Vitu vya kujiuliza kurejea kwa Triple C Msimbazi

Vitu vya kujiuliza kurejea kwa Triple C Msimbazi

lwambof07

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
4,643
Reaction score
5,335
Kuna maswali mengi sana watu wanajiuliza mimi nikiwemo mmoja wapo kurejea kwa Chama SSC ndani ya mda mfupi;
  • Je, Chama atakuwa bora kama kipindi kile?
  • Kwa nini amerejea ndani ya kipindi kifupi?
  • Huko alipoenda alikuwa hapati namba?
  • Je, kiwango kimeshuka?
  • SSC imeshindwa kabisa kupata mbadala wake?
-Je SSC wapo sahihi kumrejesha kikosini?
  • Chama amerejeshwa kwa sababu kocha ana muhitaji au kwa sababu mashabiki wanamuhitaji??
  • Iwapo Chama atashindwa kurejea kwenye ubora wake benchi la ufundi wamejipangaje kwa hilo??
Kuna maswali mengi sana hapa[emoji848][emoji848]

20220114_135218.jpg
 
Kuna maswali mengi sana watu wanajiuliza mimi nikiwemo mmoja wapo kurejea kwa Chama SSC ndani ya mda mfupi;
  • Je, Chama atakuwa bora kama kipindi kile?
  • Kwa nini amerejea ndani ya kipindi kifupi?
  • Huko alipoenda alikuwa hapati namba?
  • Je, kiwango kimeshuka?
  • SSC imeshindwa kabisa kupata mbadala wake?
-Je SSC wapo sahihi kumrejesha kikosini?
  • Chama amerejeshwa kwa sababu kocha ana muhitaji au kwa sababu mashabiki wanamuhitaji??
  • Iwapo Chama atashindwa kurejea kwenye ubora wake benchi la ufundi wamejipangaje kwa hilo??

Kuna maswali mengi sana hapa[emoji848][emoji848]

View attachment 2080750
Licha ya hilo watamyacha nani? Maana idadi ya wachezaji wa kigenu ishatimia

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Atawasaidia Simba kupata baadhi ya mambo ya ndani ya Berkane. Hivyo Simba ikija kucheza na Berkane watakuwa wanaijua IN and OUT hata kama Chama hatacheza.
Nayo point
 
Back
Top Bottom