LoneJr
Senior Member
- May 18, 2024
- 169
- 247
Habari za muda wakuu wa Jf....
Binafsi , nakumbuka nikiwa 821 KJ ikiwa ni jumamosi,[ siku ya bonanza ] hapo Niko full-stim ''Mwamba ni Mimi'' basi imefika muda wa kuhakikiwa turudi mahangani kupumzika....nikawa naona wananizingua namba tunarudiarudia nikaona msinichezee... Nikafungua zipu katikati ya umati nikashusha kojo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 daah! Sitosahau asee
Nilijikuta tu asubuhi Niko ndani ofisi ya karani 😢 😢 😢
Binafsi , nakumbuka nikiwa 821 KJ ikiwa ni jumamosi,[ siku ya bonanza ] hapo Niko full-stim ''Mwamba ni Mimi'' basi imefika muda wa kuhakikiwa turudi mahangani kupumzika....nikawa naona wananizingua namba tunarudiarudia nikaona msinichezee... Nikafungua zipu katikati ya umati nikashusha kojo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 daah! Sitosahau asee
Nilijikuta tu asubuhi Niko ndani ofisi ya karani 😢 😢 😢