Vitu vinatukwamisha Taifa kusonga mbele, bali yakipungua mambo haya Tanzania ingekuwa tupo mbali mno

Vitu vinatukwamisha Taifa kusonga mbele, bali yakipungua mambo haya Tanzania ingekuwa tupo mbali mno

Uingereza hawazungumzii Man U, Liverpool, Newcastle, Aston Villa tangu asubuhi mpaka jioni.
Nimeishi huko.

Mwaka huu most watched TV programme on TV semi final England v Netherlands (watched by 20.4 million people).


Siku ya uchaguzi wao accumulation ya TV zote watu waliokuwa wanaangalia ni 7.3 million. Na Election debate ilikuwa na 3.2 million views


Uchaguzi ulioisha ni nusu tu ya watu wenye sifa ya kupiga kura ndio waliojitokeza.


Match of the day ambayo inaonyeshwa jumamosi usiku (saa nne) muda ambao vijana na watu wengi wanaenda night out inaangaliwa na 4 million people kila week kwa hao waliopo nyumbani tu.

Nenda kutafute talksports radio siku nzima mpira (ukitaka kucheka itafute leo baada ya premiership games, usikie povu la mashabiki hasa wa team zitakazo fungwa). Au ingia kwenye social media zao uone mapovu huko hasa leo jioni.

Ushabiki wa mpira uingereza ni balaa watu ninao wajua mimi mida hii wanajipanga kuelekea pubs na hao wabongo tu.
 

Mwaka huu most watched TV programme on TV semi final England v Netherlands (watched by 20.4 million people).


Siku ya uchaguzi wao accumulation ya TV zote watu waliokuwa wanaangalia ni 7.3 million. Na Election debate ilikuwa na 3.2 million views


Match of the day ambayo inaonyeshwa jumamosi usiku (saa nne) muda ambao vijana na watu wengi wanaenda night out inaangaliwa na 4 million people kila week kwa hao waliopo nyumbani tu.

Nenda kutafute talksports radio siku nzima mpira (ukitaka kucheka itafute leo baada ya premiership games, usikie povu la mashabiki hasa wa team zitakazo fungwa). Au ingia kwenye social media zao uone mapovu huko hasa leo jioni.

Ushabiki wa mpira uingereza ni balaa watu ninao wajua mimi mida hii wanajipanga kuelekea pubs na hao wabongo tu.
Hajui kitu huyo analopoka tu
 
Yaani wewe unataka kutwa tuongelee siasa tu kisa hobi yako!?..sisi hatukua na nyumba wala gari,leo tunavyo,usafiri mtwara-arusha barabara ilikua vumbi,leo lami, sekondari kibao watoto wanasoma,we unataka tusapoti chama chako cha kuvaa kombati kiangazi na masika!?..hilo lenu,pambaneni nalo
KWa hiyo unaona hisani sio ? Kujengewa barabara ujinga ni mzigo
 
Shukuru kuna Yanga na Simba watu wanapata outlet ya kutoa stress zao ama sivyo sasa hivi hapo ulipo huenda ungehitaji kuwa na panga au silaha ili wananchi wasichukue chochote ulichonacho...

Acha kabisa mkuu kinacholeta shida nchi hii ni siasa chafu na uongozi mbaya (ingawa hivyo pia sio hatari kama corruption na watu kwenye nafasi kutumikia matumbo yao)..., Pesa zinazokusanywa zingeweza kufanya mambo maradufu bila kutembeza bakuli wala mikopo...
 
