Vitu tuvipendavyo katika maisha yetu ya killa siku

Vitu tuvipendavyo katika maisha yetu ya killa siku

Heh!mi sitaki shule kabisa sasa ivi form 3 inanitosha Ila nikipata pesa nakualika uwe my business partner [emoji4]
Ndo mana nakupenda mdogo wangu...hapo kwenye biashara umenipatia kabisa😘😘😘
 
Kaka ni sina gani ya music unapenda

Chakula gani unapendelea..

Unapenda kusoma nini
Napenda miziki aina yote isipokuwa singeli!!.. napenda pop music kina Michael Jackson hapa ndo mahala pake.. napenda bongo fleva tukija kwenye rege,sijui za kikongo kote nipo kwenye muziki nina mengi naomba niishie hapo..

Msosi napenda samaki sana,ugali,wali,tambi,kisamvu mboga nyingi zamajani nazikubali..

Napenda kusoma riwaya za kipelelezi Kama za ben mtobwa najisikia kuua tena,n.k
 
Napenda miziki aina yote isipokuwa singeli!!.. napenda pop music kina Michael Jackson hapa ndo mahala pake.. napenda bongo fleva tukija kwenye rege,sijui za kikongo kote nipo kwenye muziki nina mengi naomba niishie hapo..

Msosi napenda samaki sana,ugali,wali,tambi,kisamvu mboga nyingi zamajani nazikubali..

Napenda kusoma riwaya za kipelelezi Kama za ben mtobwa najisikia kuua tena,n.k
Kwenye mziki sina tatizo sana..
Ugali dona au sembe...

Ukisoma Hadith za kipelekezi huwa unawaza nini hasa..unatamani nini hasa punde usomapo
 
Mimi napenda bia madem na kusoma Mambo yaliyofanywa na yanayofanywa na jeshi la Israel (idf sayaret matkal. Commando unit
Bia gani unapenda mkuu?

aina gani ya wanawake wanaojuvutia?

Kwanini umechagua kusoma mambo yanayofanywa na Israel na sio urusi,North Korea’s,marekani wala China??
 
Back
Top Bottom