DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
MTU akianza kuongea tu utamjua yeye ni MTU wa aina gani!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hata kanzu ila kuna watu huvaa kanzu kujionyesha tu sio uhalisia wao,mtu mwenye kudumu na kanzu maisha mazima nae pia huonekana mtu wa Mungu.......Mimi navaa kanzu ijumaa au siku za matukio makubwa ya kidini,Lakini kuna alama ninazo kimuonekano watu huwa wananiweka kwenye kundi la wastaarabu kumbe ni mtu wa hovyo sina hili wala lile.Vipi kuhusu kuvaa kanzu?
Watu wengi ni wajinga sana,binafsi sijawahi nyanyaswa sehemu yeyote kisa appearance yaani na miwani yangu ya macho mikali nikifika sehemu wanadhani nimepaki Range Nje kumbe 😂😂😂😂😂😂Kwenye miwani ni kweli ,clients wangu wakigundua wanahitajika kukutana na Mimi nawaona wanakuwa na hofu kwakuhisi Mimi ni mtu serious na ninayejua vitu vingi vya kada yangu kumbe ni kiazi mbatata mmoja tu ,ninayevaa miwani kisa chongo
Waswahili Wanasema fungua mdomo tujue tabia yakoMTU akianza kuongea tu utamjua yeye ni MTU wa aina gani!.
Nyie wavaa miwani huwa mnaonekano wa kisomi na kitajiri kumbe ni..........na maka.........Watu wengi ni wajinga sana,binafsi sijawahi nyanyaswa sehemu yeyote kisa appearance yaani na miwani yangu ya macho mikali nikifika sehemu wanadhani nimepaki Range Nje kumbe 😂😂😂😂😂😂
Kuna wengine wana sijida mpaka za miguuni lakini kwa ground Mambo yao ni tofautiNdio hata kanzu ila kuna watu huvaa kanzu kujionyesha tu sio uhalisia wao,mtu mwenye kudumu na kanzu maisha mazima nae pia huonekana mtu wa Mungu.......Mimi navaa kanzu ijumaa au siku za matukio makubwa ya kidini,Lakini kuna alama ninazo kimuonekano watu huwa wananiweka kwenye kundi la wastaarabu kumbe ni mtu wa hovyo sina hili wala lile.
Yes don't be fooled by someone's else appearance.Waswahili Wanasema fungua mdomo tujue tabia yako
On top of that unaonekana mtu mkubwa Serikalini uwe umevaa na shati matata sana ya draft,suruali Kali ya jeans/cadet na kiatu kikali hata ukiingia kula mgahawani unapewa na risiti ya efd,dukani wanakula risiti bila kuomba 😂😂😂😂Nyie wavaa miwani huwa mnaonekano wa kisomi na kitajiri kumbe ni..........na maka.........
kweli,kabisa nishakutana na wakina dada wawili kwenye kundi la watu wengi lakini wakanifata mimi,mmoja alikuja kuniazima simu awasiliane na mtu walikuwa na miadi ya kukutana sehemu simu yake ikawa imeishiwa salio na M-pesa ilikuwa mbali.Kuna wengine wana sijida mpaka za miguuni lakini kwa ground Mambo yao ni tofauti
Mshindani, hauna uvumilivu, mtu wa kujiongeza nkMkuu mimi nakula haraka sana, hii inaashiria mimi ni mtu wa aina gani?
Vizuri sana mkuu, ukiendelea na tabia hiyo naamini ipo siku utakutana na mambo makubwa zaidi ya hayokweli,kabisa nishakutana na wakina dada wawili kwenye kundi la watu wengi lakini wakanifata mimi,mmoja alikuja kuniazima simu awasiliane na mtu walikuwa na miadi ya kukutana sehemu simu yake ikawa imeishiwa salio na M-pesa ilikuwa mbali.
Mwingine alinifuata akaniambia nimekufuata wewe kwa sababu ni mstaarabu naomba unisaidie jambo flani.....hii nimeshaizoea katika maisha yangu.
Dah, mkuu hapo umemaliza kabisaMshindani, hauna uvumilivu, mtu wa kujiongeza nk
Very smart upstairsMtu akifanya hivyo anaonekana ni mtu wa aina gani
Mwenyekiti nawe macho yashakufa nini?Okay sawa ahsante....
Yaniiii nkifika 60 ndo nakua yule mzee watoto wananichezea wanapita mbele yangu siwaoni....😹Mwenyekiti nawe macho yashakufa nini?
🤣Dah, mkuu hapo umemaliza kabisa