically,

Unajiongezea chance ya kuuza kwa mteja ambaye ungeweza kumkosa,simply kwa kushindwa kukamata attention yake.

Kuna wafanyabiashara wazuri tu,wanatoa huduma nzuri,wanauza bidhaa zenye ubora

Lakini ukiangalia matangazo yao sasa[emoji28] , izo posters ndo usiseme zimejaa maandishi tu,yani poorly designed.

Ndio maana sisi tunafanya kazi ya kuwasaidia wajasiriamali & wafanyabiashara kudesign matangazo yao.

Maana namna unavyojiweka mbele ya mteja wako ,ndivyo anavyokuchukulia.

We help you look as professional and elegant as possible.


2.AD COPY

Hapa sasa ndipo penyewe,hapa ndipo unapomkamata mteja wako na kuhakikisha hachomoi.

Ad copy simply ni maelezo ya Tangazo lako (caption).

Lengo la Ad copy ni kumpa mteja taarifa muhimu kuhusu bidhaa/huduma yako na kuweza kumshawishi anunue.

Hii ni sehemu ya Tangazo lako inayoweza kuleta tofauti kati ya kupata mteja 1 na wateja 10 .

Je,kwa sasa unaandikaje maelezo ya tangazo lako?

Au ndo unaandika kwa mfumo wa

"Tunauza bidhaa XYZ, Faida zake ni 1,2,3, Bei nafuu,tuwasiliane"

Tayari umemaliza[emoji6]

Je,unahisi kuna vitu unaweza kuboresha ktk uandishi wako wa matangazo??

Kuna kitu kinaitwa Copywriting,ni kitu ambacho ukikifahamu kitakuletea impact kubwa .

Au kama uko busy,ni vema ukatafuta mtaalam akakusaidia ktk uandishi wa matangazo yako.

Kwanini??

kwa sababu ukiweza kuuza ktk maandishi(copywriting),utakua ktk nafasi nzuri ya kupiga hatua ktk biashara yako.

PS:Copywriting ni Somo kubwa Sana,Tutaendelea kujifunza taratibu in next lessons


3.CALL TO ACTION

Wataalam wa Marketing & Advertising huwa wanaamini ktk kitu kimoja.

"Usipom-challenge mteja kuchukua hatua(take action), basi hatochukua hiyo hatua"

If you don't challenge your customers to take action,they won't.

Ndio maana unaona ktk matangazo,kuna bonuses zinatolewa kama vile Discounts,Coupons nk

Lengo ni kufanya mteja aweze kuchukua hatua papo hapo,bila kusita sita

Unapomalizia Tangazo lako,mwambie mteja EXACTLY kile kitu unachotaka akifanye, usimuachie aamue mwenyewe.

Mfano:-

Piga sasa namba hii, Comment hapo chini,Tuma DM,Weka Oda upate punguzo la 20% sasa hivi nk

UkIfanya hivi kwa matangazo yako,unajiongezea chance ya kupata mafanikio zaidi.

PRO Note : The More Specific your CTAs are,the more likely people are to take them.


Conclusion

Biashara ni kujiongeza, sio kufanya vile vile kila siku kwa mazoea.

I Dare you kujitofautisha nawashindani wako.

Be one step Ahead!!!

Boresha Matangazo yako kuanzia sasa!!

Kama utahitaji professional help and support ,wasiliana nasi LEO.

Text/Call/WhatsApp 0752226475

Tukutane kesho kwa next lesson.

Cc:NYUMBANI DIGITAL AGENCY
 
Je,wewe ni mfanyabiashara unayemiliki kampuni tayari? Au umemalizia usajili wa kampuni yako,na sasa unahitaji kujipatia website?

Karibu NYUMBANI DIGITAL tukupatie msaada ktk kile unachohitaji sasa. Baada ya kuongea na wafanyabiashara wengi wanaotutafuta, tukagundua kitu kimoja.

Wafanyabiashara wengi Tayari kuna websites ambazo wanazifahamu. Either za Washindani wao(competitors) au wameziona zina designs nzuri. Hivyo wanatamani na wao kumiliki websites za aina hiyo. Kama wewe ni mmojawapo. KARIBU SANA

Tutumie LINKS za websites unazopendelea site yako iwe kama izo. Tutazipitia na kukupa mrejesho pamoja na Quotation.

Ukijiridisha tutakufanyia designing ya website yako kwa DISCOUNT ya hadi 20%. This offer is valid for 1 week only. Tuma "WEB DESIGN" kwa namba hii 0752226475 WhatsApp

AD1-C1.1.jpg
AMIL-SITE-PR.jpg
ND-SITE-M1.jpg
IRIZA-ARTS.jpg
W6.jpg
W9.jpg
 
Ukweli ni kwamba...

Linapokuja swala la kufanya biashara kiprofessional na kuiongezea thamani biashara yako kwa wateja

Huna budi,kumiliki website yako.

Lakini kwa wafanyabiashara wengi wanaoanza,bado inakua changamoto kuwekeza ktk website

Unakuta ndo amefungua kampuni yake, bado biashara haijachangamka

What if I tell you that,huhitaji kuanza na website

Unaweza kuanza na PROFESSIONAL EMAILS tu.

Na ukasogea na kumiliki website pale mambo yakikaa sawa.

Anza sasa kuipa thamani biashara yako mbele ya wateja wako.

Sio unatumia GMAIL[emoji3][emoji3] kweli na unamiliki kampuni

Tutafute upate HUDUMA ya PROFESSIONAL EMAILS

Tena ni kwa bei ya ofa kuanzia Tsh.4,999/= kwa mwezi.

Unachohitaji ni Domain tu.

OFA HII TUNAITOA kwa watu 10 wa kwanza kuwasiliana nasi

Tuma neno "OFA" Dm au WhatsApp kwa namba 0752226475

Tutakupatia Utaratibu.

BONUS OFA

Ukishatengeneza e-mail kwetu,siku ukihitaji website utapata punguzo la zaidi ya 20%.

Karibu tukuhudumie sasa, TAG your fellow business owners

Cc @nyumbani_digital @nyumbani_digital

EMAILS.jpg
 
Back
Top Bottom