1. YANGA NA SIMBA - Ni burudani iliyogeuka kuwa sumu, inapewa umakini mkubwa sana kuzidi mambo ya kitaifa, ndio maana ligi ikisimama huwa ni ngumu kuzima skendo nzito,

2. Kutumia kiswahili shuleni - Kama taifa tumeshaambulia aibu kibao kuanzia kwa Mawaziri, Marais, wakalimani, n.k. wenye PHD zao, wanapata ugumu Kuelewa, kujieleza, kuchangia mawazo, n.k. English ni lugha ya kimataifa ni lazima watoto wafundishwa kuanzia shule ya msingi tena ikibidi waletwe wakenya maana english medium kibao waalim wa kiingereza lugha inawapa shida wanajua kufundishia ubaoni pekee, Hali hii imefanya watanzania wengi kuogopa kutoka nje ya nchi, Wakenya na wahindi wanapiga pesa ndefu kwenye biashara za kimataifa kwa maloghafi za Tanzania, n.k.

3. Ulafi- mfano mdogo tu Tanzania ni nchi yenye pato dogo kitaifa, wananchi wanajikamua kulipa kodi lets say imefika bilioni 1, serikali inanunua magari matatu vx michuma ya kisasa, Bajeti hio inaweza kununua Hilux 20 mpya imara ila ukitoa hayo mawazo wanakimbilia Kujitetea kwamba "Mnataka tutembelee baiskeli ?" Barabara zetu sehemu nyingi ni moja inatumika na magari yote, ajabu ni kwamba kiongozi anataka attention kwa kusimamisha magari yote lisaa zima ili aonekane, ni ubinafsi !!

4. Uchawa

Soma Pia: Ningekuwa Rais ningefanya mambo haya muhimu zaidi
Ili uweze kupiga hatua ujanja ni kufanya kazi kwa bidii, haya mengine ni siasa za kimaskini, hayana ukweli wowote.
 
Plain sailing? dont you know mattizo mengi yanasababishwa na viongozi wetu.

Unamlaumu mtu ku navigate maisha yake kwenye mazingira yasiyowezekana kuwa navigated!?

Unalinganisha UK na Tanzania!? Wale ni Nchi ya dunia ya kwanza, TZ bado tunajitafuta, na Serikali ndio mdau namba moja wa kuweka mazingira bora kwa wananchi wake kujiajiri.

Bajeti ambayo inapaswa kuwekezwa kwenye Kilimo, viwanda, elimu na Afya, inaishia kununulia Magari ya gharama! kanunue hayo magari UK uone kama utachukua round Ofisin.

Itoshe kusema
1. simba na yanga ni cancer ya taifa. na hili lina jidhihirisha kwa vijana kutumia muda mrefu kujadili usimba na uyanga
2. Kiswahili ni lugha inayodumaza thinking capacity ya waongeaji, ndio maana nchi nyingi zinazo tumia lugha ya kiingereza kama lugha yao namba moja, wananchi wake wanaonekana kujielewa.
Umaskini wetu ni uvivu wetu hivi vingine ni visingizio tu.

Simba na Yanga unaweza kuzilinganisha na Al Ahly, Pyramids au Zamalek?

Unaweza kuzilinganisha na Esperance, Wydad Casablanca na Raja Casablanca?,

Mbona Misri na Morocco hawazilalamikii timu zao ambazo ni kubwa kuliko hizi mbili za kariakoo?.

Tuache kuwa na mawazo ya kipuuzi, hayatusaidii chochote.

Kiswahili ndio kimerahisisha hata uwepo wa umoja na amani vitu ambavyo mataifa mengine ya afrika hawana.
 
Umaskini wetu ni uvivu wetu hivi vingine ni visingizio tu.
Uvivu wa Nani ?
  • Hivi unaweza kumuita mkulima ni mvivu wakati amelima na serikali ndio imeshindwa kutafuta masoko ?
  • Hivi unaweza kumuita mtu aliyehitimu utabibu aliyepo mataani eti hana kazi wakati tunahitahi watabibu (hawatoshi) na tumetumia gharama za kutosha kuwasomesha ?
  • Hivi unaweza kumuita msanii ni mvivu wakati anakesha kila siku kutunga nyimbo zinazopendwa na UMMA lakini anaishia kushindwa kupata ujira wowote kutokana na kwamba watu hawana buying power kutokana na kwamba watumishi tuliowapa kazi ya kutunga sera wameshindwa kazi ?
 
