Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakikuona wanajua professor huyu hapa, na unaivalia kwa chini ya macho kabisaKwenye miwani ni kweli ,clients wangu wakigundua wanahitajika kukutana na Mimi nawaona wanakuwa na hofu kwakuhisi Mimi ni mtu serious na ninayejua vitu vingi vya kada yangu kumbe ni kiazi mbatata mmoja tu ,ninayevaa miwani kisa chongo
Mkuu mimi nina mwandiko raf sana, inaashiria mimi ni mtu wa aina gani?1. Mwandiko wako.
2. Namna unavyoongea.
3. Namna unavyotembea.
Zile bukta za michezo 😂Ukivaa boxer na bukta na suruali
Siku hizi kuvaa miwani kubwa imekuwa fashionKuna zile miwani kubwa Huwa wanawwzaje😀 Acha zile za macho
Kuna watu ulikutana nao unatamani kucheka
Sio kwa zama hizi ndugu yangu.-Nywele Zako (Mtindo Wa Nywele)
-Miwani Ya Macho
-Kiatu Unachovaa
-Saa Uliyovaa
Ongeza Nyingine!!
Matapeli wapo lakini sio wengi kiasi cha kutokuamini muonekano wa kila mtuSio kwa zama hizi ndugu yangu.
Leo hii wengine ni tapeli japo wana personality nzuri tu. Wazee wa goodmorning😄
Mimi huwa siwezi kuvaa zile kacha, mwanaume huwezi kuvaa shanga mkononiWavaa culture mkononi zile za bendera za nchi au zenye majina huwa nawahusisha na uhuni uhuni.
Mimi hata uniwekee AK-47 kichwani ninywe pombe sinywi sababu sipendi mara 100 uniue tu Ila kulegeza mkanda vitu vya kawaida sana, Mimi suruali yangu sikazi mkanda na ikitokea siku nikajisahau nikakaza nitaumwa siku 2/3 yaan Mwili utavurugwa kwa hio mkanda nalegeza kwa sababu nikikaza nikajibana tumbo lazima niumwe yaan lazima niumwe, Sigara haiui kinachoua ni matumizi, kila mtu ana sababu zake Mimi siwezi kusuka dred, kupaka nywele marangi yale sijui maina mabrichi, kupaka make-up na kua km Mwanamke fulani hivi, kuvaa macheni na mapete mikononi, sifanyi huo ushubwadaWala kuvuta masigara na kupiga milegezo..
Kuchomekea kaunda suit-Nywele Zako (Mtindo Wa Nywele)
-Miwani Ya Macho
-Kiatu Unachovaa
-Saa Uliyovaa
Ongeza Nyingine!!
Mtu akifanya hivyo anaonekana ni mtu wa aina ganiKuchomekea kaunda suit
Uroda for saleKikuku
Kipini
Breach
Mkuu mimi nakula haraka sana, hii inaashiria mimi ni mtu wa aina gani?Jinsi anavokula (kwa pupa au utulivu au kama goigoi)
Kwenye kiatu hapo ndiyo penyewe kwa maana ukitambulishwa watu wanaanza kukuangalia toka chini yaani kwenye kiatu-Nywele Zako (Mtindo Wa Nywele)
-Miwani Ya Macho
-Kiatu Unachovaa
-Saa Uliyovaa
Ongeza Nyingine!!
1.pahala unapoishi.-Nywele Zako (Mtindo Wa Nywele)
-Miwani Ya Macho
-Kiatu Unachovaa
-Saa Uliyovaa
Ongeza Nyingine!!