Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha acha utani wa ngumi……..Kobe bryant je ni kobe au kasa?
Hasikitishi ila naye akome na uroho wake. Yan anakula hadi plastic bags et anazani ni chakula? Papa tu hali hizo plastic bags yy ndio ana njaa sanaHivi ndivyo mdomo wake ulivyo kwa ndani
Picha na buzzfeed
View attachment 1626158
Watu wengi wamekua wakijiuliza sana kuusu mdomo wake unavyotisha
View attachment 1626160
Ukiingia kwenye account ya ig kwa brykim official kwa kutumia biology na illustrator ameelezea vyema kuusiana na mdomo wa kasa
View attachment 1626166
Izo miba za mdomo kwa kasa humsaidi kasa kuto kutapika kama ulikua aujui sasa
Maana pale wanavyo kula jelly fish huingiza kiasi kidogo cha maji tumboni
View attachment 1626172
Hiyo miba throne humsaidia pale anapo tema maji kumtrap jellyfish kubakia tumboni kwake (husaidia chakula kubakia tumboni mwake)
View attachment 1626176
Kwa hiyo i system ni kama inverted system filter
View attachment 1626190
Apo usiogope sio kama anaumwa ilo ni jambo lakwaida mno yuko sawia kabisa
Apo ni anatapika maji ya bahari yenye rangi nyekundu kutokana na maji ya bahari nyekundu baada ya kula seaweed
Hii concept iko kama ya samaki anavyokula chakula baharini nakutoa maji kwenye gills
View attachment 1626193
Mda mwingine kasa ujichanganya na kula plastic bag zilizo baharini akizania kua nazo ni jellyfish
View attachment 1626194
Maskini anaskitisha e?
Ameondoka Mengi mmoja ameacha wenzake ndio kwanza tunawajua!!Duniani kuna mengi sana!
Mkuu vision iko difer si unajua kasa anataga nchi kavu papa anataga baarini yani apo ni kama unamfananisha diamond na zuchuHasikitishi ila naye akome na uroho wake. Yan anakula hadi plastic bags et anazani ni chakula? Papa tu hali hizo plastic bags yy ndio ana njaa sana
Matajiri wako wengi ni zaidi ya tunavyofikiria.Hahaha je mo akiondoka atamuacha mee?
Najua wajua lakini ningependa nikujuze zaidi, Nilishawahi kufuga kasa. Je unajua kasa namna anavyochinjwa??Hahaha je mo akiondoka atamuacha mee?
Nimekula mara moja. Ana nyama tamu sanA.ila ukikamatwa umeua hii kitu kesi yake ni tamu sanaMdudu mtamu sana huyu
Nimekula mara moja. Ana nyama tamu sanA.ila ukikamatwa umeua hii kitu kesi yake ni tamu sana
Ngombe wetu sisi wanaishi mbugani mpaka leo, Wanakaa miezi 3/6/wengine mpaka miezi 12, ukiwafatilia mitamba imezaa madume yamekua yameongezeka uzito, kazi yako inakua kujua mahali walipo maana wanahama hama hawakai sehemu moja.Tofauti mzee, kobe haishi kwenye maji. Sawa na ng'ombe hawezi kuishi mbugani.