Yanga na simba wala hawahusiki, huwezi zuia mtu kufuata burudani kisha kushabikia vyaĺma vya siasa au wanasia wasio na misimimamo na hawajui nini hasa taifa linataka au watanzania wanataka. Upinzani ukiwa imara na ukaeleweka automatically mabadiliko yatatokea ndio 2015 uchaguzi ulikuwa na mvuto kutokana na upinzani ulikuwa imara ila baada ya kupelekwa puta na kazi safi za JPM wakaanza kupoteza uelekeo. Hivi unawezaje kumuamini mpinzani ambaye familia yake ipo Ulaya are we serious? Mpinzani ambaye akipata shutba kidogo anakimbia uhamishoni are serious ukombozi ndio unatafutwa hivyo? Wakina Mandela wangekimbia nchi zao zingepata uhuru. Kati ya wapinzani wote angalau Mbowe na Mwabukusi wanachembe ya uzalendo wengine wapo kwa maslahi yao binafsi.
 
H
Namba 2 umeandika ujinga.unaandaliwa kuja kuwatumikia watu wanaojua kiswahili lakini wewe umeandaliwa kwa lugha ya kiingereza.utawezaje kuwahudumia vizuri?anayetaka kwenda kufanya kazi nchi fulani anatakiwa ajifunze lugha ya wenyeji.ni ujinga lugha ya kufundishia kuwa kiingereza wakati sisi sio waingereza. Sasa wew umeandika Nini? Dunia inahitaji Lugha Moja TU Dunia kuwa Kijiji Lugha Moja.
 
Mpira wetu bado haujakua, kuna muda utafika huko mikoani kutakuwa na shule za kukuzia vipaji kila mkoa, sijui mlalamikaji atasema nini ukifika wakati huo?.

Hawa Yanga na Simba bado hawajutumia vizuri mashabiki wao kama mtaji wao wa uhakika, wanaweza kuwa matajiri kuliko walipo hivi sasa, je tutasemaje wakishafikia viwango vya kina Mamelodi kwa utajiri.

Tuchape kazi kwa bidii, kwa kuwa wabunifu, pia tusisahau kuupitia upya mfumo wa elimu.

Mchina anakwenda kuishi sehemu yoyote duniani na kile anachokizalisha kwenye soko la nchi hiyo kinamuwezesha kuishi vyema, elimu zao zimejaa ubunifu zinafungua kichwa cha mtoto mpaka akiwa mtu mzima hapati taabu maishani.
 
Uvivu wa Nani ?
  • Hivi unaweza kumuita mkulima ni mvivu wakati amelima na serikali ndio imeshindwa kutafuta masoko ?
  • Hivi unaweza kumuita mtu aliyehitimu utabibu aliyepo mataani eti hana kazi wakati tunahitahi watabibu (hawatoshi) na tumetumia gharama za kutosha kuwasomesha ?
  • Hivi unaweza kumuita msanii ni mvivu wakati anakesha kila siku kutunga nyimbo zinazopendwa na UMMA lakini anaishia kushindwa kupata ujira wowote kutokana na kwamba watu hawana buying power kutokana na kwamba watumishi tuliowapa kazi ya kutunga sera wameshindwa kazi ?
Shida ya huyo uliyemjibu yuko na narrow view ya namna uchumi unvyojengwa! Hafahamu ushiriki wa watu katika maendeleo.
 

Mwaka huu most watched TV programme on TV semi final England v Netherlands (watched by 20.4 million people).


Siku ya uchaguzi wao accumulation ya TV zote watu waliokuwa wanaangalia ni 7.3 million. Na Election debate ilikuwa na 3.2 million views


Uchaguzi ulioisha ni nusu tu ya watu wenye sifa ya kupiga kura ndio waliojitokeza.


