Vitu vya kuepuka kufanya ukiwa unaendesha gari ya Automatic

Vitu vya kuepuka kufanya ukiwa unaendesha gari ya Automatic

Ipo hivi Kila gari maximum load yake. Hivyo hata huo uzito wa mafuta full tank ni lazima tu utakuwa within allowable weigh range. Lakini point hapa ni uzito unapozidi kuongezeka kwenye gari the bad the fuel economy gari inakuwa nayo. Ni hivo tu...
Kama uzito wa full tank upo within maximum load huoni hakutakuwa na tatizo?
 
Sijui kama ni tatizo au siyo tatizo. Ila inaaffect performance ya engine. Japo siyo kwa kiwango kikubwa. Ila wewe jua tu as long as uzito unaongezeka kwenye gari basi lazima fuel economy izidi kuwa bad.
Kama uzito wa full tank upo within maximum load huoni hakutakuwa na tatizo?
Hii haina utofauti sana na wale wanaosema AC inakula mafuta. Actually AC kama AC haitumii mafuta. Ila unapowasha AC maana yake pump ya AC itaanza kufanya kazi na itachukua power from engine hivyo kupelekea kuongezeka kwa engine load. Na engine load ikishaongezeka lazima mafuta yatumike mengi.

Yaani mpaka upigaji wa rangi kwenye gari unaaffect fuel economy.
 
1. Ni kweli kwamba oil haisukumwi na gearbox ila inasukumwa na engine. Ila ukae ukijua unaposhift from D to N RPM ya engine lazima ishuke hivyo kupelekea kupungua kwa flow ya oil katika gearbox while speed bado haijapungua. Hivyo lazima tu vitu vitasagika japo hakitakuwa kitendo cha mara moja.
Gari inapokuwa Neutral, mzunguko wa engine ni sawa na ikiwa idle, hata kama uko spidi 200. Kwa sababu gari umeitenganisha na gearbox na kusababisha kurudi kwenye normal state. Ukitaka kuthibitisha hili, weka neutral in whatever speed you are, utaona kuwa RPM inashuka na inakuwa sawa na RPM wakati wa idle. Zile piston mule ndani zinazunguka as if gari haiendi imesimama. Hakuna msagiko labda uwe na oil pump mbovu.
4. Kama watu wawili mpo kwenye speed 100 na mnatakiwa kusimama. Wewe upo kwenye N mwenzio yupo D basi huyo wa kwenye D brake zake hazitaisha haraka ukilinganisha na wewe wa kwenye N. Pia ukitembelea N mteremkoni inaweza kupelekea gari lako kuwa katika stuation ambayo ni uncontrolable.

Pia ABS yako ni mbovu halafu upo kwenye N pia upo speed kubwa halafu ukataka kusimama inaweza kupelekea brakes zako kujam hasa kama una drum brakes.
Namba nne yangu inazungumzia ukiwa umesimama kwenye traffic light, kuweka neutral au kuweka D. Sio kuhusu kupiga brake wakati unashuka mlima. May be umekusudia kum quote mtu mwengine
 
Sijui kama ni tatizo au siyo tatizo. Ila inaaffect performance ya engine. Japo siyo kwa kiwango kikubwa. Ila wewe jua tu as long as uzito unaongezeka kwenye gari basi lazima fuel economy izidi kuwa bad.
Hii haina utofauti sana na wale wanaosema AC inakula mafuta. Actually AC kama AC haitumii mafuta. Ila unapowasha AC maana yake pump ya AC itaanza kufanya kazi na itachukua power from engine hivyo kupelekea kuongezeka kwa engine load. Na engine load ikishaongezeka lazima mafuta yatumike mengi.

Yaani mpaka upigaji wa rangi kwenye gari unaaffect fuel economy.
Wanapopima fuel economy, hawapimi na mafuta ya lita moja. Gari linakuwa full tank.
 
Kwenye huu Uzi kuna watu ambao hawajasoma wanabishana na watu wenye digrii zao 4
 
Elimu nzuri sana. Rekodi CD uuze utasaidia wengi wanaobadili gear bila kukanyaga breki kwenye gari auto
 
Ni kweli mkuu Kuna vitu vingine mtu hata Kama huvijui ila ukitumia logic ya kuzaliwa nayo unaona kabisa Kama ni uongo.
Jamani nikitaka ku UNSUBCRIBE hii Mada nabonyeza wapi? au nisizione coment na Like ya hii Mada nairukaje?
shida nijitoe kabisa naona sitaelewana na Member wenzangu, juu kabisa nimeona None (ambayo ni TAG)
msaada p/se
 
Mkuu swali lako ni la kiweledi sna 👏
huko nyuma nimeogopa kurudi maana kuna wajuzi wa shuleni wanafundisha muundo wa magari uzito na kujaza mafuta
Gari lolote lina TARE WEIGHT ana GROSS
sasa Kampuni inaktengeneza Tank la mafuta la ujazo wa Gari kuwa ni 65lts bado wanakuruhusu na abiria 12 auamzigo 750kg
wao wanasema ukijaza Full tank utasababisha gari ikose balance yake na matatizo
 
🤣 🤣
huko nyuma nimeogopa kurudi maana kuna wajuzi wa shuleni wanafundisha muundo wa magari uzito na kujaza mafuta
Gari lolote lina TARE WEIGHT ana GROSS
sasa Kampuni inaktengeneza Tank la mafuta la ujazo wa Gari kuwa ni 65lts bado wanakuruhusu na abiria 12 auamzigo 750kg
wao wanasema ukijaza Full tank utasababisha gari ikose balance yake na matatizo
Kwa kweli ata mimi nimechoka kimwili na kiakili baada ya kusikia hvyo, nikawaza sana yani kuipenda kote kule physics kumbe yenyewe ilikuwa hainipendi 😂 😂
 
huko nyuma nimeogopa kurudi maana kuna wajuzi wa shuleni wanafundisha muundo wa magari uzito na kujaza mafuta
Gari lolote lina TARE WEIGHT ana GROSS
sasa Kampuni inaktengeneza Tank la mafuta la ujazo wa Gari kuwa ni 65lts bado wanakuruhusu na abiria 12 auamzigo 750kg
wao wanasema ukijaza Full tank utasababisha gari ikose balance yake na matatizo
Ukiweza kuonyesha mahali mtu yoyote kasema gari itakosa balance; utakuwa ume prove you are smart,and we are wrong in this regard.
 
Hiyo namba 4 kuna mtaalam jana alinieleze kinyume kabisa na wewe....ila anyways siku nikinunua gari ntaongezea na zangu!!!
 
Back
Top Bottom