Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
mm najaza full tank huo ushauri wako wa half tank siutakiKwani kuna mtu kasema usiweke full tank????
nimekwambia vitu hivyo tulishavijadili labda umeingia na ID nyingine mwaka jana
Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli
Usishangae kuhusu utambulisho huu. Mimi sasa ni ASE Certified Service Consultant wa magari madogo yanayotumia petroli hasa ya Ford, GM, na Chrysler. Nimepata license yangu hivi majuzi tu mwaka huu baada ya kuitafuta kwa muda kidogo through part-time activities kwani hiyo siyo kazi yangu kuu...