Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandiko Kwa kutumia kalamu unaweza kukwambia mtu mwenye Mwandiko huo ni Mtu wa namna Gani...!Hapo kwenye mwandiko labda ufafanue ila kwa ulimwengu wa sasa wa kidigital ni ngumu kumsoma mtu kwa mwandiko maana wengi wanatumia vifaa vya kielectronic kuandika maandiko yao.
...Tembea yako-Ongea yako
Mfano kwenye interview, wewe vaa pendeza nukia manukato yote ila uhalisia wako wote huanza unapotakiwa kufungua kinywa na kuzungumza.After all that , when you open your months everything will be reviewed
Kubwa zaidi ni kauli yako.
- Nywele Zako (Mtindo Wa Nywele)
- Miwani Ya Macho
- Kiatu Unachovaa
- Saa Uliyovaa
Ongeza Nyingine!!
Mwendo
- Nywele Zako (Mtindo Wa Nywele)
- Miwani Ya Macho
- Kiatu Unachovaa
- Saa Uliyovaa
Ongeza Nyingine!!
Mkuu umenifanya nichekeKuna zile miwani kubwa Huwa wanawwzaje😀 Acha zile za macho
Kuna watu ukikutana nao unatamani kucheka
Kwakweli wanachekesha aisee 😀😀😀Mkuu umenifanya nicheke
Kwasabab kuna wadau huwa sijui wanafanyaga kusudi kutuchekesha na mamiwani yao!
Hapo umesema mkuu, mfano ukiona mtu anapost meme kila siku unajua kabisa ni kichwa maji1.Whatsapp status
Mkuu Ukikosa chakula si utakufa sasaUkikosa chakula au pesa
Nguvu unayotumia kukitafutaMkuu Ukikosa chakula si utakufa sasa
Wanakuaga wahuni wa chini chini haoSijda na ndevu mingi mingi unaonekana mstaarabu mtu wa Mungu.
Aina ya wageni wanaofika kumtembelea
- Nywele Zako (Mtindo Wa Nywele)
- Miwani Ya Macho
- Kiatu Unachovaa
- Saa Uliyovaa
Ongeza Nyingine!!
Huu Uzi wako ungependeza kama ungeuwekea nyama nyama za kutosha.
- Nywele Zako (Mtindo Wa Nywele)
- Miwani Ya Macho
- Kiatu Unachovaa
- Saa Uliyovaa
Ongeza Nyingine!!