Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
kikwetu yanaitwa OLULYAMILALabda hujanielewa. Hayo majani yanakuwa ndani tu kama kapeti. Yaani yanatumika kama mkeka ndo niliyoambiwa. Ukumbuke huku kagera yapo kila nyumba ya biashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kikwetu yanaitwa OLULYAMILALabda hujanielewa. Hayo majani yanakuwa ndani tu kama kapeti. Yaani yanatumika kama mkeka ndo niliyoambiwa. Ukumbuke huku kagera yapo kila nyumba ya biashara
Kwani hapi kulikuwa na ushirikina ndo maana nikapewa hiyo mbinu? Mi lilijua ni ugonjwa tu na tiba yake ni hiyo. Kwkigupi nilichukulia kuwa ni ugonjwa wa huku na dawa ndo hiyo.Sawa Mkuu maisha ya kisiwani yanaemdeshwa na ushirikina hivyo unabidi kujizatiti
Nawewe ni mtu wa kagera? Sisi huku kisiwani tunayaita tu mwalilokikwetu yanaitwa OLULYAMILA
ee mkuu m ni wa kageraNawewe ni mtu wa kagera? Sisi huku kisiwani tunayaita tu mwalilo
Basi sawa ila sisi huku visiwani tunayaita tu mwalilo ndo jina linalijulikana huku. Mi niko pale rwamishenye mtaa unaitwa migera. Nimepanga huko unavuka tu shule ya rwamishasha daraja la chuma unafika ninapoishi kwa sasaee mkuu m ni wa kagera
Hakuna business hapa. Sisi tuko zama za mawe za mwisho tunajadili tiba za zana zetu nyie mko digtal mnajadili zama zenu msituharibie wahengaBusiness as usual
mi npo bmloBasi sawa ila sisi huku visiwani tunayaita tu mwalilo ndo jina linalijulikana huku. Mi niko pale rwamishenye mtaa unaitwa migera. Nimepanga huko unavuka tu shule ya rwamishasha daraja la chuma unafika ninapoishi kwa sasa
mi npo bmlo
Basi freshi. Mi niko bukoba hapo tu mjinimi npo bmlo
poa mwamba we ni fisherman kweli au swagBasi freshi. Mi niko bukoba hapo tu mjini
Ni fisherman kwelipoa mwamba we ni fisherman kweli au swag
AkatikimboUpo Bukoba sehemu gani Mkuu pole Kwa changamoto .
Obunysasi bwaubambazi.?
Akashagwara
poa kiongozi ntakuja pande izo siku moja ninywe supu ya satoNi fisherman kweli
Numbie.Dawa nzuri hio
poa kiongozi ntakuja pande izo siku moja ninywe supu ya sat
Huku kuna sangara na hongwe tu visiwani. Ukitaka sato njoo bukoba mjini na mialo yake ndo uvuvi wa sato hufanyikapoa kiongozi ntakuja pande izo siku moja ninywe supu ya sato
Numbie.
poa kakaHuk
Huku kuna sangara na hongwe tu visiwani. Ukitaka sato njoo bukoba mjini na mialo yake ndo uvuvi wa sato hufanyika
samaki wapo wa kutosha lakini,au bei zimechangamkaHuk
Huku kuna sangara na hongwe tu visiwani. Ukitaka sato njoo bukoba mjini na mialo yake ndo uvuvi wa sato hufanyika
Zipo ila uwazidi pesa wanaozitaka. Hata ukitaka tani nzima wapo tusamaki wapo wa kutosha lakini,au bei zimechangamka