Vitu vya kujiuliza kurejea kwa Triple C Msimbazi

Vitu vya kujiuliza kurejea kwa Triple C Msimbazi

Chama jina lake tu linauza msimbazi kama unavyoona tu kurejea kwa Cristiano pale man united,Cristiano akiwepo tu uwanjani kunawafanya timu pinzani kuingia na hofu hata kama asipofanya vizuri wengine watatumia uwepo wake kufanya kitu ndio vivyo hivyo kwa chama
Triple C hatar sana
 
Kuna maswali mengi sana watu wanajiuliza mimi nikiwemo mmoja wapo kurejea kwa Chama SSC ndani ya mda mfupi;
  • Je, Chama atakuwa bora kama kipindi kile?
  • Kwa nini amerejea ndani ya kipindi kifupi?
  • Huko alipoenda alikuwa hapati namba?
  • Je, kiwango kimeshuka?
  • SSC imeshindwa kabisa kupata mbadala wake?
-Je SSC wapo sahihi kumrejesha kikosini?
  • Chama amerejeshwa kwa sababu kocha ana muhitaji au kwa sababu mashabiki wanamuhitaji??
  • Iwapo Chama atashindwa kurejea kwenye ubora wake benchi la ufundi wamejipangaje kwa hilo??

Kuna maswali mengi sana hapa[emoji848][emoji848]

View attachment 2080750

Majibu utayapata akiwa ndani ya uzi mwekundu na akiwa uwanjani
 
Mhh lwambo wewe acha kumuombea chama wetu mambo hayo .
haha hamna mimi simuombei mambo mabaya unajua kila kitu inabid ukiangalie kwa pande zote mbili ila pande ya kwanza inakuwa Positive kwanza
 
itapendeza zaidi ila mimi hadi nione kwanza maana huko sijamuona akiwa ana cheza
Fatilia kwenye official page ya club aliyotoka ile game ya try 29 December walioshindwa 4-1 alikuwa ni man of the match na alihusika kwenye goli moja.

Me nafikiri kuna sababu nyingine tofauti na hizo za kushuka kiwango, huenda hakuwa anafueahia maisha yake huko Morroco.
 
Mpira hauko hivyo!! Sio kama vile mwalimu anakuja kuendeleza topic aliyoishia!!msije shangaa kinachoweza kutokea
Ni swala muda tu kabla hajaanza kuuwasha moto tena, mechi yao Berkane tarehe 29 alikuwa ni man of the match na akicheza dk 90[emoji23][emoji23][emoji23].

Usibishabe na mimi, nenda kwenye official page ya team ukaangalie.
 
Fatilia kwenye official page ya club aliyotoka ile game ya try 29 December walioshindwa 4-1 alikuwa ni man of the match na alihusika kwenye goli moja.

Me nafikiri kuna sababu nyingine tofauti na hizo za kushuka kiwango, huenda hakuwa anafueahia maisha yake huko Morroco.
yawezekana
 
Ni swala muda tu kabla hajaanza kuuwasha moto tena, mechi yao Berkane tarehe 29 alikuwa ni man of the match na akicheza dk 90[emoji23][emoji23][emoji23].

Usibishabe na mimi, nenda kwenye official page ya team ukaangalie.
Ninaiman ataenda kuchek
 
yawezekana

IMG_0914.png
 
Hivi watopolo huwa mna matatizo gani kwenye bongo zenu?
*Chama alipouzwa mkasema simba bila chama hamna kitu.
*Mlipodanganywa na msukule kuwa chama tayari keshamalizana na Yanga mkasema Yanga itakuwa ya moto na mkajipanga tayari kwenda airport kumpokea.
*Baada ya Chama kurejea simba , kauli zimebadilika eti hana msaada kwa simba.
Hizi tabia za kikekike mnazitoaga wapi?
 
Back
Top Bottom