Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Then mkuu kasa na kobe ni viumbe viwili tofauti, japo wana similarities chache lakini wapo tofauti.Kwani ng'ombe na nyati ni kiumbe kimoja au viumbe viwili vya jamii inayoelekeana?
Nyati = Buffalo
Ng'ombe = Cow
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app