Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 16, 2020 #61 Ahsante kwa taarifa... Cc: mahondaw
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,710 Reaction score 76,243 Nov 16, 2020 #62 Mungai tz said: Ngombe wetu sisi wanaishi mbugani mpaka leo, Wanakaa miezi 3/6/wengine mpaka miezi 12, ukiwafatilia mitamba imezaa madume yamekua yameongezeka uzito, kazi yako inakua kujua mahali walipo maana wanahama hama hawakai sehemu moja. Click to expand... Sawa. Tatizo ni je ndio wanakotakiwa kufugwa au ni kutokana na mazingira ya eneo mnaloishi?
Mungai tz said: Ngombe wetu sisi wanaishi mbugani mpaka leo, Wanakaa miezi 3/6/wengine mpaka miezi 12, ukiwafatilia mitamba imezaa madume yamekua yameongezeka uzito, kazi yako inakua kujua mahali walipo maana wanahama hama hawakai sehemu moja. Click to expand... Sawa. Tatizo ni je ndio wanakotakiwa kufugwa au ni kutokana na mazingira ya eneo mnaloishi?