Match of the day ambayo inaonyeshwa jumamosi usiku (saa nne) muda ambao vijana na watu wengi wanaenda night out inaangaliwa na 4 million people kila week kwa hao waliopo nyumbani tu.

Nenda kutafute talksports radio siku nzima mpira (ukitaka kucheka itafute leo baada ya premiership games, usikie povu la mashabiki hasa wa team zitakazo fungwa). Au ingia kwenye social media zao uone mapovu huko hasa leo jioni.

Ushabiki wa mpira uingereza ni balaa watu ninao wajua mimi mida hii wanajipanga kuelekea pubs na hao wabongo tu.
Kwenye maofisi,mashule,vyuo na vijiwe nchini Uingereza hawana ujuha wa kuongelea mpira wa miguu tangu asubuhi mpaka jioni/usiku.

Kuangalia TV programu ya saa mbili haiwezi halalisha kuwq wanatumia muda mwingi kwenye kujadili mpira wa miguu.
 
Ni wapi hapa Tanzania watu huzungumza mpira asubuhi hadi jioni?
Mimi ni mfanyaji wa kilimo na biashara ya korosho na ufuta huko Kusini, (Kuanzia Mkuranga, Rufiji mpaka Newala).

Yaani unasimamia mavuno au manunuzi,unasikia tangu asubuhi watu wanaongela mpira wa miguu mpaka jua linazama.
 
Mimi ni mfanyaji wa kilimo na biashara ya korosho na ufuta huko Kusini, (Kuanzia Mkuranga, Rufiji mpaka Newala).

Yaani unasimamia mavuno au manunuzi,unasikia tangu asubuhi watu wanaongela mpira wa miguu mpaka jua linazama.
Hayo mazao unayonunua anakua amewalimia nani?

Hivi kwanini mnatamani kila mtu awaze mnavyowaza nyinyi?

Mtu akizungumza mpira huku anafanya shughuli zake, tatizo linakua wapi?
 
1. YANGA NA SIMBA - Ni burudani iliyogeuka kuwa sumu, inapewa umakini mkubwa sana kuzidi mambo ya kitaifa, ndio maana ligi ikisimama huwa ni ngumu kuzima skendo nzito, Watu wanajua kikosi kizima lakini hawajui chochote kuhusu vifurishi vya bima.

2. Kutumia kiswahili shuleni - Kama taifa tumeshaambulia aibu kibao kuanzia kwa Mawaziri, Marais, wakalimani, n.k. wenye PHD zao, wanapata ugumu Kuelewa, kujieleza, kuchangia mawazo, n.k. English ni lugha ya kimataifa ni lazima watoto wafundishwa kuanzia shule ya msingi tena ikibidi waletwe wakenya maana english medium kibao waalim wa kiingereza lugha inawapa shida wanajua kufundishia ubaoni pekee, Hali hii imefanya watanzania wengi kuogopa kutoka nje ya nchi, Wakenya na wahindi wanapiga pesa ndefu kwenye biashara za kimataifa kwa maloghafi za Tanzania, n.k.

3. Ulafi- mfano mdogo tu Tanzania ni nchi yenye pato dogo kitaifa, wananchi wanajikamua kulipa kodi lets say imefika bilioni 1, serikali inanunua magari matatu vx michuma ya kisasa, Bajeti hio inaweza kununua Hilux 20 mpya imara ila ukitoa hayo mawazo wanakimbilia Kujitetea kwamba "Mnataka tutembelee baiskeli ?" Barabara zetu sehemu nyingi ni moja inatumika na magari yote, ajabu ni kwamba kiongozi anataka attention kwa kusimamisha magari yote lisaa zima ili aonekane, ni ubinafsi !!

4. Uchawa

Soma Pia: Ningekuwa Rais ningefanya mambo haya muhimu zaidi
UCHAWA NI NAMBA MOJA, UTAKUTA WAGANGA WAKUU, MAAFISA ELIMU WA WILAYA NA MIKOA NI MACHAWA HASWA
 
Back
Top Bottom