Vitu muhimu zaidi unapaswa kuvifahamu Digital Marketing

Vitu muhimu zaidi unapaswa kuvifahamu Digital Marketing

Hivi ukiwa na gmail mawasiliano hayafiki?
Ni suala la professionalism na uweledi ktk biashara/kampuni yako

Don't take my word for it,

Soma hii hapa kidogo

Kisha nipe mrejesho wako
Screenshot_20210610-121650.jpg
 
JIFUNZE HAPA

Kutokana na watu wengi kuhitaji huduma hii ya professional emails.

Tumeamua kuwapatia muongozo kama ifuatavyo.

Muongozo huu unajibu maswali ambayo tumekuwa tukiulizwa sana.

[emoji1485]Unahitaji vitu 3 tu ili kupata professional emails kwa biashara yako

[emoji724]Achana na gmail/yahoo..ipe thamani biashara yako machoni kwa wateja wako

[emoji192]At least Wakuone uko serious 🙂

UTAHITAJI VITU HIVI [emoji1484]

[emoji637]. Domain name (za .co.tz zinauzwa 22,000)

[emoji638]. Idadi ya email's utakazohitaji

[emoji639]. Pamoja na PACKAGE yako ya emails .

[emoji654] Tunazo package za miezi 3,6 na 12.

Kama bado una swali,...Uliza ktk comment au DM

Tutakupatia majibu na kukushauri kulingana na biashara yako na mahitaji yako.

Au piga 0752226475 Kwa msaada wa haraka zaidi

#share na mwenzio ajifunze pia

Cc: @nyumbani_digital @nyumbani_digital

IMG-20210611-WA0000.jpg
 
Je,unamiliki biashara au kampuni na unahitaji website ?

Je,ni standard Company website?

Real estate website??..

Travel & Tour website??

Au Ecommerce ??

Basi Leo Nyumbani Digital tuna OFA MAALUM kwa ajili yako.

Kikawaida, Watu wengi wanaohitaji website,huenda kwa makisio tu na imani

Analipia hela ndo anakuja kuiona site ikiwa imekamilika.

Sometime ikitokea kuna marekebisho yanayohitaji kufanyika,inakua ngumu.

Kuna wengine wanatengenezewa site, hajaipenda lakini ashalipa hela yake

Basi tu anakubali kishingo upande (tumeona wateja wa hivi)

NO MORE OF THAT

Sisi tunakupatia nafasi ya kuiona website yako itakavyokuwa, KABLA ya sisi kuidevelop wala wewe KULIPIA hata senti 5 yako.

Yes,

Katika kazi zetu sisi tunaanza na website design (WEB UI)

Yaaani muonekano wa website yako utakavyokuwa [emoji4]

Tutadesign,na kukupatia Link u preview, utaweza kutoa maoni na tukaboresha hadi pale utakapoikubali (approve)

Hapo ndipo utawekeza nasi..ktk kuidevelop iyo design kuwa actual website.

Usiumize tena kichwa

Mchakato ni rahisi sana,fanya hivi[emoji1484]

1.Contact us

2. Share necessary info about your business and website need's

3. Relax and wait for the prototype


Tutadiscuss, SET APPOINTMENT if need be,kama una links za site unazopenda utatutumia

Kisha tunaanza design, ambayo ikikamilika utapatiwa.

Sounds interesting?? Changamkia nafasi sasa

Tumetoa nafasi 3 tu,zikishajaa basi

Text/WhatsApp "WEB DESIGN" kwenda 0752226475

Utapatiwa huduma hii na maelezo zaidi

MUHIMU UFAHAMU:-

[emoji625]Bei za development zinaanzia 699,999 -349,999/=

[emoji625]Domain + Hosting ni kwa client, tutakusaidia kununua & setup for free ukihitaji

[emoji625]Website nzuri itatokana na ushirikiano utakaotupatia


Nafasi zipo 3 tu,BOOK YOURS NOW
..............

Hizi ni baadhi ya prototypes ambazo tumedesign na zimekua developed to actual websites

[emoji1484][emoji1484][emoji1484]


View attachment 1890498View attachment 1890497View attachment 1890496
Screenshot_20210813-110411.jpg
 
Je, ungependa kufahamu Professional Business Emails ni nini?

Na je, zina faida gani kwako wewe mfanyabiashara au mmiliki wa kampuni?

Twende na story hii ya Mr.Juma

Mr.Juma ni mfanyabiashara anayetoa huduma ya usajili wa kampuni na majina ya biashara.

Katika kazi yake hiyo,

Huwa anawasiliana sana na wateja wake kwa ajili ya kushea documents mbali mbali pamoja na kupeana mrejesho.

Anatumia njia mbali mbali kufanikisha hilo, ikiwemo phone calls na emails.

Biashara yake (JUMA CONSULTING AGENCY) imesajiliwa na inatambulika kisheria.

Lakini wateja wake watafahamu vipi hilo?

Ukizingatia sikuhizi mitandaoni kuna matapeli wengi.

Na je, watawezaje kumuamini na kufanya naye kazi, bila Mr.Juma kutumia nguvu nyingi kuwashawishi?

Ukweli ni kwamba wateja hutumia njia nyingi kukujaji (credibility & trustworthy) kabla ya kufanya biashara na wewe.

Atauliza una ofisi? Una business website? Mtaanza kuwasiliana

Mr.Juma alipata mteja, akamwelezea kuhusu huduma anazotoa na wakafikia makubaliano mteja atume documents zinazohitajika.

Mazungumzo yalkua hivi[emoji1484]

Mr.Juma: Utanitumia documents kwa email ili zisipotee

Mteja: Sawa,nipatie e-mail yako

Mr.Juma: jumaconsultancy@gmail.com

Mteja: [emoji15][emoji15][emoji51][emoji51](crickets)

Mr.Juma:[emoji1781][emoji1781] (haelewi imekuaje)

That was back in the days[emoji2][emoji2]

Now Mr.Juma akiulizwa kuhusu email

Anajibu hivi:[emoji1484]

info@jumaconsultancy.co.tz [emoji4]

[emoji818] More professional
[emoji818] More credibility
[emoji818] More trust from potential clients

Kama unataka kutransform namna wateja wanavochukulia biashara yako,

Professional BUSINESS EMAILS ni sehemu nzuri ya kuanzia.

Especially kwa wale ambao budget iko tight, hawajaweza kuwekeza ktk website bado.

Unaweza tumia emails vizuri tu na ukadunda[emoji6]

Gharama yake ni nafuu pia (5000 tu kwa mwezi* )

Note:- Utahitaji kuwa na domain tayari au kununua,ili upate huduma hii

And subscription is for 12 months duration

Wasiliana nasi leo @nyumbani_digital tukupatie muongozo

Send PM/WhatsApp/call 0752226475 kwa maelezo zaidi

Tembelea account yetu kwa Muongozo zaidi kuhusu WEB DESIGN ,DOMAIN na HOSTING

@nyumbani_digital @nyumbani_digital
@nyumbani_digital

Happy customer service week[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
EMAILS-GUIDE.jpg
 
Back
Top Bottom