Vitu vya kujiuliza kurejea kwa Triple C Msimbazi

Vitu vya kujiuliza kurejea kwa Triple C Msimbazi

Haya maswalii mkuu majibu yake utayapataa uwanjani akianzaa kuchezaa,
 
Hivi watopolo huwa mna matatizo gani kwenye bongo zenu?
*Chama alipouzwa mkasema simba bila chama hamna kitu.
*Mlipodanganywa na msukule kuwa chama tayari keshamalizana na Yanga mkasema Yanga itakuwa ya moto na mkajipanga tayari kwenda airport kumpokea.
*Baada ya Chama kurejea simba , kauli zimebadilika eti hana msaada kwa simba.
Hizi tabia za kikekike mnazitoaga wapi?
[emoji848][emoji848]
 
[emoji881][emoji881]
IMG_20220114_160411.jpg
 
Uto wamechanganyikiwa hahah kila mtu afanye usajili wake na kucheza mechi zake vilevile..
 
Back
Top Bottom